Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

🀣🀣🀣🀣
 
Watanganyika wengi hatuna akili, inawezekanaje kuruhusu hili litokee?
Nenda Zanzibar ukaone anavyoijenga kwa mgongo wa Rais Mwinyi, kaangalieni huko barabara za ndani ndani kwa sasa zinanjengwa kwa lami kila kona,
Mtakuja kushtuka au atawaachieni nchi yenu na madeni lukuki ambayo kuyalipa ni shughuli pevu.
 
HUU MSIMAMO WAKO BADO UPO??? WENZETU WANAELEWA KABISA MWANAMAMA HATOSHI KWENYE NAFASI ZA JUU ZA NCHI. SISI WA KWETU KILA SIKU TUNAMPA SIFA ZISIZO ZAKE ETI ANAUMIMINA MWINGI.
 
Nikirudi DSM ntakupeleka Johari Rotana tukapate lunch. Umenifurahisha sana.​
 
Mbona kashindwa
 
Vp bado unaamini ulichokiandika?
 
Bobu upo au umelala?? Hahaha
 
Unavyoifahamu USA 🀣🀣🀣 hii kiherehere utaacha lini?
 
Alisikika Mmarekani wa kwa Mtogole
 
Mwaka-Trump hana tofauti na Magufuli kabisa,

Trump kila akisimama ni kusema Marekani imechezewa na inachezewa, sasa watu wa Tanganyika wao makofi tu, wazungu hawapo hivo

Mitume na manabii wanaotanganza ushind kwa Trump wataficha wapi uuso
yako wapi?..
huu uongo uliutafakari ukiwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…