Uchaguzi wa Chadema kwa viongozi wa kitaifa hautakua na amani, utagubikwa na vurugu na rushwa zaidi ya ule wa Bavicha na Bawacha, utahairishwa.

Uchaguzi wa Chadema kwa viongozi wa kitaifa hautakua na amani, utagubikwa na vurugu na rushwa zaidi ya ule wa Bavicha na Bawacha, utahairishwa.

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa hali ya uhasama ilipofikia baina ya wagombea wenyewe, lakini pia hali ya uhasama na uadui wa kweli kabisaa baina ya wafuasi wa wagombea uenyekiti wa Chadema Taifa.

Posho na malipo ya kujikimu kwa wajumbe inaweza kua chanzo cha fujo kwenye uchaguzi huo.

Ni dhahiri, ustahimilivu umefikia ukomo, na kuna kila dalili kwamba hakuna atakae kubali mchakato wa uchaguzi uhujumiwe na wala hayupo alie tayari kukubali matokeo yasiyompendeza au yasiyo ya upande wake.

Posho na malipo ya kujikimu kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, inaweza kua chanzo cha fujo ndani ya ukumbi wa uchaguzi. Njaa na kiu ni kali, kesho yao haina uhakika na wala haujulikani.

Ngumi kavukavu na mateke vitashuhudiwa, tuhuma za rushwa zitasababisha viti kurushwa na meza kupinduliwa, huku vifaa vya uchaguzi viharibuliwa vibaya.

Vyombo vya ulinzi na usalama vitatuliza hali ya mambo na kuwatawanya wajumbe wasiendele kufanya fujo ukumbini na kuhatarisha amani kwa wasio husika na uchaguzi.

Uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa utafutwa na kuahirishwa, hadi wakati mwingine. Hali hiyo itazidisha uhasama zaidi na huenda pakawepo magharibi ya mapinduzi ya uongozi wa chadema 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Hili hata mimi nimeshaliona litatokea kwa kiwango kikubwa sana, huu uchaguzi hautaisha salama. Kuna watu watatolewa damu na kukimbizwa hospital.
Mbowe alijitahidi sanaa kuficha na kutoonesha hana ubaya na Lissu, ila Lissu kaendelea kumrushia mishale ya moto kila uchwao.

Nina mpongeza sana John Heche kajitahidi kubalance Hoja zake pasipo kumtweza mbowe kikatiri.

Tutegemee vurugu kubwa na Jeshi la polisi ndo litawaokoa wahanga na litapongezwa kwa mara ya kwanza na CDM zaidi ya vile wanavyolishutumu miaka yote.
 
Maombi yetu ,uchaguzi usitishwe,Kuna taarifa kutoka kwenye vyombo vyetu,vinavyoonyesha,kutokuwa uchaguzi wa amani!
Uchaguzi utafanyika baada ya uvhaguzi mkuu wa October 2025
 
Gentleman,
I can confirm to you without fear of contradictions,
Watapigana halafu wataumizana na uchaguzi utaahirishwa.

Take note plz 🐒
Bora ungesema kuwa ni mpango unaopanga wewe na genge lako la vurugu.

Unatuaibisha huku Lumumba kwa kupanga kufanya vurugu kwa vyama vingine huko.
 
Bora ungesema kuwa ni mpango unaopanga wewe na genge lako la vurugu.

Unatuaibisha huku Lumumba kwa kupanga kufanya vurugu kwa vyama vingine huko.
dhamira na nia za wagombea uenyekiti na wafuasi si njema, uhasama umefikia ukomo wa uvumilivu, harufu ya damu imetanda kuelekea uchaguzi huo.

hapatakua na utulivu, usalama na amani siku ya uchaguzi wa chadema taifa gentleman 🐒
 
Hata mimi nawaza kama wewe lakini chanzo kitakuwa ni vyombo vya dola kutumika kuvuruga huo uchaguzi pamoja na hela za Mama Abduli.

All in all, watatuchelewesha tu lakini mabadiliko hayaepukiki
 
Kwa hali ya uhasama ilipofikia baina ya wagombea wenyewe, lakini pia hali ya uhasama na uadui wa kweli kabisaa baina ya wafuasi wa wagombea uenyekiti wa Chadema Taifa.

Posho na malipo ya kujikimu kwa wajumbe inaweza kua chanzo cha fujo kwenye uchaguzi huo.

Ni dhahiri, ustahimilivu umefikia ukomo, na kuna kila dalili kwamba hakuna atakae kubali mchakato wa uchaguzi uhujumiwe na wala hayupo alie tayari kukubali matokeo yasiyompendeza au yasiyo ya upande wake.

Posho na malipo ya kujikimu kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, inaweza kua chanzo cha fujo ndani ya ukumbi wa uchaguzi. Njaa na kiu ni kali, kesho yao haina uhakika na wala haujulikani.

Ngumi kavukavu na mateke vitashuhudiwa, tuhuma za rushwa zitasababisha viti kurushwa na meza kupinduliwa, huku vifaa vya uchaguzi viharibuliwa vibaya.

Vyombo vya ulinzi na usalama vitatuliza hali ya mambo na kuwatawanya wajumbe wasiendele kufanya fujo ukumbini na kuhatarisha amani kwa wasio husika na uchaguzi.

Uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa utafutwa na kuahirishwa, hadi wakati mwingine. Hali hiyo itazidisha uhasama zaidi na huenda pakawepo magharibi ya mapinduzi ya uongozi wa chadema 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

Kwani uchaguzi hautakuwa huru, haki wala wa kuaminika?

Au chama mboga mboga mna mpango wa kumpitisha swahiba wenu kinyemela?
 
Kwani uchaguzi hautakuwa huru, haki wala wa kuaminika?

Au chama mboga mboga mna mpango wa kumpitisha swahiba wenu kinyemela?
posho,
uhasama na uadui miongoni mwa wagombea na wafuasi wao wamejiandaa vyema kuvuruga uchaguzi huo gentleman 🐒
 
Hata mimi nawaza kama wewe lakini chanzo kitakuwa ni vyombo vya dola kutumika kuvuruga huo uchaguzi pamoja na hela za Mama Abduli.

All in all, watatuchelewesha tu lakini mabadiliko hayaepukiki
jaribu kupima tu kwa umakini na ustaarabu, wafuasi wa nani watakubali matokeo yasiyo ya upande wao?🐒
 
dhamira na nia za wagombea uenyekiti na wafuasi si njema, uhasama umefikia ukomo wa uvumilivu, harufu ya damu imetanda kuelekea uchaguzi huo.

hapatakua na utulivu, usalama na amani siku ya uchaguzi wa chadema taifa gentleman 🐒
Cha kushangaza wengi sasa hautaona vurugu ya aina yoyote, nakuhakikishia atakaeshindwa atakuwa wa kwanza kumpongeza mwenzake. Hii CHADEMA wanataka watoe somo kwa CCM jinsi uchaguzi unavyopaswa kuwa.
Yapige LAMINATION haya maneno utanishukuru baada ya uchaguzi. 😉
 
Lissu na Heche wamenunua silaha za jadi kwa ajili ya kufanyia fujo, na wamekodi watu kutoka sehemu mbalimbali
 
Cha kushangaza wengi sasa hautaona vurugu ya aina yoyote, nakuhakikishia atakaeshindwa atakuwa wa kwanza kumpongeza mwenzake. Hii CHADEMA wanataka watoe somo kwa CCM jinsi uchaguzi unavyopaswa kuwa.
Yapige LAMINATION haya maneno utanishukuru baada ya uchaguzi. 😉
wakati wafuasi wao wakizichapa kavukavu wagombea watakua wameshatolewa ukumbini kwa sababu za kiusalama.

Infact,
zoezi la kuhesabu kura haliwezi kukamilika. Patatokea fujo la maana gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom