Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Nshakaaa mkao wa kusikiliza majibu, nipo kwa mpiga kiwi mmoja maskini redio yake betri zimeisha
 
.Hawa wabunge wa viti maalum wa CCM ambao ni vibinti, wanaleta urembo bungeni, si vikuku!. Halafu wanaringa na kujisikia sana. Kuna baadhi tunafahamiana leo wanatuchunia, eti kwa vile ni waheshimiwa, hawasalimii tena, lazima wasalimiwe.

Waaalaahh!!!!

View attachment 16786

Pasco vipi mwezetu, upo kazini au unatafuta attention (joke!!!)
 
Huyu alisoma PCB pale Old Moshi High school akamaliza form six May 1987 na DIVISION ZERO ya points 21, yaani FFF. Hata academic transcript hakupata. Namfahamu sana, anapenda kujikweza na kujisifu lakini thinking yake ni erratic.

F = Fighting

F = For

:smile-big:

F = Food
 
Nimemwona mzee wa Kiraracha anacha na Mbunge mteule wa Rombo Mh Selasini pale.....natamani nimsikie akiongea mara ya kwanza...
 
JAMANI NIWAAMBIE .........kuna jaamaa ananimmbia.......eti Bungeni wamepanga kuchakachua Ili MAKINDAMAKINDA ashinde!!!!!!!!!!!!! Si kwamba Tunawachukia wanawake au wanawake hawawezi kuongoza lahasha!!!!!!!!!!!!! Ni kwasababu huyu makindamakinda Kapandikizwa!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom