Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,956
Mnyika
Naona unaingia kwenye tundu la sindano ambalo watu wamekutegea. Jitahidi kutokujibu na kutolea maelezo kila kitu.
kumbuka hapa kuna wenye nia njema na wasio na nia njema kwako na kwa chadema. Kwa hiyo watapenda kujua unafanya au mnafanya nini ili nao wabuni njia za kukinzana nanyi. Usimpe nafasi mshindani wako kujua una silaha gani na unataka kufanya nini.
nitamsg jioni.
Mnyika
Naona unaingia kwenye tundu la sindano ambalo watu wamekutegea. Jitahidi kutokujibu na kutolea maelezo kila kitu.
kumbuka hapa kuna wenye nia njema na wasio na nia njema kwako na kwa chadema. Kwa hiyo watapenda kujua unafanya au mnafanya nini ili nao wabuni njia za kukinzana nanyi. Usimpe nafasi mshindani wako kujua una silaha gani na unataka kufanya nini.
nitamsg jioni.
Unachosema wewe ni kwamba kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi, nakubaliana na wewe kabisa!
sidhani kama kuorodhesha matumizi ya fedha za kampeni ndogo ndogo za chaguzi ni SHERIA, correct me if am wrong (even though am not sure) that being said, kama sio sheria kuwakilisha matumizi ya fedha za kampeni sioni ulazima wake, na IWAPO kama ni sheria basi naunga mkono hoja yako mnyika !
other thing is, i strongly DISAGREE kwamba uchaguzi mliibiwa, zitto nadhani aliibua kifua mbele na kusema sijui nini kuhusu daftari la kupiga kura, sasa namuuliza hiyo ishu ya daftari alikuja kulijua baada ya matokeo ya uchaguzi kutoka ama kabla ? naombeni mfute machozi yenu ya kenge hayo na mpunguze excuses, kubalini kwamba mmeshindwa and we move on lakini unaposema kwamba mmeonewa (AND YOU KNEW WHERE THE MISTAKE WAS PRIOR TO ELECTION refer: madai ya zitto (a)kwamba daftari la uchaguzi lilikuwa na walakini) MLIFANYA NINI ILI KUHAKIKISHA HATUA ZA KISHERIA ZINAFUATWA ILI KUHAKIKISHA MAMBO YANAKUWA MSWANO "? mimi napinga kabisa haya madai, na lazima tuyakemee kila pale mnaposhindwa chaguzi, and ndio mnaanda mind set kwa watu kwamba kila mnaposhindwa chaguzi basi ndio mmeibiwa ?? and above all, how did you know mliibiwa ??
Kwa habari nilizopokea hivi punde, Katibu wa CHADEMA Kiteto- amekatwa mapanga na watu wasiojulikana kwa sababu ambazo bado naendelea kuzithibitisha kabla hatujatamka chochote. Lakini habari zingine nilizopokea hivi sasa ni kuwa sasa vyombo vya dola vimeanza kunyanyasa wananchi ambao walielekea kuunga mkono upinzani. Leo hii kwa muda wa zaidi ya masaa mawili sasa Mwenyekiti wa Vijana wa CHADEMA wilaya ya Kiteto amewekwa ndani bila sababu maalum. Yapo maeneo ambayo wananchi wanalalamika kunyimwa huduma kwa waliunga mkono upinzani. Huko ndipo tunapopelekwa kama taifa. Nimeweka suala hili hadharani mapema kabisa ili vyombo vya habari na taasisi za haki za binadamu mumulike yanayoendelea Kiteto. Nitaendelea kuwajulisha kadiri ninavyopata taarifa zaidi. Kuhusu nini CHADEMA tunafanya baada ya kupokea habari hizi; ni siri kwa sasa.
JJ
Mnyika
Naona unaingia kwenye tundu la sindano ambalo watu wamekutegea. Jitahidi kutokujibu na kutolea maelezo kila kitu.
kumbuka hapa kuna wenye nia njema na wasio na nia njema kwako na kwa chadema. Kwa hiyo watapenda kujua unafanya au mnafanya nini ili nao wabuni njia za kukinzana nanyi. Usimpe nafasi mshindani wako kujua una silaha gani na unataka kufanya nini.
nitamsg jioni.
Upumbavu huu utatuisha lini watanzania? Huku ndani ya CCM mbona hamnazo wako wengi? Inakuaje hii jamani? CCM ni mabingwa wa kuhubiri amani na upendo kwenye majukwaa bila kusahau kukemea rushwa. Lakini hawa ndiyo mabingwa wa kupokea rushwa na kuvunja amani miongoni mwa jamii zetu. IGP Mwema upo au na wewe ni moja wa greenguards?
wenzako wanapongezana kuwa Kikwete "ameleta amani Kenya" baada ya Annani na wenzake kushindwa. Naona kuna tafsiri nyingi sana za neno amani
Asante Mnyika kwa hii habari!
Hii story nilianza kusikikia fununu jana kuwa mafisadi ndani ya ccm wanataka kuendeleza ubabe dhidi ya upinzani na sasa naona wameamua kufanya kweli.
Endelea kutuhabarisha katika hili. Mara ya mwisho tulivyoweka picha za Kiteto, kina Pinda na wenzake wakafunga JF, sasa hii sijui watafanya nini!
Na kama huu ndio mwelekeo, basi utakuwa ni mwanzo wa ukombozi timilifu wa wananchi wa nchi hii. Maanake watu wataanza kujua adui hasa ni nani.
Kinachotakiwa tu ni uongozi imara unaoweza kusimamia mapambano hayo kwa dhati.
Na kama huu ndio mwelekeo, basi utakuwa ni mwanzo wa ukombozi timilifu wa wananchi wa nchi hii. Maanake watu wataanza kujua adui hasa ni nani.
Kinachotakiwa tu ni uongozi imara unaoweza kusimamia mapambano hayo kwa dhati.
Na mbaya zaidi inakuwa pale ambapo vyombo vya dola vinageuka kuwa vyombo vya chama fulani cha siasa badala ya kuwa vyombo vya wananchi wote. Wakati John Komba kaingilia kampeni ambazo si zake mwezi jana, eti polisi "WALIMUOMBA" ashuke jukwaani na azime muziki na kuondoka! Angekuwa ni Mbowe, Mrema, Mtikila ama Lipumba kafanya faulo hiyo nadhani angelipukiwa na mabomu ya mchozi hadi akome.
Sasa itafikia wananchi tutachoka, sijui nini kitatokea hapo!
Unachosema wewe ni kwamba kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi, nakubaliana na wewe kabisa!
Ama kweli ukishangaa ya PNU utayaona ya CCM,Mzee wa watu Koffi Annan katumia muda wake mwingi pale nairobi takribani mwezi mzima mpaka akakasirika akataka kuondoka,leo tunaambiwa Kikwete ndiyo kafanikisha,mmmmmh,ama kweli siasa safi za CCM alikwendanazo Nyerere,