Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

1573268906421.jpeg


God have mercy on us all.
 
Kigumu chama cha mapinduzi

Nimekuelewa boss
Hatimaye nimefanikisha tena.

Mwaka jana kuna vijana walikuwa wananitisha eti hawatanipa kura zao kwenye nafasi niliyokuwa nayo ya uenyekiti wa mtaa, na baadhi waliniamsha usiku wa manane na nikichelewa kuamka wanasema eti walinipa kura zao niwanyenyekee.

Asante Magu, sasa wananchi hamtutishi na mikwara yenu,tumerudi madarakani, na huto tu kura twenu hatutuhitaji, mtupishe na mkome,mmetutesa sana miaka michache hapo nyuma, oooh! fanya kazi,vinginevyo tutakuondoa kwa kura, fyoko fyoko, sasa kwa taarifa yenu, huto tukura twenu mkae nato, tumepita bila kupingwa na hamuwezi kutufanya lolote

Mnatamba eti mamlaka yanatoka kwa wananchi, shwaini, asilimia 99 tumepita bila nyie

Sijakupangisha foleni unipigie kura wala sijauza sera yoyote kwako wala kukupa ahadi ya uchaguzi a.k.a ilani yangu, usiniulize mambo ya mabarabara,maji,afya na elimu na mengineyo, unaniuliza kwani ulinipigia kura? Niliuza Sera yoyote kwako? Unanibana kwa lipi mwanaizaya wewe? Akina mama mnaodundwa na waume zenu mnajaa milangoni kwangu usiku kisa mlinipa kura,mkome, safari hii wanamtaa na wanavitongoji na vijiji hamjatupa kura zenu,mkome kutusumbua

Ntarudi

Kigumu Chama cha mapinduzi
 
Kuna watu wana 'ALEGI' na neno upinzani, labda tuliondoe kwenye kamusi ya siasa za Tanzania.
Tuchague mtu na si chama.
 
Mkuu kwa hiyo hadithi yako inatufundisha nini?, mbaya zaid hata kuandika hujui nenda shule uliyosomea uwaambie wakurudishie ada yako.
Shule gani nzuri mkuu,nataka kujiunga nijifunze ujinga uliosoma kwenye hiyo shule
 
Upinzani msitake kuhadaa umma ...bali kubalini tu mmepoteza mvuto.
Nakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014 kulikuwa na the so called UKAWA basi mjini na vijijini kulikuwa na heka heka haswa na hivyo kupelekea CCM kuvuja jasho.
Baada ya uongozi mbovu wa Mbowe na usanii wa hali ya juu kuhusu UKAWA kulikopelekea Kina Slaa na Lipumba kuondoka basi tunashuhudia hasira za wananchi dhidi ya vyama vilivyounda Ukawa...
 
Upinzani msitake kuhadaa umma ...bali kubalini tu mmepoteza mvuto.
Nakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014 kulikuwa na the so called UKAWA basi mjini na vijijini kulikuwa na heka heka haswa na hivyo kupelekea CCM kuvuja jasho.
Baada ya uongozi mbovu wa Mbowe na usanii wa hali ya juu kuhusu UKAWA kulikopelekea Kina Slaa na Lipumba kuondoka basi tunashuhudia hasira za wananchi dhidi ya vyama vilivyounda Ukawa...
Si mpo nyie wenyewe CCM a.k.a "Kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU"..kwenye huu Uchaguzi..??!
Shida ipo wapi tena Jinga..??!!
 
Sasa kama mlihamasisha wanachama wenu wasijiandikishe kwenye daftari la wapigakura mnategemea mini? Cha ajabu eti tena huyo huyo mwanachama ambaye hakujiandikisha anakwenda kuchukua fomu ya kuomba kuwa kiongozi wakati Kanuni 13 (e) ya uchaguzi inasema mgombea lazima awe amejiandikisha!! Yaani wapinzani kwenye vichwa vyao unaweza fikiri hawana ubongo!!
Labda kama una ushahidi wapinzani walifanya hivyo uuweke hapa kwa maslahi ya wasomaji.

Vitendo vya kutojiandikisha vilifanywa na wananchi wenyewe kuwapa ujumbe vyama vyote kuwa hakuna maana ya kufanya hivyo kwa kuwa hawana imani nao tena

Nadhani hata upinzani walitoka kuwaomba wajiandikishe baada ya kuona hali mbaya

Ndiyo maana pia hata watumishi na wanafunzi walilazimishwa na mabosi wao.

Ni upumbavu kuwalazimisha watu kudai haki zao.

Ninyi mnayo haki ya kuwahamasisha na sio kuwalazimisha, hii inadhihirisha kuchoshwa kwa wapiga kura kwa upumbavu wenu
 
Upinzani msitake kuhadaa umma ...bali kubalini tu mmepoteza mvuto.
Nakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014 kulikuwa na the so called UKAWA basi mjini na vijijini kulikuwa na heka heka haswa na hivyo kupelekea CCM kuvuja jasho.
Baada ya uongozi mbovu wa Mbowe na usanii wa hali ya juu kuhusu UKAWA kulikopelekea Kina Slaa na Lipumba kuondoka basi tunashuhudia hasira za wananchi dhidi ya vyama vilivyounda Ukawa...
Warembo Wenye mvuto wanaogopa kushindana kushindana ndo utaona maajabu ya VIAZ wa Lumumba. Nyambafu
 
Back
Top Bottom