Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Kitu muhimu ni mtu kutumia haki yake anavyoona yeye sawa.

Kushinda au kushindwa ni matokeo.

Kama Tundu Lissu anaona anaweza kukiongoza chama vizuri, ni haki yake kugombea uongozi.

Hata akishindwa, hilo halina maana Tundu Lissu ndiye tatizo au hana uwezo.

Inawezekana Tundu Lissu akawa ndiye kiongozi anayefaa na bado akakosa kura kwa sababu wanaochagua hawako tayari kuwa na kiongozi anayefaa.

Uongozi mzuri haupatikani kwa kura nyingi, that is democracy but democracy does not guarantee good leadership. I am not anti-democracy, I am explaining logic.

Kufikiri kiongozi anayefaa ni yule anayechaguliwa kwa kura nyingi ni logical fallacy, that is argument from popularity logical fallacy.
 
unadhani akiwa mwenyekiti ataendelea kukisaliti chama kama mnavyodai?
Msaliti uwa amalizi alafu chama cha siasa haiwezi kutokea wakabidhiwe wana harakati Mbowe akitazama yrye ni leader ana vision ana kinusuru chama
 
Lissu atabaki mwenyekiti wa mioyoni mwenu.
Haya mambo ya Chadema wewe mccm yanakuhusu nini, mbona mnamgwaya sana Lissu kutangaza nia tu hampati usingizi. Biashara imeisha hiyo labda mumpige bomu mara hii kwa sababu kwa risasi mulishindwa.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Ange weka nia John Heche ninge elewa, ila kwa huyu domo kaya hamna kitu. Huyy ata kiuza chama.
 
Eti aisukue upya 😀😀😀😀 mbowe ni mtu aliyefilisika kisiasa hana tena nguvu ya kusuka chama

Aachie chama kwanza au atangaze chama ni Cha babayake tujue
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Pamoja na yote hata kama siyo Lissu au Mbowe nadhani wanahitaji damu mpya kama akina Heche. Mbowe imetosha.
 
Kitu muhimu ni mtu kutumia haki yake anavyoona yeye sawa.

Kushinda au kushindwa ni matokeo.

Kama Tundu Lissu anaona anaweza kukiongoza chama vizuri, ni haki yake kugombea uongozi.

Hata akishindwa, hilo halina maana Tundu Lissu ndiye tatizo au hana uwezo.

Inawezekana Tundu Lissu akawa ndiye kiongozi anayefaa na bado akakosa kura kwa sababu wanaochagua hawako tayari kuwa na kiongozi anayefaa.

Uongozi mzuri haupatikani kwa kura nyingi, that is democracy but democracy does not guarantee good leadership. I am not anti-democracy, I am explaining logic.

Kufikiri kiongozi anayefaa ni yule anayechaguliwa kwa kura nyingi ni logical fallacy, that is argument from popularity logical fallacy.

Yes ataechaguliwa na wengi ndio mwenyekiti wa chama na ndio demokrasia hakuna kuachiwa mtu apite bila kupingwa.
 
Vipi, umekimbia matibabu? Hakuna shaka kuwa hujapona, rudi hospitali ukamalizie tiba.

Achana na masuala ya Mbowe na Lisu. Hao wanatimiza misingi ya demokrasia, hawategemei hizi porojo na kelele zako.
Mkuu Lissu kayakanyaga kwa Mbowe. Atafunzwa adabu.
 
Safu ilishapangwa tangu uchaguzi wa ngazi za chini, huko ndiko wapiga kura wapo
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Tunajua kabisa Mbowe atasaidiwa na Samia kwa kutumia fedha za waarabu na vyombo vya usalama. Tunajua kuwa mpaka TISS itatumika ili tu Lissu asishinde. Hii ni kwa sababu Mbowe ameshapewa fedha nyingi na Samia ili CHADEMA isipige kelele wakati waarabu watakapokuwa wanapora raslimali zetu na pia CHADEMA isimpe Samia ushindani kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani. Tusibiri tuone mwisho wake.
 
Back
Top Bottom