Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
 
Sidhani kama kanda ya ziwa ndio ina determime nani awe rais ,
Uelewa wa raia utakapokuwa mzuri hata kama kanda ya ziwa yote wapige kura against mgombea flani , bado mgombea huyo anaweza kushinda kura sehemu zingine na kushinda kiti
 
Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.

Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.

Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.

Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.

Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
 
Hakuna kitu kama hicho, ni porojo za wanasiasa tu. Idadi ya watu kanda ya ziwa haifiki robo ya watanzania wote.

Kanda ya ziwa inatumika kwasababu huko ndio washamba wamejazana.
Sio tu ushamba , ali pia na ubinafsi, hawa jamaa inaonekana kuna mengi walipewa favour na kuna uwezekano kulikuwa na mikakati ya kutawala milele , kanda ya ziwa kwa sasa inaweweseka sana na uwepo wa mama
 
Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.

Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.

Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.

Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.

Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Hapana mnam bully mama...

Nani aliwa 'tumia' mbona Rais aliyepita alitoka huko???

33% inakuja baada ya nyinyi kuwa wengi mno......

Hii isitumike kigezo cha kuamua nani awe Rais..

Au unataka ku justify Kanda inayozalisha kidogo zaidi wasipige kura at all??
 
Sidhani kama kanda ya ziwa ndio ina determime nani awe rais ,
Uelewa wa raia utakapokuwa mzuri hata kama kanda ya ziwa yote wapige kura against mgombea flani , bado mgombea huyo anaweza kushinda kura sehemu zingine na kushinda kiti
Msukuma pekee, yupo zaidi ya Million 10 hapa nchini ktk mikoa mitano, changanya na wale makabila ya wengine kama Wazinza, Wajita, Wakara, Kurya, Wasubi(etc)
 
Kanda ya ziwa ni nchi ndani ya nchi mama, hilo halina kipingamizi kwamba sisi ndio tuna determine nani awe rais na nani asiwe rais. Hilo liko wazi.

Mama analijua hilo ndio maana unaona kila kukicha anatutembelea.

Hii nchi tulikua taken advantage of kwa miaka mingi, sasa tumeshtuka na sasa tunaamua nani awe rais.

Faida moja ya kanda yetu ni kwamba tuna makabila mengi lakini yanayoelewana na yameingiliana kiasi kwamba wote tunaonekana kama kabila moja. Hii haipo kanda zingine nchini.

Kama tunachangia 33% ya pato la taifa kwa nini tusiamue nani awe rais?
Nchi ndani ya nchi? Kwa uchaguzi huru au ule kama wa 2020?

Uchaguzi unaamuliwa kwa idaxi ya wapiga kura na ulelekeo towards mgombea

Halafu hiI figure ya kuwa kanda hiyo inachangia 33% ya mapato umeitoa wapi ?
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye uchaguzi mkuu ina mapungufu...

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais...

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao...(Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
Mama mbona umeanza kuwa na wasiwasi..?
😂
 
Toka lini Tanzania mshindi halali ndiye anatangazawa kuwa Rais?.
👇🏾
 
Sababu sitaki kupoteza uchaguzi ujao...hahahah😀 😀
Usianze kulaumu Kanda Sasa we fanya yanayostahili si unaelewa saikolojia ya watu wako!

Ukiijua jamii yako hutajadili swala la ukanda, labda nikuibie siri Tanzania bado ilikuwa haijafikia hatua ya kuongozwa na mwanamke, imetokea kama bahati tu!.

Chengine ule mwendo wa mwenda zake ndio wengi waliutaka Sasa wewe ukaamua kwenda na mwendo wako!, lazima wakubadilikie tu!. Stay cool please
 
Sio tu ushamba , ali pia na ubinafsi, hawa jamaa inaonekana kuna mengi walipewa favour na kuna uwezekano kulikuwa na mikakati ya kutawala milele , kanda ya ziwa kwa sasa inaweweseka sana na uwepo wa mama
Umeandika kinyume nyume, mama yenu ndiye anayeweweseka….. kuhusu ubinafsi kanda ya ziwa ndo haina hicho kitu.

Kanda yenye ubinafsi inajulikana na ina chama chake, na mgombea asipotokea huko hapati kura zao….. hiyo ni kaskazini.
 
Nchi ndani ya nchi? Kwa uchaguzi huru au ule kama wa 2020?
Uchaguzi unaamuliwa kwa idaxi ya wapiga kura na ulelekeo towards mgombea
Halafu hiI figure ya kuwa kanda hiyo inachangia 33% ya mapato umeitoa wapi ?
Uwe unajitahidi kusoma takwimu zinazotolewa na vyanzo vya kuaminika vya serikali, usiwe bolizozo.

Uchanguzi unaoujua nchi hii ni wa mwaka 2020 tu? 2015 hakukua na uchaguzi? Ulisoma takwimu za wapiga kura kila mkoa na ukaona za kanda ya ziwa zilikua ngapi?

Tuachane na wapiga kura, unasoma takwimu za NBS kuhusu idadi ya wananchi kila mkoa? Umejumlisha ukapata ngapi? Subiri sensa ya 2022 itakupatia takwimu nyingine.

Kuhusu uchumi, huyu hapa Gavana wa BOT akitoa mchango wa kanda ya ziwa kwenye pato la Taifa.

Usikalie kusoma udaku tuu, soma taarifa za uchumi uongeze maarifa sio kila siku unabishana na mashoga zako huko instagram halafu unakuja kubisha tu humu.
 
Msukuma pekee, yupo zaidi ya Million 10 hapa nchini ktk mikoa mitano, changanya na wale makabila ya wengine kama Wazinza, Wajita, Wakara, Kurya, Wasubi(etc)
Sensa haijawahi kihesabu idadi ya watu katika kabila fulani, hii kuwa wapo wasukuma 10 mil unaitoa wapi?

Umeaha wahi jua literacy level ya msukuma kuwa wangapi wameelimika ? Au wanaongelewa hafi wale wafugaji holela
Wanaohama hama ambao hata poling statiins hawakanyagi?

Kuna mambo yanakuwa unveiled sasa , yanatoa picha mbaya sana kwa utawala wa 5,
Sikuwahi kabisa kudhani kuwa wasukuma walifanyiwa exclusively sensa kujua idadi yao na honestly sijui lengo hasa lilikuwa ni nini.
 
Umeandika kinyume nyume, mama yenu ndiye anayeweweseka….. kuhusu ubinafsi kanda ya ziwa ndo haina hicho kitu.

Kanda yenye ubinafsi inajulikana na ina chama chake, na mgombea asipotokea huko hapati kura zao….. hiyo ni kaskazini.
Ili kuondoa hii kitu ya Kanda yenye ubinafsi na Kanda isiyo na ubinafsi kuwe na system ya kuhakikisha hakuna Kanda inakua juu/chini ya Kanda nyingine....
 
Back
Top Bottom