Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya ulianza vizuri ni nini kimeusibu?

Kenya 2022 General Election
Hadi hapo nimeshakupiga na kitu kizito kichwani[emoji1787], ulitaka kuleta upumbavu wako wa kuzuia unayempenda wewe asisemwe alafu unayemchukia ndio asemwe. NEVER hii ndio JF, pole sana
Acha kujichekesha chekesha, kalia kwanza hapo usikilizie
 

Attachments

  • IMG_20220725_163649.jpg
    56 KB · Views: 4
Mahakamani kuna kesi ya Gachagua, so hata wakishinda kuna kesi ya zuio la wao kuapishwa mpaka mahakama ikazie hukumu dhidi ya Gachagua.

Alikutwa na hatia ya ufisadi ila Bado jina lake likabaki kwa ballot kinyume na kanuni. Kwa namna yeyote uchaguzi huu utaamuliwa na mahakama sio matokeo haya.

Ila kama uchaguzi utarudiwa Ruto atashinda maana Wapiga kura wa Odinga watakua demoralized kwa kupambana miaka yote alafu waanguke tena!!
 
Tulisimangwa sana na kuambiwa tuwaige. Sawa tutawaiga wakenya role models wetu wa demokrasia
 

Kwa hali hii sidhani kama ndani ya siku 7 matokeo kamili yatakuwa tayari

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…