Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
WanaJF,
Wakati nasoma hili tamko.... naomba niendelee baadaye... ila nimefurahishwa na point hii ndani ya taarifa ya CHADEMA
Hongereni chama makini, mnatumia waandishi wa habari kujua mshindi... wakati mkijua wazi vyombo vyetu vingi vinaandika vikiwa Dar es Salaam,,, na pia sio makini kama vya Kenya ambavyo pamoja na uandishi wao pia kulikuwa na independent research organisation kuhakiki mambo kwenye uwanja wa ushindani... no wonder matokeo ya Kenya yalishabihiana kabisa na matokeo ya uchaguzi wa Kenya!!!
Wakati nasoma hili tamko.... naomba niendelee baadaye... ila nimefurahishwa na point hii ndani ya taarifa ya CHADEMA
Mtakumbuka kuwa CHADEMA kwa niaba ya kambi ya upinzani kilimsimamisha Victo Kimesera, mgombea ambaye kwa uchunguzi wa vyombo huru vya habari ndiye aliyekuwa anapewa nafasi kubwa ya ushindi ingawa hata hivyo matokeo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hayakuweza kuakisi ukweli huo.
Hongereni chama makini, mnatumia waandishi wa habari kujua mshindi... wakati mkijua wazi vyombo vyetu vingi vinaandika vikiwa Dar es Salaam,,, na pia sio makini kama vya Kenya ambavyo pamoja na uandishi wao pia kulikuwa na independent research organisation kuhakiki mambo kwenye uwanja wa ushindani... no wonder matokeo ya Kenya yalishabihiana kabisa na matokeo ya uchaguzi wa Kenya!!!