Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
HAPA KAZI TU IENDELEE.
Leo nataka niwape fact moja Kuhusu Kujifia kwa Upinzani a natural death baada ya Mama Samia Kuchukua Nafasi ya Hayati JPM.
Kama ungeitishwa uchaguzi Leo hii, Mama Samia angemshinda Lissu kwa Zaidi ya 98% na hapo angemtibulia kabisa Dili lake la kuwekwa Unyumba huko Belgium.
Sababu kubwa ni viongozi wa upinzani akiwemo Lissu mwenyewe kuingia 18 za Mama Samia na kujikuta wakiimba wimbo wa Madhabahu ya CCM.
Nyumbu wenzenu si watawapiga mawe mkirudi kuwaambia "Tumemsifu lakini Msimpe kura?"...KWANI WAO WAJINGA KIASI GANI?
Wapinzani wote sasa wanaitikia Beti na Chorus za Wimbo wa CCM kupitia Mwenyekiti wake Her. E.H. Mama Samia S. Hassan.
Mbowe anamsifia Mama.
Zitto anamsifia Mama.
Safari anamsifu Mama.
Lipumba anamsifu Mama.
Lema anamsifu
Msigwa anamsifia
Kigogo anamsifia
Heche anamsifia
Meya Jackob anadifi
Mdee anasifia
Bulaya anasifia
Nyalandu anasifia
Matiko anasifia
Wenje anasifia
Mwita anasifia
Newton anamsifia mama
Pambalu anasifia.
Sugu anasifiaaa...
Hai kwa Mbowe Nyumbu wanamsifia Mama
Arusha kwa lema, wanasifia.
Kwa Msigwa Iringa wanasifia
Mbeya kwa Sugu nyumbu wanaaifia...
Kigoma kwa Zitto nyumbu wanasifia...
Ni kipi hawa watawadanganya wapiga kura?
Imetoka Hiyo...Mama amezidisha ugumu wa kuitoa CCM madarakani..
Naam, sisi tuendelee na maandalizi ya Msibani Chato...#TwenzetuChato.
Leo nataka niwape fact moja Kuhusu Kujifia kwa Upinzani a natural death baada ya Mama Samia Kuchukua Nafasi ya Hayati JPM.
Kama ungeitishwa uchaguzi Leo hii, Mama Samia angemshinda Lissu kwa Zaidi ya 98% na hapo angemtibulia kabisa Dili lake la kuwekwa Unyumba huko Belgium.
Sababu kubwa ni viongozi wa upinzani akiwemo Lissu mwenyewe kuingia 18 za Mama Samia na kujikuta wakiimba wimbo wa Madhabahu ya CCM.
Nyumbu wenzenu si watawapiga mawe mkirudi kuwaambia "Tumemsifu lakini Msimpe kura?"...KWANI WAO WAJINGA KIASI GANI?
Wapinzani wote sasa wanaitikia Beti na Chorus za Wimbo wa CCM kupitia Mwenyekiti wake Her. E.H. Mama Samia S. Hassan.
Mbowe anamsifia Mama.
Zitto anamsifia Mama.
Safari anamsifu Mama.
Lipumba anamsifu Mama.
Lema anamsifu
Msigwa anamsifia
Kigogo anamsifia
Heche anamsifia
Meya Jackob anadifi
Mdee anasifia
Bulaya anasifia
Nyalandu anasifia
Matiko anasifia
Wenje anasifia
Mwita anasifia
Newton anamsifia mama
Pambalu anasifia.
Sugu anasifiaaa...
Hai kwa Mbowe Nyumbu wanamsifia Mama
Arusha kwa lema, wanasifia.
Kwa Msigwa Iringa wanasifia
Mbeya kwa Sugu nyumbu wanaaifia...
Kigoma kwa Zitto nyumbu wanasifia...
Ni kipi hawa watawadanganya wapiga kura?
Imetoka Hiyo...Mama amezidisha ugumu wa kuitoa CCM madarakani..
Naam, sisi tuendelee na maandalizi ya Msibani Chato...#TwenzetuChato.