Kwanini uingize wananchi kwenye gharama za kudanganya kuna uchaguzi?Kwanini uingie gharama za uchaguzi?!
Wale wote walikuwa maCCM wamerudi Nyumbani Kumenoga.Kama hawakujitokeza kugombea inaweza kuwa haina tatizo. Lakini kama wamegombea na wamezuiwa hapo kuna kitu watu wanataka kukiona. Najaribu kujiuliza wale watu milioni 6 na point waliochagua wapinzani walienda wapi? Kama bado wapo hai naogopa sana.
Kamuulize mbowe ana akili timamu.Una akili timamu?
Hiyo rufaa haitasaidia, ila kwa ubishi Wa chadema watakata rufaa...CHADEMA msijaribu kukata rufaa kaeni kimya kabisa
Sana CCM ni chama kubwa imefanya nchi sasa inavutiaHivi ni kweli CCM inapendeka?
Wakate tu rufaa kama wanazo hoja za msingi kama sio pumba hoja tuwaone,akili zao hazina akiliHiyo rufaa haitasaidia, ila kwa ubishi Wa chadema watakata rufaa...
Wapinzani ni watu wa malallamiko siku zote wameshazoeleka sasa wanasema kuna walioenguliwa wakiopata wao wamefanyaje na ni haohao wapinzani wenzao?Hivi upinzani mtaendelea kulialia hadi lini hao waliopitishwa kwani hamjui wanapoishi? Ma.ma.ezenue
HUO WAKOSelection badala ya Election Ungese tu.
Hoja gani, hili Ni agizo la jiwe.wanajisumbua tu.kosa kubwa la chadema Ni kudanganywa Na viongozi Wa dini kuhairisha UKUTA.sasa viongozi Wa dini wako kimyaaaaWakate tu rufaa kama wanazo hoja za msingi kama sio pumba hoja tuwaone,akili zao hazina akili
Hao adhabu yao Ni hiyo wamesaliti taifa letu, adhabu ya msaliti Ni kifo tu.haiwezekani waliweke taifa kwenye taharuki kiasi hili.Wewe una umuhimu gani wa kuishi unaweza kuumba hata sisimizi au unaongea tu kijinga hapo?
Yaani kilichobakia ni kuingiza Vifaru mitaani tu.HUO WAKO
Hapana, tusifike huko ndugu yangu.Mimi kwa mtazamo wangu hao watendaji hawapaswi kuishi, kama mbwai iwe mbwai.
Taharuki gani?kila jambo lenye ushindani lazima mtu akubali kushinda au kushindwaHao adhabu yao Ni hiyo wamesaliti taifa letu, adhabu ya msaliti Ni kifo tu.haiwezekani waliweke taifa kwenye taharuki kiasi hili.