Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
umaskini kwa kwenda mbele,endeleeni tuu kuwachagua ila msije hapa mnalia Buzwagi wala BOT na Richmond...miaka karibu 50 ya uhuru hakuna umeme wala maji,sanasana ni rushwa tuu na wizi,mungu awasaidie kuwaonyesha njia maana hiyo ni disease.
Koba,
Nadhani unaifahamu 409 na the story behind it!