Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Status
Not open for further replies.
CCM hawawezi kulaani kitendo hiki, na hawawezi kulaani Polisi au wale waliohusika. Watakachojaribu kufanya ni kukielezea na kuwaruka hao vijana!

Kuwaruka hao vijana haitoshi. Hapa CCM wanatakiwa waonyeshe moyo wa kuyakataa haya. Njia yoyote ya kutaka kujikosha na tukio kama hili haisaidii kabisa. Hakuna sababu, hata kama ni kwa kuchokozwa inayoweza kukubalika hawa watu wafanyiwe haya. Hii ni kujichukulia sheria mkononi na kutoa adhabu.
 
Unajua kutafuta sifa ni kubaya sana. Hawa green cards (pun intended) si ndio huku wanaitwa "rent a cop"? Sasa kwa vil wanavirungu, magwanda ya kijani na nyeusi na mikanda mipana na migumu ya kimgambo mgambo wanafikiri wamekuwa Polisi? Sasa kwa vile ni walinzi wa "Bwana Mkubwa" basi wanadhani wanaweza kuingia popote huku wakipeperusha virungu vyao wakidai mbingu ziiname?

Sitarajii hata kidogo kwa Makamba au Msekwa kutoa kauli yoyote ile ya kulaani zaidi ya kuwakana vijana hao. Hivi sasa wamekuwa wakijaribu kulizima jambo hili kimya kimya lakini ndio likatufikia na sasa kimeungua... Nadhani hii picha moja ichapwe kwenye ukurasa wa mbele wa magazeti kama walivyofanya ile ya Kubenea...
 
Unajua kutafuta sifa ni kubaya sana. Hawa green cards (pun intended) si ndio huku wanaitwa "rent a cop"? Sasa kwa vil wanavirungu, magwanda ya kijani na nyeusi na mikanda mipana na migumu ya kimgambo mgambo wanafikiri wamekuwa Polisi? Sasa kwa vile ni walinzi wa "Bwana Mkubwa" basi wanadhani wanaweza kuingia popote huku wakipeperusha virungu vyao wakidai mbingu ziiname?

Sitarajii hata kidogo kwa Makamba au Msekwa kutoa kauli yoyote ile ya kulaani zaidi ya kuwakana vijana hao. Hivi sasa wamekuwa wakijaribu kulizima jambo hili kimya kimya lakini ndio likatufikia na sasa kimeungua... Nadhani hii picha moja ichapwe kwenye ukurasa wa mbele wa magazeti kama walivyofanya ile ya Kubenea...

Miaka yote nasema kama CCM wanadhani wanakubalika kwa mema mengi wanaweza kupiga kampeni kwa TV tu na wakapata kura maana wanajulikana na wananchi wanawajua mchango wao . Lakini kwa mwendo wa kununua shahada na kuweka kambi na kuwatumia wahuni kuwapiga walipa kodi ndiyo kwanza wanajenga fitina . Makamba kuwa Katibu mkuu wa CCM ni hasara kwao maana hana akili wala busara za kujua na kusoma alama za nyakati .
 
Bado hatujasahau yalyotokea Kenya, yanaibuka hapa hapa kwetu mbele ya macho yetu.

Tena pakiwa pana ugeni mzito; na vyombo vyote vya habari vya dunia vikiwepo. Kama hali hiyo haiwezi kumfanya mtu afikirie mara mbili mbili kutenda jambo kama hili wakati huu; ni kipi asichoweza kukifanya akiwa gizani? Haitatosha bila ya Kikwete kulizungumzia na kulikaripia kwa nguvu jambo hili
 
Poleni ndugu zetu mliopata kashkashi huko Kiteto...

Nguvu za Polisi dhidi ya wananchi waso na hatia zikemewe...Polisi Jueni kuwa Nguvu mlizonazo si za milele..Yupo wapi Mahita? Yupo wapi Zomba? jueni mkiwa na mioyo ya Kuwapiga raia wenzewenu mjue kuwa ipo siku Haki itasimama nanyi mtafikishwa ktk Vyombo vya Sheria.

Kama mnafanya Haya kwa matashi yenu..please yaacheni..lkn kama mnatumwa basi chukueni Mfano wa Muhammad Ali mpiga makonde mmarekani aliekataa kutii Amri ya kwenda kupigana Vietnam kwa kuwa hapakuwa na Haki yoyote ya kupigana.Nanyi kataaeni AMRI zote za kuwapiga ndugu zenu...Siasa si chuki
 
Kuwaruka hao vijana haitoshi. Hapa CCM wanatakiwa waonyeshe moyo wa kuyakataa haya. Njia yoyote ya kutaka kujikosha na tukio kama hili haisaidii kabisa. Hakuna sababu, hata kama ni kwa kuchokozwa inayoweza kukubalika hawa watu wafanyiwe haya. Hii ni kujichukulia sheria mkononi na kutoa adhabu.

Kuna watu wanataka hawa ndugu waanze kujihami kisha wautangazie ulimwengu wote kuwa wapinzani ni watu wa fujo na vurugu!
 
Unajua kutafuta sifa ni kubaya sana. Hawa green cards (pun intended) si ndio huku wanaitwa "rent a cop"? Sasa kwa vil wanavirungu, magwanda ya kijani na nyeusi na mikanda mipana na migumu ya kimgambo mgambo wanafikiri wamekuwa Polisi? Sasa kwa vile ni walinzi wa "Bwana Mkubwa" basi wanadhani wanaweza kuingia popote huku wakipeperusha virungu vyao wakidai mbingu ziiname?

Sitarajii hata kidogo kwa Makamba au Msekwa kutoa kauli yoyote ile ya kulaani zaidi ya kuwakana vijana hao. Hivi sasa wamekuwa wakijaribu kulizima jambo hili kimya kimya lakini ndio likatufikia na sasa kimeungua... Nadhani hii picha moja ichapwe kwenye ukurasa wa mbele wa magazeti kama walivyofanya ile ya Kubenea...

Hii habari lazima ifuatiliwe kwa nguvu zote na waliohusika lazima wajue kuwa hii ni hatari sana wanailetea nchi na wakomeshwe kabisa huko Hell.......
 
Poleni ndugu zetu mliopata kashkashi huko Kiteto...

Nguvu za Polisi dhidi ya wananchi waso na hatia zikemewe...Polisi Jueni kuwa Nguvu mlizonazo si za milele..Yupo wapi Mahita? Yupo wapi Zomba? jueni mkiwa na mioyo ya Kuwapiga raia wenzewenu mjue kuwa ipo siku Haki itasimama nanyi mtafikishwa ktk Vyombo vya Sheria.

Kama mnafanya Haya kwa matashi yenu..please yaacheni..lkn kama mnatumwa basi chukueni Mfano wa Muhammad Ali mpiga makonde mmarekani aliekataa kutii Amri ya kwenda kupigana Vietnam kwa kuwa hapakuwa na Haki yoyote ya kupigana.Nanyi kataaeni AMRI zote za kuwapiga ndugu zenu...Siasa si chuki


Chuma, Zomba mbona yumo humu humu... ? LoL
 
Tanzania ni nchi ya amani duniani ama ni nchi ya woga na matisho duniani?.
 
Tunataka taarifa kwamba hawa askari wako rumande. Huyo Mkuu wao aonyeshe njia sasa. Hili ni kosa la kutaka kuua.
 
Napenda kumsahihisha chuma..ni ZOMBE na sio zomba.Ni kweli yeye na Mahita ni baadhi tu ya vinara wa ukandamizaji.Ila ikumbukwe kuwa ndio system ya CCM na viongozi wake!Mahita alikuwa sio kitu hadi pale alipomdhibiti Mrema!Zombe nae ndio alikuwa gaidi namba moja..jamaa ana roho mbaya kupita kiasi..yani uombe Mungu usifikishwe kwake ama awe na kisa na wewe!Wanawanyanyasa wananchi wanavyotaka..halafu wenyewe ndio vinara wa ujambazi..yani na kuusimamia na kuescort majambazi kuhakikisha wako salama..mmesahau mambo ya akaunti na ujambazi wa viongozi wa polisi ambao bado hata haujafuatiliwa...nasema mambo haya yanafanywa na viongozi wakuu wa nchi kwani usishangae kiongozi aliye order huu uharamia anapandishwa cheo hadi kuwa kamanda mkuu wa mkoa wa Arusha!
 
Wana JF
Lazima tukumbuke kuwa katiba yetu ni ile tuliyopewa na mkoloni, na kikatiba/kisheria polisi wanapewa haki na kulindwa kisheria kutokana na vitendo vyao vya kupiga watu. Polisi wetu wana uwezo mkubwa wa kutumia nguvu kuliko kutumia akili, kama ilivyokuwa polisi wa kikoloni, kwa hiyo hapa tukiwalaumu sana polisi, ambao wanatumwa tunaweza kuwa tunawaonea. Tunaweza kuwalaumu kwa kutotumia busara zao kuangalia lipi wanatakiwa kufanya wanapotumwa kufanya kazi zao.
Kupiga ni unyama na ni ushenzi, lakini lazima tuwe tunaelekeza mapambano kwa wanaowatuma polisi hao.
Nakumbuka kuna kipindi mkuu mmoja wa polisi alikuwa anatuma polisi kufanya kazi kwenye maeneo kama hayo kwaa masharti kuwa, hakuna kuua wala kuumiza mtanzania, bila sababu ya msingi. Kama waandishi wa habari wakipata nafasi ni vizuri kuwauliza wakuu wa polisi ni kwanini wamefanya hivyo. Na tupiganie utaratibu wa watanzania kuwa na ulinzi kutokana na unyama na ukandamizaji kutoka kwa vyombo vyetu vya dola!
 
Wana JF
Lazima tukumbuke kuwa katiba yetu ni ile tuliyopewa na mkoloni, na kikatiba/kisheria polisi wanapewa haki na kulindwa kisheria kutokana na vitendo vyao vya kupiga watu. Polisi wetu wana uwezo mkubwa wa kutumia nguvu kuliko kutumia akili, kama ilivyokuwa polisi wa kikoloni, kwa hiyo hapa tukiwalaumu sana polisi, ambao wanatumwa tunaweza kuwa tunawaonea. Tunaweza kuwalaumu kwa kutotumia busara zao kuangalia lipi wanatakiwa kufanya wanapotumwa kufanya kazi zao.
Kupiga ni unyama na ni ushenzi, lakini lazima tuwe tunaelekeza mapambano kwa wanaowatuma polisi hao.
Nakumbuka kuna kipindi mkuu mmoja wa polisi alikuwa anatuma polisi kufanya kazi kwenye maeneo kama hayo kwaa masharti kuwa, hakuna kuua wala kuumiza mtanzania, bila sababu ya msingi. Kama waandishi wa habari wakipata nafasi ni vizuri kuwauliza wakuu wa polisi ni kwanini wamefanya hivyo. Na tupiganie utaratibu wa watanzania kuwa na ulinzi kutokana na unyama na ukandamizaji kutoka kwa vyombo vyetu vya dola!
KAMA NI KWELI KATIBA INALINDA HUU UOZO WA WATANZANIA DHIDI YA WATANZANIA BASI NI LAZIMA TUIBADILISHE..SASA HIVI NA SI ANYOTHER TIME...MAANDAMANO YAANZE..YA KUIBADILISHA NCHI YETU TOP BOTTOM!WANANCHI WASIPOAMKA SASA WATAKUWA WATUMWA AGAIN KWENYE ARDHI YAO WENYEWE!KWANI UTUMWA SI LAZIMA AWE MZUNGU AMA MUARABU!kMA HUNA UHURU KIASI HICHO SASA SI UTUMWA?NASEMA KATIBA IBADILISHWE!MSAFIRI MTEMELWA NAYE SI ANA UZOEFU WA MUDA TU!ANAELEWA UNYAMA WA POLISI LONG TIME!HAKUNA HATA WANASHERIA WA KUWASHTAKI HAO POLISI PAMOJA NA BOSI WAO?MASHTAKA YAFUNGULIWE KAMA NI GHARAMA WANA JF TUTACHANGA!HATUA SAHIHI ZA KINIDHAMU ZICHUKULIWE DHIDI YA HAO WA KINA ZOMBE!WANYAMA NA WAKATILI!MAFISADI WASIKUWA NA HURUMA KWA BINADAMU WENZAO KISA NI UTOFAUTI WA NAMNA YA KUILETEA MAENDELEO NCHI YETU!AAKH HII INATIA HASIRA!
 
Yanayotokea kiteto ni kielelezo cha yanayotokea majimboni kipindi cha chaguzi. Kwa sasa imeonekana kirahisi kwa kuwa macho na masikio ya kila mtu yameelekezwa huko. Hivi ndivyo jinsi CCM huwa inajipatia ushindi kwa Kishindo!
Taarifa zenye ushahidi zinaonyesha kwamba Mkuu wa Mkoa wa Iringa Hajjat Amina Said na Mkuu wa mkoa wa Manyara wameamua kuvua magwanda ya utumishi wa umma na kuamua kupiga kambi kiteto!
 
CHADEMA mnasigika sana kwa kuwa na wanasheria lukuki. Hakikisheni kila aliyehusika anachukuliwa hatua ipasavyo.Kama na OCD naye yumo,ni kuwa makini ushahidi usije ukahujumiwa.
 
kichaka amejijia kwa shughuli zake binafsi...ile ya kusign mikataba ilikuwa danganya toto...haya mambo yetu ni kuyamaliza wenyewe...matatizo ya mtz yatamalizwa na mtz mwenyewe...Tutumie nguvu zetu za kura kuwang'oa hawa wanyama wenye ujasiri wa Kifisadi...
 
Katika kuendeleza ufahamu kwa watanzania, na kujenga msingi imara ili kuleta changes juu ya katiba. Ni lazima kwanza kuifahamu katiba ambayo inaleta maumivu kwa wananchi wote....

http://www.tanzania.go.tz/images/katibamuungano.pdf


Kwanza Serikali ya ccm haitaki kusikia kitu kama mabadiliko ya katiba! Wanataka mpaka wananchi waingie mtaani kudemand kwa kumwaga damu zao.CCM hawawezi kufanya kitu hadi walazimishwe.

Pia kuhusu kuwapiga viongozi wa CHADEMA inabidi wananchi wawape discipline jumapili ijayo na wakijaribu kuiba nguvu ya uma itumike. Upuuzi mtupu ccm kushirikiana na dola kufanya uharamia ili kutekeleza interest zao!Na hata ikiwezekana wananchi waingie mtaani kujitetea wenyewe kwa kuilazimisha ccm kwani hata akina Kibaki waliopofushwa na tamaa walikubali baada ya kulazimika.Wanakiteto ikibidi ingieni mtaani mjitetee kutoka kwa hawa maharamia.Damn!
 
TANZANIA, TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WANGU WOTE. TANZANIA,TANZANIA NAIPENDA AMANI YAKO. Hii ndiyo nchi inayoendeshwa kwa utawala wa sheria na demokrasia eti ndiyo maana Bush kaja hapa. Narudia tena,mabadiliko katika nchi hii yanakuja tena kwa kasi kubwa hata kama CCM wakatumia nguvu za dola, pressure ya mabadiliko katika kizazi hiki ni kubwa sana. Hiki ni kitu ambacho hakiwezi kuzuilika kwa njia yeyote ile,people are tied with stroies of maisha bora, we want to see changes with naked eyes and not stories. Poleni mlioumizwa but JF supports you moraly and Mwanakijiji thanks for news updates
 
Tupange majeshi kwenda mbele,Bado miezi 30 tunafikia uchaguzi mkuu.Nyani lazima apigwe giladi.
Hatuwezi kubali unyama huu ktk nchi ya kistaarabu.Hakuna katiba inayoruhusu askari awanyuke raia hivyo tena wako mikononi mwao.

Nadhani sisiem mmesikia yaliyokipata cha Musharaf kule PAKISTAN? tena mnanyanyasa watu kwa dhahiri?Tulishapanga majeshi kuwakabiri,mwisho wenu umefika.Bebeni vyuma sisi twatumia hoja.Wanyamwezi/warugaruga(SASI JABELA MITWE) chini ya mtemi ISIKE walimkabiri mjerumani vilivyo pamoja na kuwa na risasi zake,lakini waliendelea na hoja zilizokuwa ktk nyimbo zao na leo tuna historia imeandikwa.HUWA INAFIKIA WAKATI HATA RISASI INASHINDWA.

Mgosi makamba mbona kimya hakanushi kuwa ni sisiem wamefanya ufedhuli?Najua nawe huko hapo kujitahidi kuzima nguvu ya CHADEMA Arusha.Kweli nimeona woga umeifunika sasa sisiem,Pamoja na kuwa na viti vya bunge zaidi ya 200 bado wanang'ang'ania hicho kimoja.Chadema oyeeeeeeeeeeeeee!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom