wewe nywi hujui kama huu ndio utaratibu,kuchelesha matokeo nikawaida asana kwa tanzania.
jamani bado tu dk 42 sasa tangu wamalize kupiga kura
bado,usishangae sana hatawakitangaza saa 8,hayo ni mambo ya kawida sana kwa siasa za tanzania
Ha!ha!ha!ha!ha!..........labda kura zimewasuprize.........!
Nipo hapa jijini TANGA, baadae narudi DAR, naona hapa ni gahawa na kashata tu! vijiredio vya kichina vinasikilizwa ili kupata matokeo ya huko
There are currently 322 users browsing this thread. (141 members and 181 guests)
jamani bado tu dk 42 sasa tangu wamalize kupiga kura
kama namfahamu halafu najipa moyo! hahahhaha:bowl:.......and the winner is.....