Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Status
Not open for further replies.
Hiyo ya Dar.. I hope itaisha kimya kimya maana ikilipuka JF mmekwisha... inaonekana mnapata nyeti nyingi kutoka serikalini hata mambo yasiyoandikwa au waandishi hawajui. eg Kwamba Kikwete alienda Ujerumani kunywa chai na kurudi kumuwahi Bush.

shekhe unatunyima uhondo weye.
lete ishu ili tuzikomboe fikra zetu. kwa muda huu kuna tatizo jipya la umeme unawaka nusu-taa maeneo mengi Dar. au ndio hiyo breakin nyuz??
 
Hiyo ya Dar.. I hope itaisha kimya kimya maana ikilipuka JF mmekwisha... inaonekana mnapata nyeti nyingi kutoka serikalini hata mambo yasiyoandikwa au waandishi hawajui. eg Kwamba Kikwete alienda Ujerumani kunywa chai na kurudi kumuwahi Bush.

Mungu aiepushie mbali hili kwa kweli na JF iendelee kuwepo.
Hii mbona inakuwa kali kuliko hata nilivyoisikia mwanzoni???!

tik tak tik tak tik tak... nimekamata pop corn tayari kwa news!
 
Mzee Mwenzangu,

Wewe ninakuaminia kwa dataz, na ninataka kuamini hizi picha ni za kweli kutoka huko Kiteto, na kwamba chanzo cha hawa wananchi kupigwa ni kiu yao ya demokrasia kwa kusaidia chama chochote cha upinzani kushindana na CCM, na kwamba wamepigwa kwa shinikizo la CCM, basi Tanzania tutakuwa tumefika mbali sana na ccm wanahitaji kutoa maelezo mazito on this ishu,

Bado ninatafuta ukweli zaidi kabla ya kuzisukuma mbele hizi picha.

Nathibitisha kuwa picha hizi ni za Kiteto. Kutoka kushoto, Msafiri Mtemelwa- Afisa Mwandamizi- Kampeni na Uchaguzi; Daudi Baraka; Joseph Fuime-Mwenyekiti wa Mkoa wa Ruvuma na Danda Juju Martin- Afisa Mwandamizi- Sera na Utafiti. I reserve my comments for now regarding this matter.

Tume ya uchaguzi nayo imeanza kuleta longo longo; Msimamizi wa uchaguzi ametoa barua inayoeleza kwamba lazima mawakala wa vyama watoke ndani ya kata ambazo wanasimamia kama mawakala. Mimi nilikuwa mgombea 2005, suala hili halipo kwenye sheria- nijuavyo mimi wakala anaweza kutoka sehemu yoyote ili mradi ni mtanzania. Mawakala wangu Ubungo wengine niliwatoa IFM, UDSM nk. Hapa CCM inataka CHADEMA isipate fursa ya kutoa mawakala nje ya Kiteto ambao hawawezi kuwahonga wala kuwatisha. Wanataka mawakala watoke wawe ni wananchi wa kawaida wa Kiteto ili wapate fursa ya kucheza michezo michafu dhidi yao. Hiki ni kipimo cha pili kwa Tume, kipimo cha kwanza kilikuwa pingamizi dhidi ya Kimesera. Sasa Tume Taifa inapaswa kuingilia kati na kumkemea Msimamizi wa uchaguzi ambaye kwa bahati mbaya kwa mujibu wa mfumo wetu wa Tume ya uchaguzi usio huru ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kiteto ambaye ni mtumishi wa serikali na wengi wao ni makada wa chama tawala! Tunakutana na Tume hapa Dar es salaam kesho, natumai watatanguliza mbele sheria, haki na nia ya kujenga taswira kwa umma kwamba ni chombo huru kinachofanya kazi bila kupokea maelekezo toka CCM.

Huko Kiteto, tumewabana sana- wasipopata mwanya wa kutokea KITAELEWEKA. Hakuna Kulala...

JJ
 
Wakubwa,

Operatives wa CCM walikuwa ndani ya Kenya kuhakikisha Kibaki anachukua playbook ya CCM kurudi madarakani. Sijui hiki ndio moja ya mshiko wa MCA kutoka kwa Kichaka au vipi, ila bada ya Kibaki kuapishwa kijeshi jeshi, jamaa wa CCM wakachumpa kurudi bongo, balozi wa marekani akatangaza kutoa pongezi na hata Kichaka akampongeza Kibaki na baada ya Zali kuanza akaondoa pongezi.

Hata kama Polisi walijiamulia bila kutumwa na CCM, je ni wajibu wa nani kuhakikisha vyombo vya dola vinafuuata sheria na katiba na si itikadi za Chama tawala?

Hii inaonekana wazi kutumika kwa ilani na itikadi za Chama katika kuendesha serikali. Mfano katika mipango ya CCM ya 200-2010, kuna lugha ambayo inaashiria kuwa kwa udi na uvumba CCM ihakikishe inashika hatamu ya nchi. Ni rahisi sana kwa lugha hii kueleweka kuwa ni kuhakikisha kuwa Serikali inaitumikia CCM kwa manufaa ya CCM.

Ikiwa Kamati Kuu na Halmashauri KUu zinaweza kuiita Serikali kwa Vikao ambavyo kila mtu Serikalini anaviogopa kuliko Kikao cha BUnge au Baraza la mawaziri, basi hapo mfumo wa Siasa na uongozi wa Chama hiki una walakini.

CCM wanajiona wao ndio Alpha na Omega wa kuongoza Tanzania. Kipigo cha Kiteto ni dalili rasmi ya hasira zao kwa Upinzani dhidi ya Ufisadi na uharamia wa kuhujumu uchumi unaofanywa na CCM.

This is free press for Opposition as long as our reporters and political opperatives will be quick to act.

Perfect opportunity to put Kikwete on spotlight, if he is to have another press conference with George Bush.

Someone ought to ask Kikwete what is his stand on Tanzanian Police acting as stooges or an armed force of the ruling party to suppress opposition ? can he explain if Tanzanian government is partner for change and he is AU chairman, how can anyone trust his leadership if Police which is a government institution entrusted to protect and serve the nation is biased and act as agents for rulling party, by beating up opposition party members or delay to act on injustice practice done by CCM?

How can he Kikwete expect to mend the conflict in Kenya if he is silent about Police and CCM tacticts in his own country?
 
Habari za kawaida
Posted Date::2/18/2008
Viongozi sita Chadema wajeruhiwa vurugu za uchaguzi
Na Mussa Juma,Kiteto

VIONGOZI sita waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka makao makuu ya chama hicho, wamejeruhiwa vibaya mmoja akiwa mahututi baada ya kupigwa na kuchomwa visu na kundi la vijana wanaodhaniwa kuwa ni wa CCM na Polisi katika vurugu za uchaguzi Jimbo la Kiteto ambalo lipo wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Benedict Lusulutya (CCM) kufariki dunia hivi karibuni.


Licha ya kupigwa viongozi hao pia walimwagiwa kemikali machoni ambayo bado haijafahamika na kusababisha kutoona kwa zaidi ya nusu saa na mmoja wao hadi jana macho yalikuwa yake hayaoni.


Vurugu hizo zilitokea katika kata ya Kijungu wilayani hapa juzi majira ya saa 12 jioni , baada ya kundi la vijana hao maarufu kama Green Guard kutoka jijini Dar es Salaam, kuvamia viongozi hao wa Chadema wakiwa katika ofisi yao ya kata ya Kijungu kwa tuhuma za kuwapigia kelele wakiwa katika eneo lao la mkutano.


Waliopigwa ambao hadi jana asubuhi hali zao zilikuwa mbaya na wengine kulazwa katika hospitali ya wilaya hiyo ni Hamadi Mussa Yusuph Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar, Juju Danda, Afisa mwandamizi kurugenzi ya bunge na halmashauri kuu Taifa.


Wengine ni Joseph Freme(43) Mwenyekiti wa Ruvuma Chadema na mjumbe wa kamati kuu,Msafiri Mtemelwa, Kaimu Mkurugenzi wa kampeni na Uchaguzi,Selemani Mohamed mjumbe wa uchaguzi Kiteto.


Katika sakata hilo, dereva wa gari la makao makuu Daudi Baraka ndiye alijeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu na kupigwa vibaya ambaye hadi jana hali yake ilikuwa mahututi akiwa anaongezewa maji na kushonwa nyuzi kadhaa.


Freme alisema licha ya kupigwa viongozi hao, pia walikamatwa na kupigwa na polisi wa kituo kidogo cha Kijungu ambao awali walikuwa pamoja na viongozi wa CCM, Katibu Mkuu Yusuph Makamba na Makamu Mwenyekiti Pius Mswkwa.


"Sisi hatukupigwa sana na green guard pale ofisini lakini tulipofikishwa kituo kidogo cha polisi kijungu ndipo tulipigwa sana japo kuwa tayari mwenzetu alikuwa amechomwa kisu ubavuni," alisema Freme ambaye alikuwa hajaweza kutembea hadi jana.


Hata hivyo alisema mara baada ya kuona wakipigwa ovyo, alipiga simu kwa IGP na baadaye aliambiwa awasiliane na mkuu wa polisi mkoa wa Manyara ambaye baadaye ndiye alituma polisi kuja katika kituo hicho kutoka makao makuu ya wilaya hiyo umbali wa takriban kilometa 70.


Viongozi hao, waliashiwa na polisi majira ya saa tano usiku baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa,Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na Mbunge wa viti maalum Grace Kiwelu.


Viongozi hao mara baada ya kuandikisha maelezo yao kwa� mkuu wa polisi wa wilaya ya Kiteto,Archi Killo waliachiwa kwa dhamana na kupewa hati ya matibabu PF 3 na walitakiwa jana asubuhi kuripoti polisi.


Akizungumzia mgogoro huo, Msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata ya Kijungu, Ibrahim Mdugo alisema vurugu hizo zilianza majira ya saa 12 jioni baada ya kundi la vijana hao wa CCM kuanza kulalamikia kelele kutoka kwa viongozi hao wa Chadema waliokuwa wakisimamia kwaya yao iliyokuwa inafanya mazoezi.


Mdugo alisema awali viongozi hao wa Chadema walikuwa na gari lao wakitangaza watu kujitokeza kupiga kura Februari 24 bila ya woga wakitumia vipaza sauti ambavyo CCM waliokuwa katika mkutano ulikuwa unahutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Pius Msekwa walikuwa wanalalamikia.
 
mwanakijiji nasubiri breaking news
poleni sana wana cHADEMA kwa faulo mnazochezewa na chama kilichozeeka.

ushindi ni lazima MNYIKA au vp??
 
Nathibitisha kuwa picha hizi ni za Kiteto. Kutoka kushoto, Msafiri Mtemelwa- Afisa Mwandamizi- Kampeni na Uchaguzi; Daudi Baraka; Joseph Fuime-Mwenyekiti wa Mkoa wa Ruvuma na Danda Juju Martin- Afisa Mwandamizi- Sera na Utafiti. I reserve my comments for now regarding this matter.

Tume ya uchaguzi nayo imeanza kuleta longo longo; Msimamizi wa uchaguzi ametoa barua inayoeleza kwamba lazima mawakala wa vyama watoke ndani ya kata ambazo wanasimamia kama mawakala. Mimi nilikuwa mgombea 2005, suala hili halipo kwenye sheria- nijuavyo mimi wakala anaweza kutoka sehemu yoyote ili mradi ni mtanzania. Mawakala wangu Ubungo wengine niliwatoa IFM, UDSM nk. Hapa CCM inataka CHADEMA isipate fursa ya kutoa mawakala nje ya Kiteto ambao hawawezi kuwahonga wala kuwatisha. Wanataka mawakala watoke wawe ni wananchi wa kawaida wa Kiteto ili wapate fursa ya kucheza michezo michafu dhidi yao. Hiki ni kipimo cha pili kwa Tume, kipimo cha kwanza kilikuwa pingamizi dhidi ya Kimesera. Sasa Tume Taifa inapaswa kuingilia kati na kumkemea Msimamizi wa uchaguzi ambaye kwa bahati mbaya kwa mujibu wa mfumo wetu wa Tume ya uchaguzi usio huru ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Kiteto ambaye ni mtumishi wa serikali na wengi wao ni makada wa chama tawala! Tunakutana na Tume hapa Dar es salaam kesho, natumai watatanguliza mbele sheria, haki na nia ya kujenga taswira kwa umma kwamba ni chombo huru kinachofanya kazi bila kupokea maelekezo toka CCM.

Huko Kiteto, tumewabana sana- wasipopata mwanya wa kutokea KITAELEWEKA. Hakuna Kulala...

JJ

Mnyika poleni sana na haya masaibu yote mkuu,

Watanzania wanawaombea mfanikiwe!
Vilio vya watoto wachanga wenye njaa!
Vilio vya mama wajawazito wasio na dawa!

Maombi ya wapenda haki na amani yako nanyi!
JF na wapenda haki na amani wanawapongeza!
Kazi mbele mkuu mpaka kieleweke ila inatisha!
 
Habari za kawaida
Posted Date::2/18/2008
Viongozi sita Chadema wajeruhiwa vurugu za uchaguzi
Na Mussa Juma,Kiteto

VIONGOZI sita waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka makao makuu ya chama hicho, wamejeruhiwa vibaya mmoja akiwa mahututi baada ya kupigwa na kuchomwa visu na kundi la vijana wanaodhaniwa kuwa ni wa CCM na Polisi katika vurugu za uchaguzi Jimbo la Kiteto ambalo lipo wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Benedict Lusulutya (CCM) kufariki dunia hivi karibuni.


Licha ya kupigwa viongozi hao pia walimwagiwa kemikali machoni ambayo bado haijafahamika na kusababisha kutoona kwa zaidi ya nusu saa na mmoja wao hadi jana macho yalikuwa yake hayaoni.


Vurugu hizo zilitokea katika kata ya Kijungu wilayani hapa juzi majira ya saa 12 jioni , baada ya kundi la vijana hao maarufu kama Green Guard kutoka jijini Dar es Salaam, kuvamia viongozi hao wa Chadema wakiwa katika ofisi yao ya kata ya Kijungu kwa tuhuma za kuwapigia kelele wakiwa katika eneo lao la mkutano.


Waliopigwa ambao hadi jana asubuhi hali zao zilikuwa mbaya na wengine kulazwa katika hospitali ya wilaya hiyo ni Hamadi Mussa Yusuph Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar, Juju Danda, Afisa mwandamizi kurugenzi ya bunge na halmashauri kuu Taifa.


Wengine ni Joseph Freme(43) Mwenyekiti wa Ruvuma Chadema na mjumbe wa kamati kuu,Msafiri Mtemelwa, Kaimu Mkurugenzi wa kampeni na Uchaguzi,Selemani Mohamed mjumbe wa uchaguzi Kiteto.


Katika sakata hilo, dereva wa gari la makao makuu Daudi Baraka ndiye alijeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu na kupigwa vibaya ambaye hadi jana hali yake ilikuwa mahututi akiwa anaongezewa maji na kushonwa nyuzi kadhaa.


Freme alisema licha ya kupigwa viongozi hao, pia walikamatwa na kupigwa na polisi wa kituo kidogo cha Kijungu ambao awali walikuwa pamoja na viongozi wa CCM, Katibu Mkuu Yusuph Makamba na Makamu Mwenyekiti Pius Mswkwa.


"Sisi hatukupigwa sana na green guard pale ofisini lakini tulipofikishwa kituo kidogo cha polisi kijungu ndipo tulipigwa sana japo kuwa tayari mwenzetu alikuwa amechomwa kisu ubavuni," alisema Freme ambaye alikuwa hajaweza kutembea hadi jana.


Hata hivyo alisema mara baada ya kuona wakipigwa ovyo, alipiga simu kwa IGP na baadaye aliambiwa awasiliane na mkuu wa polisi mkoa wa Manyara ambaye baadaye ndiye alituma polisi kuja katika kituo hicho kutoka makao makuu ya wilaya hiyo umbali wa takriban kilometa 70.


Viongozi hao, waliashiwa na polisi majira ya saa tano usiku baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa,Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na Mbunge wa viti maalum Grace Kiwelu.


Viongozi hao mara baada ya kuandikisha maelezo yao kwa� mkuu wa polisi wa wilaya ya Kiteto,Archi Killo waliachiwa kwa dhamana na kupewa hati ya matibabu PF 3 na walitakiwa jana asubuhi kuripoti polisi.


Akizungumzia mgogoro huo, Msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata ya Kijungu, Ibrahim Mdugo alisema vurugu hizo zilianza majira ya saa 12 jioni baada ya kundi la vijana hao wa CCM kuanza kulalamikia kelele kutoka kwa viongozi hao wa Chadema waliokuwa wakisimamia kwaya yao iliyokuwa inafanya mazoezi.


Mdugo alisema awali viongozi hao wa Chadema walikuwa na gari lao wakitangaza watu kujitokeza kupiga kura Februari 24 bila ya woga wakitumia vipaza sauti ambavyo CCM waliokuwa katika mkutano ulikuwa unahutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Pius Msekwa walikuwa wanalalamikia.

Mhh,

Hii sasa inatisha. Nilidhani kuwa wakuu wataona aibu kuwa Kichaka yuko bongo?
 
Nathibitisha kuwa picha hizi ni za Kiteto. Kutoka kushoto, Msafiri Mtemelwa- Afisa Mwandamizi- Kampeni na Uchaguzi; Daudi Baraka; Joseph Fuime-Mwenyekiti wa Mkoa wa Ruvuma na Danda Juju Martin- Afisa Mwandamizi- Sera na Utafiti. I reserve my comments for now regarding this matter.


JJ

Nyongeza tu: Danda Juju Martin ni Afisa Mwandamizi(Idara ya Sera na Utafiti) katika Kurugenzi ya Bunge na Halmashauri.

JJ
 
Tunawapa pole sana kwa kuumizwa kiasi hicho na tunalaani vitisho, vipigo, na kudhalilishana kokote kule, iwe kisias au vingine.

Tunaitaka serikali ichukuwe hatua za haraka na za makusudi kabisa kuona haki inatendeka na dhulma inadhibitiwa.

Haya mambo yakifungiwa macho yanaweza kutupeleka pabaya sana. Tunakemea vikali vitendo hivi vya kinyama vilivyofanywa mbele ya mapolisi.

Tunatowa mwito kwa serikali: mapolisi wote waliohusika na uvunjaji wa amani wachukuliwe hatuwa kali za kisheria ikiwamo na kuwajibishwa mara moja.
 
Nyongeza tu: Danda Juju Martin ni Afisa Mwandamizi(Idara ya Sera na Utafiti) katika Kurugenzi ya Bunge na Halmashauri.

JJ

Viongozi sita Chadema wajeruhiwa vurugu za uchaguzi
Na Mussa Juma,Kiteto

VIONGOZI sita waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka makao makuu ya chama hicho, wamejeruhiwa vibaya mmoja akiwa mahututi baada ya kupigwa na kuchomwa visu na kundi la vijana wanaodhaniwa kuwa ni wa CCM na Polisi katika vurugu za uchaguzi Jimbo la Kiteto ambalo lipo wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Benedict Lusulutya (CCM) kufariki dunia hivi karibuni.

Licha ya kupigwa viongozi hao pia walimwagiwa kemikali machoni ambayo bado haijafahamika na kusababisha kutoona kwa zaidi ya nusu saa na mmoja wao hadi jana macho yalikuwa yake hayaoni.

Vurugu hizo zilitokea katika kata ya Kijungu wilayani hapa juzi majira ya saa 12 jioni , baada ya kundi la vijana hao maarufu kama Green Guard kutoka jijini Dar es Salaam, kuvamia viongozi hao wa Chadema wakiwa katika ofisi yao ya kata ya Kijungu kwa tuhuma za kuwapigia kelele wakiwa katika eneo lao la mkutano.

Waliopigwa ambao hadi jana asubuhi hali zao zilikuwa mbaya na wengine kulazwa katika hospitali ya wilaya hiyo ni Hamadi Mussa Yusuph Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar, Juju Danda, Afisa mwandamizi kurugenzi ya bunge na halmashauri kuu Taifa.

Wengine ni Joseph Freme(43) Mwenyekiti wa Ruvuma Chadema na mjumbe wa kamati kuu,Msafiri Mtemelwa, Kaimu Mkurugenzi wa kampeni na Uchaguzi,Selemani Mohamed mjumbe wa uchaguzi Kiteto.

Katika sakata hilo, dereva wa gari la makao makuu Daudi Baraka ndiye alijeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu na kupigwa vibaya ambaye hadi jana hali yake ilikuwa mahututi akiwa anaongezewa maji na kushonwa nyuzi kadhaa.

Freme alisema licha ya kupigwa viongozi hao, pia walikamatwa na kupigwa na polisi wa kituo kidogo cha Kijungu ambao awali walikuwa pamoja na viongozi wa CCM, Katibu Mkuu Yusuph Makamba na Makamu Mwenyekiti Pius Mswkwa.

"Sisi hatukupigwa sana na green guard pale ofisini lakini tulipofikishwa kituo kidogo cha polisi kijungu ndipo tulipigwa sana japo kuwa tayari mwenzetu alikuwa amechomwa kisu ubavuni," alisema Freme ambaye alikuwa hajaweza kutembea hadi jana.

Hata hivyo alisema mara baada ya kuona wakipigwa ovyo, alipiga simu kwa IGP na baadaye aliambiwa awasiliane na mkuu wa polisi mkoa wa Manyara ambaye baadaye ndiye alituma polisi kuja katika kituo hicho kutoka makao makuu ya wilaya hiyo umbali wa takriban kilometa 70.

Viongozi hao, waliashiwa na polisi majira ya saa tano usiku baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa,Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na Mbunge wa viti maalum Grace Kiwelu.

Viongozi hao mara baada ya kuandikisha maelezo yao kwa� mkuu wa polisi wa wilaya ya Kiteto,Archi Killo waliachiwa kwa dhamana na kupewa hati ya matibabu PF 3 na walitakiwa jana asubuhi kuripoti polisi.

Akizungumzia mgogoro huo, Msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata ya Kijungu, Ibrahim Mdugo alisema vurugu hizo zilianza majira ya saa 12 jioni baada ya kundi la vijana hao wa CCM kuanza kulalamikia kelele kutoka kwa viongozi hao wa Chadema waliokuwa wakisimamia kwaya yao iliyokuwa inafanya mazoezi.

Mdugo alisema awali viongozi hao wa Chadema walikuwa na gari lao wakitangaza watu kujitokeza kupiga kura Februari 24 bila ya woga wakitumia vipaza sauti ambavyo CCM waliokuwa katika mkutano ulikuwa unahutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Pius Msekwa walikuwa wanalalamikia.
 
Viongozi sita Chadema wajeruhiwa vurugu za uchaguzi
Na Mussa Juma,Kiteto

VIONGOZI sita waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka makao makuu ya chama hicho, wamejeruhiwa vibaya mmoja akiwa mahututi baada ya kupigwa na kuchomwa visu na kundi la vijana wanaodhaniwa kuwa ni wa CCM na Polisi katika vurugu za uchaguzi Jimbo la Kiteto ambalo lipo wazi baada ya aliyekuwa mbunge wake, Benedict Lusulutya (CCM) kufariki dunia hivi karibuni.

Licha ya kupigwa viongozi hao pia walimwagiwa kemikali machoni ambayo bado haijafahamika na kusababisha kutoona kwa zaidi ya nusu saa na mmoja wao hadi jana macho yalikuwa yake hayaoni.

Vurugu hizo zilitokea katika kata ya Kijungu wilayani hapa juzi majira ya saa 12 jioni , baada ya kundi la vijana hao maarufu kama Green Guard kutoka jijini Dar es Salaam, kuvamia viongozi hao wa Chadema wakiwa katika ofisi yao ya kata ya Kijungu kwa tuhuma za kuwapigia kelele wakiwa katika eneo lao la mkutano.

Waliopigwa ambao hadi jana asubuhi hali zao zilikuwa mbaya na wengine kulazwa katika hospitali ya wilaya hiyo ni Hamadi Mussa Yusuph Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar, Juju Danda, Afisa mwandamizi kurugenzi ya bunge na halmashauri kuu Taifa.

Wengine ni Joseph Freme(43) Mwenyekiti wa Ruvuma Chadema na mjumbe wa kamati kuu,Msafiri Mtemelwa, Kaimu Mkurugenzi wa kampeni na Uchaguzi,Selemani Mohamed mjumbe wa uchaguzi Kiteto.

Katika sakata hilo, dereva wa gari la makao makuu Daudi Baraka ndiye alijeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu na kupigwa vibaya ambaye hadi jana hali yake ilikuwa mahututi akiwa anaongezewa maji na kushonwa nyuzi kadhaa.

Freme alisema licha ya kupigwa viongozi hao, pia walikamatwa na kupigwa na polisi wa kituo kidogo cha Kijungu ambao awali walikuwa pamoja na viongozi wa CCM, Katibu Mkuu Yusuph Makamba na Makamu Mwenyekiti Pius Mswkwa.

"Sisi hatukupigwa sana na green guard pale ofisini lakini tulipofikishwa kituo kidogo cha polisi kijungu ndipo tulipigwa sana japo kuwa tayari mwenzetu alikuwa amechomwa kisu ubavuni," alisema Freme ambaye alikuwa hajaweza kutembea hadi jana.

Hata hivyo alisema mara baada ya kuona wakipigwa ovyo, alipiga simu kwa IGP na baadaye aliambiwa awasiliane na mkuu wa polisi mkoa wa Manyara ambaye baadaye ndiye alituma polisi kuja katika kituo hicho kutoka makao makuu ya wilaya hiyo umbali wa takriban kilometa 70.

Viongozi hao, waliashiwa na polisi majira ya saa tano usiku baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa,Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na Mbunge wa viti maalum Grace Kiwelu.

Viongozi hao mara baada ya kuandikisha maelezo yao kwa� mkuu wa polisi wa wilaya ya Kiteto,Archi Killo waliachiwa kwa dhamana na kupewa hati ya matibabu PF 3 na walitakiwa jana asubuhi kuripoti polisi.

Akizungumzia mgogoro huo, Msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata ya Kijungu, Ibrahim Mdugo alisema vurugu hizo zilianza majira ya saa 12 jioni baada ya kundi la vijana hao wa CCM kuanza kulalamikia kelele kutoka kwa viongozi hao wa Chadema waliokuwa wakisimamia kwaya yao iliyokuwa inafanya mazoezi.

Mdugo alisema awali viongozi hao wa Chadema walikuwa na gari lao wakitangaza watu kujitokeza kupiga kura Februari 24 bila ya woga wakitumia vipaza sauti ambavyo CCM waliokuwa katika mkutano ulikuwa unahutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Pius Msekwa walikuwa wanalalamikia.

Hii ni kali, nadhani wale watanzania waliokuwa wanatuma maoni bbc kuwalaani wakenya kwa vurugu inabidi pia waone kinachoweza kutokea ndani ya nchi yao wenyewe!
 
Mnyika poleni sana na haya masaibu yote mkuu,

Watanzania wanawaombea mfanikiwe!
Vilio vya watoto wachanga wenye njaa!
Vilio vya mama wajawazito wasio na dawa!

Maombi ya wapenda haki na amani yako nanyi!
JF na wapenda haki na amani wanawapongeza!
Kazi mbele mkuu mpaka kieleweke ila inatisha!

Sauti ya Mwafrika wa Kike, sauti iliyo nyikani.
Mwangwi wake utasikika Kiteto.
Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.
Jasho jingi, machozi kidogo, damu kiduchu.
Yote ni kafara katika demokrasia changa.
Itolewayo ardhini kunyoshea mabadiliko.
Ushindi ni lazima.
Ipo siku itakuwa kweli.
Watu wachache wanaweza kuteseka wakati mchache.
Ili watu wote wafurahi wakati wote.
Utawala wa watu hutokana na watu.
Ndiyo maana ya demokrasia yenyewe.
Maendeleo ni kwenda mbele.
Haki hujitokeza uovu unapoonekana hadharani ukitahayari.



Ps: Tuelekea katika kipindi kigumu tarehe 24, kipindi cha kupiga kura na kulinda kura. Popote ulipo, unaweza kufanikisha ulinzi wa kura katika vituo takribani 220 vitavyotumika kupiga na kuhesabia kura. Kwa kuwezesha wakala mmoja kuwepo siku nzima bila wasi wasi, usiku na mchana. Bila hofu ya kupata chakula wala maji. Shime, wakati ni huu!
 
Sauti ya Mwafrika wa Kike, sauti iliyo nyikani.
Mwangwi wake utasikika Kiteto.
Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.
Jasho jingi, machozi kidogo, damu kiduchu.
Yote ni kafara katika demokrasia changa.
Itolewayo ardhini kunyoshea mabadiliko.
Ushindi ni lazima.
Ipo siku itakuwa kweli.
Watu wachache wanaweza kuteseka wakati mchache.
Ili watu wote wafurahi wakati wote.
Utawala wa watu hutokana na watu.
Ndiyo maana ya demokrasia yenyewe.
Maendeleo ni kwenda mbele.
Haki hujitokeza uovu unapoonekana hadharani ukitahayari.



Ps: Tuelekea katika kipindi kigumu tarehe 24, kipindi cha kupiga kura na kulinda kura. Popote ulipo, unaweza kufanikisha ulinzi wa kura katika vituo takribani 220 vitavyotumika kupiga na kuhesabia kura. Kwa kuwezesha wakala mmoja kuwepo siku nzima bila wasi wasi, usiku na mchana. Bila hofu ya kupata chakula wala maji. Shime, wakati ni huu!

Asante Mnyika,

Ujumbe umefika na unafanyiwa kazi.
 
Mzee Mwenzangu,

Wewe ninakuaminia kwa dataz, na ninataka kuamini hizi picha ni za kweli kutoka huko Kiteto, na kwamba chanzo cha hawa wananchi kupigwa ni kiu yao ya demokrasia kwa kusaidia chama chochote cha upinzani kushindana na CCM, na kwamba wamepigwa kwa shinikizo la CCM, basi Tanzania tutakuwa tumefika mbali sana na ccm wanahitaji kutoa maelezo mazito on this ishu,

Bado ninatafuta ukweli zaidi kabla ya kuzisukuma mbele hizi picha.

FMES,

Hii imekuwa confirmed kuwa ni kweli!
Good luck mkuu na ufuatiliaji wa hii issue!

Asante
 
barakadau67diwv5.jpg


Huyo ni kiongozi wa Chadema Bw. Baraka Daudi baada ya kupewa mkong'oto kwenye Kituo cha Polisi huko Kiteto.

viongo987ziwengineer9.jpg


Hawa ni viongozi wengine wa Chadema wakiwa kituo cha Polisi baada ya kupigwa wakiwa mikononi mwa Polisi./CENTER]

Ni nani anayeleta mambo kama ya Kenya? Najaribu kumtafuta RPC na OCD wake, this is unacceptable!!!


This is simply unacceptable. All those involved must be brought before the law immediately. This action must be condemned by CCM leaders, and Kikwete must show leadership by condemning unreservedly this barbaric action, no matter what must have provoked it.
 
.......................
Licha ya kupigwa viongozi hao pia walimwagiwa kemikali machoni ambayo bado haijafahamika na kusababisha kutoona kwa zaidi ya nusu saa na mmoja wao hadi jana macho yalikuwa yake hayaoni.......

Ni kwa ruhusa ya Mkemia yupi aliyeidhinisha kuwa tindikali iwe silaha ya kujihami?? na kwa vipi chama kichukue uamuzi wa kutumia tindikali??

Naanza kufananisha tukio hili na ishu ya kina kubenea
 
CCM hawawezi kulaani kitendo hiki, na hawawezi kulaani Polisi au wale waliohusika. Watakachojaribu kufanya ni kukielezea na kuwaruka hao vijana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom