Kaeni mkao wa kumjua spika jamani bunge limeresume rasmi sasa,,,,ndo wanaingia bungeni
spika anajulikana ,tuwe wazi tu.tunasubiri tu miujiza itokee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaeni mkao wa kumjua spika jamani bunge limeresume rasmi sasa,,,,ndo wanaingia bungeni
Hapo najua Lowassa, Chenge, Rostam meno njee wanafurahia
wapotezee...kuna wakati watakuhitaji wewe zaidi yao...subiri 2014 kuendelea
By the way hao tutakamatana jioni tu....:israel:
.Hawa wabunge wa viti maalum wa CCM ambao ni vibinti, wanaleta urembo bungeni, si vikuku!. Halafu wanaringa na kujisikia sana. Kuna baadhi tunafahamiana leo wanatuchunia, eti kwa vile ni waheshimiwa, hawasalimii tena, lazima wasalimiwe.
matokeo pliz
Marando kashida kwa kura 302!
tupeni mambo ya mjengoni
Huyu alisoma PCB pale Old Moshi High school akamaliza form six May 1987 na DIVISION ZERO ya points 21, yaani FFF. Hata academic transcript hakupata. Namfahamu sana, anapenda kujikweza na kujisifu lakini thinking yake ni erratic.
Hommie!!
Hommie nilimwona Eddo anatabasam kwa sana tu sijui kwa nn....dah
tena haina hata sukari hainyweki!!chai