Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

Kenya 2022 General Election
... kama ndivyo, why kuidanganya dunia kwa usanii wa demokrasia wakati mawazo yetu yako mbali kabisa na hiyo demokrasia tunayojidai kuihubiri kinafiki ila hatutaki kwa makusudi kuiishi? Bure kabisa!
Demokrasia haina ukweli 100% my dear
 
Makamishna wawili waliokuwa ukumbini waripotiwa kuumizwa kwenye vurugu zilizotokea Bomas
 
William Ruto ndiye rais mteule wa Jamhuri ya Kenya.
 
Wakati mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya anajiandaa kutoa statement ya matokeo na mshindi wa Urais.

Makamu mwenyekiti wa Tume muda huu hayupo Bomas, anatoa statement yake kwa umma ktk Hotel ya Serena. Wanajitoa katika matokeo yanayotangazwa. Ameambatana na makamishna watatu wa Tume.

Wakati huu Bomas kuna vurugu ndani ya ukumbi eneo la hightable

Tuendelee kuwaombea wasiingie kwenye mpasuko

Wamegoma kuyatambua matokeo.

Hao ni makamu mwenyekiti wa tume na makamishna wanne

Naomba wataalam wa sheria za Kenya waje kutufafanulia hapa kama Mwenyekiti wa Tume Bw. Wafula Chibukati akitangaza matokro yatakuwa halali kwa usahihi wake.

Ikumbukwe amesalia na makamishna wawili huku yeye akiwa wa tatu ilhali Naibu Mwenyekiti Juliana na makamishna wenzake watatu wanakuwa jumla ya wanne.

View attachment 2324634
Uyo ikitokea la kutokea ICC inamuhusu,unaweza tumikishwa kesho ukawa peke YAKO Kama kifaranga kitotolewachwo
 
Odinga akacheze na wajukuu sasa. Kenya imeamua
 
Kuna kitu nimejifunza hapa tume huru kwa nchi zetu haifai kabisa

Kwa mfano tukiwa na tume huru labda mwenyekiti atakuwa Aduraham Kunana CCM alafu makamu mwenyekiti atakuwa John mnyika CDM

Katika harakati za uchaguzi hapo wanaweza kutofautiana kila mmoja akatangaza kivyake ndicho kunachotekea Kenya kwa sasa

Sitaki tena kusikia habari za tume huru

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Tetesi: Kwamba William Ruto ameshinda uchaguzi lakini wafuasi wa Odinga hawataki kukubali matokeo.
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi amejitoa katika kutangaza matokeo...

KENYA: TUME YA UCHAGUZI YAGAWANYIKA MATOKEO YA URAIS

Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC), Juliana Cherera amesema yeye na wenzake hawaungi mkono matokeo ya Urais ambayo yanatarajiwa kutangazwa leo Agosti 15, 2022

Amesema "Hatutambui matokeo ambayo wanatarajiwa kutangaza leo kutokana na kukosekana kwa uwazi katika zoezi la Uchaguzi Mkuu"

#KenyaDecides2022 #Democracy #Kenya2022
 
KENYA: TUME YA UCHAGUZI YAGAWANYIKA MATOKEO YA URAIS

Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC), Juliana Cherera amesema yeye na wenzake hawaungi mkono matokeo ya Urais ambayo yanatarajiwa kutangazwa leo Agosti 15...
Ruto ametangazwa kua raisi mteule ruto anahutubia now

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom