Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

Kenya 2022 General Election
Kitendo cha kuacha matokeo wazi kila mtu kuyaona ndicho kilichofanya washindwe hata kuyachezea, kwa uhakika Ruto alistahili ushindi
 
Mwenyekiti wa uchaguzi nae ameamua kumaliza muda wake.
 
IEBC Commissioners Have Spit into Two Camps:

Juliana Cherera
Francis Wanderi
Justus Nyang’aya
Irene Masit

Have disowned the results to be announced by:

Wafula Chebukati
Abdi Yakub Guliye
Boya Molu

Under IEBC Act, decisions are by majority. Minority decision is void.
 
Odinga atulie tuu mana kila Mkenya anajua matokeo kuwa Ruto ndiye mshindi wa urais. Matokeo yalikuwa wazi hata Odinga mwenyewe anajua ameshindwa.
 
IEBC Commissioners Have Spit into Two Camps:

Juliana Cherera
Francis Wanderi
Justus Nyang’aya
Irene Masit

Have disowned the results to be announced by:

Wafula Chebukati
Abdi Yakub Guliye
Boya Molu

Under IEBC Act, decisions are by majority. Minority decision is void.
Which act?
 
Hakuna mantiki: wajumbe wanne Kati ya saba wa Tume wamepinga matokeo. Hakuna mantiki.
 
IEBC Commissioners Have Spit into Two Camps:

Juliana Cherera
Francis Wanderi
Justus Nyang’aya
Irene Masit

Have disowned the results to be announced by:

Wafula Chebukati
Abdi Yakub Guliye
Boya Molu

Under IEBC Act, decisions are by majority. Minority decision is void.
Thanks ,Kenya's,thanks IEBC, THANS UHURU, MZEE WA TAIFA LA KENYA SASA , narudi jukwaa la siasa jf wapo waliosema Ruto hawezi KUWA rais , nipambane nao KWa hoja,Sasa Uhuru sio Mjinga nasema tena
 
Kuna kitu nimejifunza hapa tume huru kwa nchi zetu haifai kabisa

Kwa mfano tukiwa na tume huru labda mwenyekiti atakuwa Aduraham Kunana CCM alafu makamu mwenyekiti atakuwa John mnyika CDM

Katika harakati za uchaguzi hapo wanaweza kutofautiana kila mmoja akatangaza kivyake ndicho kunachotekea Kenya kwa sasa

Sitaki tena kusikia habari za tume huru

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Sababu aliyoeleza Juliana Cherera kwa ajili ya kutoyatambua matokeo ni OPAQUENESS. Kuna wakati walitaka ku-acess sensitive data ili ku-share na watu wake huko nje (mbali na maafisa wa IEBC), ambapo wao hawaruhusiwi hadi chairperson atangaze.

Walipopigwa stop, huku wakipata pressure ya Team-Raila, wakaondoka (kwa kutoroka) hadi Serena Hotel ili kukana matokeo.

But the only point yao ni OPAQUENESS--it means kuna data hawakuruhusiwa kuiona kama maafisa wa IEBC.

Nilitegemea waseme kwamba matokeo si halali, wao wamedai tu kwamba hawakuruhusiwa kuona matokeo hayo.

Updates zingine kesho. Hapa naelekea kupokea posho yangu. Then ntalala kidogo.

Congratulations WSR and your best friend ever Uhuru Kenyatta!
 
Hao waliopinga ni wafuasi wa Odinga
Obviously. Na waliingizwa just recently (si muda mrefu), kwa lengo maalum. Sasa Wafula Chebukati, gwiji wa seva, alijua namna ya kucheza vyema na hisia zao.

Speech ya Chebukati nadhani ilikuwa bora sana ukizingatia hali ilivyokuwa imeanza kuchafuka. Pamoja na yote aliyosema, ali-affirm CREDIBILITY ya matokeo (jambo walilosema pia wale waasi 4 wa Raila kule Serena Hotel).

Uzuri Ruto mwenyewe ni mafia wa hayo mambo
How? Mbona kasema mwenyewe I have been literally prayed into victory.

kumridhisha raila waende mahakamani
Naam, mkuu. Sasa ni muda mwafaka wa wakili James Orengo kula pesa za Raila na kubeba sifa za Wakenya ambao wangali wakitazamia drama za politics.

But, this time, wasiombe tena akutanishwe na the learned Professor Patrice Lumbumba.

^My lords and ladyships, I want to submit to you that the arguments of my learned friend James Orengo, as much as I respect him, are ANIMUS MANENDI, ANIMUS NOCENDI, and ANIMUS POSSIDENDI--that is, the aim of his submissions is INTENTION TO REMAIN (in power), INTENTION TO HARM (Kenyans), and INTENTION TO POSSESS (where they have not actually garnered). These are clearly DRAMATIS PERSONAE--persons of drama!^
 
Sababu aliyoeleza Juliana Cherera kwa ajili ya kutoyatambua matokeo ni OPAQUENESS. Kuna wakati walitaka ku-acess sensitive data ili ku-share na watu wake huko nje (mbali na maafisa wa IEBC), ambapo wao hawaruhusiwi hadi chairperson atangaze.

Walipopigwa stop, huku wakipata pressure ya Team-Raila, wakaondoka (kwa kutoroka) hadi Serena Hotel ili kukana matokeo.

But the only point yao ni OPAQUENESS--it means kuna data hawakuruhusiwa kuiona kama maafisa wa IEBC.

Nilitegemea waseme kwamba matokeo si halali, wao wamedai tu kwamba hawakuruhusiwa kuona matokeo hayo.

Updates zingine kesho. Hapa naelekea kupokea posho yangu. Then ntalala kidogo.

Congratulations WSR and your best friend ever Uhuru Kenyatta!
Hivi kuna sensitive data zipi zaidi ya yale matokeo ya vituoni ambayo yote yaliwekwa online na yalionyesha Ruto kashinda tangia tarehe 10?
Hawa wamehongwa kuongea upuuzi, waende mahakamani
 
Wakenya mutujuze Vipi Uchaguzi umeenda kwa uhuru na uwazi au ni utata na ubabaishaji ?
 
Back
Top Bottom