Uchaguzi ungefanyika sasa, Samia Suluhu angepata 98% ya kura zote maana wapinzani wote wanamsifu

Uchaguzi ungefanyika sasa, Samia Suluhu angepata 98% ya kura zote maana wapinzani wote wanamsifu

Kuna Pro-Magufuli ndio upinzani wenyewe
Umesahau na Sukuma Gang,
Na Ndugai na yeye kawa mpinzani,amewaambia waliomo Bungeni kwenye vikao vbya CCM pale Dodoma,wawe wanaihoji Seikali na UVIKO 19 wakiwemo
 
Sasa hivi wamemwacha mama aendelee kuwaponya majeraha waliyopata kwa kipindi cha miaka mitano! Baada ya majeraha kupona utaona jinsi watakavyomgeuka.Kwenye Siasa hakuna urafiki wa vyama.
 
Huenda ni kinyume chake. Mama anatekeleza fikra za wapinzani kwa vitendo. Wapinzani wa Tanzania wadai na kutetea haki na mama amekuwa mtu wa kusimama kwenye haki hivyo kazima wawe wana common denominator. CCM ndio sasa wameufyata kwa msimamo wa wapinzani! Siasa za ubabe kwisha kwa kuwa mama hayuko hivyo!
 
sisi hayo hatuyajui sisi tunachojua ni upinzani uchwara wa kitapeli na kijizi na kilaghai kuimba Iyena iyena ya CCM
mbowe mwizi mkubwa wa mali za Chama muongo na laghai likubwa na kusiasa kuwahi kutokea
Mwendazake alinunua wapinzani kwa fedha na hongo ya vyeo. Jweli aliamini kuwa ni viongozi uchwara? Mbowe alikataa tu kufikia bei, lakini walitamani sana kumnunua!
 
Kama mama kaonyesha weredi kwanini sasa wasimuunge mkono?,kwasasa hakuna mpinzani wa kumkataa mama,wote wamechutama kwa mama.
 
Roho inakuuma. si ndivyo mlitaka tuwasifie hadi mkaua watu na kufunga watu na wengine mkawabambikia makesi ya kuua na uhujumu uchumi?
 
Ndio kilio cha mafuguli na wahuni wenzie sote tuwe ccm. Sasa mbona mnalia lia tena.
 
Sasa umeandika nini🙄🙄
Wapinzani wepi hao labda unaowaongelea😉😉
Ni wale Wa ubelgiji au wa kigoma kigoma wasiotaka watoto wetu wapate elimu😆😆😆
Kwa mtazamo ni aina ya wale wamapambio wa enzo ile katika harakati za kuwinda teuzi ,kupitia njia mkato wa kufukuzia teuzi,bahati mbaya kama ulijaribu toka wakati hip ukakwama,wakati huu sahau hasaa.
 
Mwendazake alinunua wapinzani kwa fedha na hongo ya vyeo. Jweli aliamini kuwa ni viongozi uchwara? Mbowe alikataa tu kufikia bei, lakini walitamani sana kumnunua!
Ndiyo maana hata Deni la Taifa liliongezeka kwa kasi!
 
Kwani, Kwanini mtu anaamua kuwa mpinzani?
Huyo anamatamanio kuona mambo yanaenda sawa,hivyo anajaribu kusema wapi hapaendi sawa,vinginevyo unaweza kusema ni mzalendo wa kweli na sii mzalendo maslahi.
 
Kwa mtazamo ni aina ya wale wamapambio wa enzo ile katika harakati za kuwinda teuzi ,kupitia njia mkato wa kufukuzia teuzi,bahati mbaya kama ulijaribu toka wakati hip ukakwama,wakati huu sahau hasaa.

Yaani wewe unawaza teuzi tùu😂😂😂

Kwa Hizo akili zenu wale 19 walikua na haki ya kujiangalia 🤣🤣🤣
 
Shida ya mama anawalinda wahalifu walioumiza watz enzi ya Utawala dhalimu
 
Lazima una uwendawazimu fulani. Hili ni jukwaa la watu wenye akili timamu. Wanajadili hoja. Syo mahali pa wajinga kuleta vioja.

President Samia is doing a great job for our nation. She is bringing back our nation's integrity after Magufuli dictatorial rule.which tormented our nation.

Muhimu siyo CCM au vyama vya upinzani, bali ongozi mzuri, wenye maono na hekima. CCM ilikuwepo wakati wa marehemu lakini haikuweza kumzuia marehemu kutenda maovu ya ajabu na ya kutisha.
 
Lazima una uwendawazimu fulani. Hili ni jukwaa la watu wenye akili timamu. Wanajadili hoja. Syo mahali pa wajinga kuleta vioja.

President Samia is doing a great job for our nation. She is bringing back our nation's integrity after Magufuli dictatorial rule.which tormented our nation.

Muhimu siyo CCM au vyama vya upinzani, bali ongozi mzuri, wenye maono na hekima. CCM ilikuwepo wakati wa marehemu lakini haikuweza kumzuia marehemu kutenda maovu ya ajabu na ya kutisha.
weewe unaweza kuwa una sifa zifuatazo kama sio tapeli basi ni jambazi kama sio jambazi basi unalelelewa na hawara kama haulelewi na hawara una upungufu wa dopamine maana mtu akipungukiwa dopamine huwa ni mjinga ambaye huwa hajui anasimamia nn upinzani uongozwe na DJ mwenye makengeza mtu aliyefeli kila kitu anatapeli hela za Chama za familia anakitumia Chama kuhonga huyu hata wafuasi wake ni wajinga wajinga kama wewe jiulize Chama kinaongoza na kilaza mnywa konyagi
 
Naangalia documentary hapa chanel ya china namba 448 dstv. Hawa jamaa wametuacha mbali sana na nimejifunza kitu. Walijipanga kisawa sawa
 
weewe unaweza kuwa una sifa zifuatazo kama sio tapeli basi ni jambazi kama sio jambazi basi unalelelewa na hawara kama haulelewi na hawara una upungufu wa dopamine maana mtu akipungukiwa dopamine huwa ni mjinga ambaye huwa hajui anasimamia nn upinzani uongozwe na DJ mwenye makengeza mtu aliyefeli kila kitu anatapeli hela za Chama za familia anakitumia Chama kuhonga huyu hata wafuasi wake ni wajinga wajinga kama wewe jiulize Chama kinaongoza na kilaza mnywa konyagi
Huwa najadiliana na watu wenye akili timamu.

Sijawahi kuwa mfuasi wa mtu na sitakuwa. Wenye akili ndigo ndio mnaofikiria kuwa wafuasi wa watu lakini wenye akili nzuri tunakuwa wafuasi wa falsafa na siyo mtu.
 
Back
Top Bottom