Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hapo sasa!Mara nyingi "sisi " matajiri tunachukiwa sana na matajiri wenzetu.Sijajua shida ni ipi hasa!Mleta mada ametanguliza chuki zake binafsi kwanza halafu akatumia chuki zake kujenga mada
siwezi kubishana sana na wewe. Tusubiri matokeo ya November 2024. Tutarudi hapa, usikimbieUlichoandika ni uongo mtupu. Nadhani huijui siasa za USA kwa kina.
Trump hawezi kuimaliza vita ya Ukraine kwa sababu hakuianzisha yeye, vita ya Ukraine itakwisha siku Putin akishindwa vita au akiitwaa ukraine yoyote. Trump anasimama wapi katika hilo?
Kuhusu uzalishaji viwandani, Biden amekuwa ni rais bora kuliko wengi katika hilo, rekodi ambayo Trump hakuwahi hata kuiwaza.
Suala la LGBT kwa marekani linalindwa na sheria za kupinga upaguzi wa rangi na wahamiaji, hakuna namna Trump anaweza kukabiliana nalo bila kuipasua USA vipande vipande. Na makundi yenye mlengo wa kuunga mkono hayo ndio makubwa zaidi na yaliyobeba wapiga kura wengi wazuri kwa zaidi ya 70%. Trump apingane nayo halafu apigiwe kura na nani?
Kuhusu vita, anza kujiuliza mtazamo wa Trump kuhusu mashariki ya kati (ambapo kitisho cha vita ya dunia ni kikubwa zaidi), Trump anaunga mkono msimamo wa Israel kuendeleza vita na Kamala Harris anataka zaidi mazungumzo ya amani kusitisha vita. Na kanuni rahisi ya kihistoria huwa, Republican ni wapenda vita zaidi huku Democratic ni wapenda mazungumzo zaidi kwenye mizozo.
Mwisho kabisa ukitaka kujua ni kwanini Kamala Harris huenda atashinda urais kirahisi sana nenda kaangalie ni kwanini 2008 Democratic walimpitisha Obama kugombea urais na mwisho wamerekani wengi wakampigia kura na kushinda uchaguzi. Uchaguzi huu ni kama marudio ya mwaka 2008.
AbsolutelyNonsense
kuna kamsemo kanasema adui yako ni adui wa adui wako ,ukifika hapo patana na huyo adui wa adui,IRAN haimtak Trump ,na US pia hawamtaki,ndio maana sasa hivi US na Iran wako pamoja kuhakikisha huyu kibaraka wa Putin hashindUjio wa Kamala umekuwa kama ngumi ya ghafla kwa Trump na Republicans iliyowapeleka chini, hawakutegemea kabisa.
Baada ya lile shambulio la risasi Trump alionekana kuwa clear favourite, lakini ujio wa Kamala ghafla umemgeuza Trump kuwa clear loser.
Walau wewe unazungumza sense, huyu mtoa mada analeta ushabiki.Sikukatalii kuhusu kampeni ila awe makini sana. She is still a women, a liberal from San Fransisco bay area. If Trump can tie her to all the liberal policies of California then he still has a chance to clinch the presidency come November. Trump need discipline and that is all because most American trust him on economy and that is what matter. She need to come to the middle as she was for healthcare for all, banning fracking while it is an industry that can make or break you in Pennsylvania, Ohio. She need to trade very carefully on the issues or else she shall see all her leads evaporating in the election night.
Sawa, akipigwa huyo maza ako tutakuja kufukua kaburi.Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.
Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Mmh Kuna mtume yyt katangaza hivyo?Mwaka-Trump hana tofauti na Magufuli kabisa,
Trump kila akisimama ni kusema Marekani imechezewa na inachezewa, sasa watu wa Tanganyika wao makofi tu, wazungu hawapo hivo
Mitume na manabii wanaotanganza ushind kwa Trump wataficha wapi uuso
Wahamiaji wepi hao?Unafananisha siasa za CCM na siasa za Marekani?
Kule sasa hivi Wahamiaji wako tumbo moto! Wakati dunia inaomba Trump ashike dola ili azuie vita vya dunia vya tatu ambavyo viko karibu kutokea wengine wanaomba dunia itawaliwe na Wapenda haki za binadamu (ushoga na usagaji) na vita!
Je Wazee wa Marekani wenye nchi yao wako tayari kuongozwa na Mwanamke?Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.
Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Mkuu umekula propaganda za fake news media nawe unatulisha hapa kwa raha zako...... Trump hakuwa convict wala hakuwa na felony yoyote mwaka 2016. Wahuni wa US ndo wamemfungulia makesi ili kumzuia asishiriki uchaguzi, wamemuondoa kwenye karatasi za kura baadhi ya majimbo ya madems karudishwa na SCOTUS.... wamejaribu kumuua Mungu kamnusuru.Kwa ninayolijua taifa kubwa USA, lilikuwa ni kosa kubwa kumpa uongozi felon na ex-convict kama Trump mwaka 2016. Pia kwa ninavyoifahamu Marekani hilo kosa haliwezi kurudiwa.
Trump wannabe dictator ambaye ndoto yake ni kuitawala USA kwa mkono wa chuma kama Putin nchini Urusi, Kamala Harris ataizima hiyo ndoto ya Trumo mapema asubuhi mwezi November!
Kuna watu wana wasiwasi kwa vipi mwanamke anaweza kuwa Rasi wa wa Marekani. Naomba niwaondoe wasi wasi, kwa taifa la kidemokrasia kama USA hilo lawezekana sana tu.
Natazama convention ya DEMOCRATS ikiendelea mjini Chicago na nawaambia ile ya Trump wa REPUBLICANS ilikuwa cha mtoto! Kamala Harris hana mpinzani, anashinda mapema asubuhi.
Trump alipokuwa Rais miaka 4 yote hakuna vita mpya iliyoanzishwa. Mnalishwa matango pori wakati mnashinda mtandaoni aisee?Kwa wapenda amani duniani Kamala anachaguliwa kuwa Rais.
D. Trump ni mtu mbaya sana hafai kwa jamii ya watu waliostarabika
Kamara kwenye kura za ndani ya chama chake alishindwa kwa mbali. Leo ghafla anabebwa na fake media. WahuniJe Wazee wa Marekani wenye nchi yao wako tayari kuongozwa na Mwanamke?
Kati ya Kamala Harris na Hillary Clinton yupi Mwenye nguvu na ushawishi kumzidi mwenzie?
Maisha ya wananchi wa usa yalikuwa mabaya sana kipindi cha Trump kiongozi.Trump alipokuwa Rais miaka 4 yote hakuna vita mpya iliyoanzishwa. Mnalishwa matango pori wakati mnashinda mtandaoni aisee?
Kamala atakuwa puppet wa deep state
Kwa kawaida sijibu upuuzi kama huu wako lakini nakuomba kama utakuwa na muda ufuatilie yanayojiri kwenye Convention mjini Chicago.Mkuu umekula propaganda za fake news media nawe unatulisha hapa kwa raha zako...... Trump hakuwa convict wala hakuwa na felony yoyote mwaka 2016. Wahuni wa US ndo wamemfungulia makesi ili kumzuia asishiriki uchaguzi, wamemuondoa kwenye karatasi za kura baadhi ya majimbo ya madems karudishwa na SCOTUS.... wamejaribu kumuua Mungu kamnusuru.
Anashinda uchaguzi. Madikteta ni hao wanaopitisha mgombea urais bila kumshindanisha
Hivi mnaposema kukemea ushoga mnakuwa na taarifa sahihi au mnaandika tu!? Marekani ushoga unalindwa na sheria na mashoga na supporters wao ndo wameshika hizo kura za urais so hilo ni eneo ambalo hakuna mwenye uwezo wa kuligusa. Tuache ushabiki wa kahawa.Unaandika kishabiki maandazi tu. Hujaangalia global politics. Sera za Trump za kumaliza vita vya Ukraine, kuzuia wahamiaji haramu Marekani, kukemea ushoga (LGBT), kuongeza uzalishaji viwandani na kuweka kodi nafuu vinamfanya Trump awe chaguo la wengi
Kwani wewe ni shoga? Mbona unatumia nguvu nyingi kutetea? Soma hapa kauli yake ya janaHivi mnaposema kukemea ushoga mnakuwa na taarifa sahihi au mnaandika tu!? Marekani ushoga unalindwa na sheria na mashoga na supporters wao ndo wameshika hizo kura za urais so hilo ni eneo ambalo hakuna mwenye uwezo wa kuligusa. Tuache ushabiki wa kahawa.