Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

Kenya 2022 General Election
Hizo ndio habari za hivi punde zikisema makamishna wa uchaguzi mkuu wa Kenya wamegawanyika huku wakidai kuna mambo wasiyokubaliana nayo na hivyo hawako tayari kutangaza mshindi wa kiti cha urais wa Kenya.

Inasemekana vurugu zinaendelea ukumbini huku wafuasi wa Odinga wakipinga kutangazwa kwa matokeo. Makamu mwenyekiti wa tume apingana na mwenyekiti wa tume.
 
Hizo ndio habari za hivi punde zikisema makamishna wa uchaguzi mkuu wa Kenya wamegawanyika huku wakidai kuna mambo wasiyokubaliana nayo na hivyo hawako tayari kutangaza mshindi wa kiti cha urais wa Kenya.
Chadema wapo? 😬😬😬😬
 
Wakati mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya anajiandaa kutoa statement ya matokeo na mshindi wa Urais.

Makamu mwenyekiti wa Tume muda huu hayupo Bomas, anatoa statement yake kwa umma ktk Hotel ya Serena. Wanajitoa katika matokeo yanayotangazwa. Ameambatana na makamishna watatu wa Tume.

Wakati huu Bomas kuna vurugu ndani ya ukumbi eneo la hightable

Tuendelee kuwaombea wasiingie kwenye mpasuko

Wamegoma kuyatambua matokeo.

Hao ni makamu mwenyekiti wa tume na makamishna wanne

Naomba wataalam wa sheria za Kenya waje kutufafanulia hapa kama Mwenyekiti wa Tume Bw. Wafula Chibukati akitangaza matokro yatakuwa halali kwa usahihi wake.

Ikumbukwe amesalia na makamishna wawili huku yeye akiwa wa tatu ilhali Naibu Mwenyekiti Juliana na makamishna wenzake watatu wanakuwa jumla ya wanne.

IMG-20220815-WA0038.jpg
 
Wajumbe wanne wa IEBC wameitisha Pres Conference na kusema kwamba hawataki kuhusishwa na matokeo ambayo Chebukati amepanga kuyatangaza.
 
Back
Top Bottom