Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

.Hawa wabunge wa viti maalum wa CCM ambao ni vibinti, wanaleta urembo bungeni, si vikuku!. Halafu wanaringa na kujisikia sana. Kuna baadhi tunafahamiana leo wanatuchunia, eti kwa vile ni waheshimiwa, hawasalimii tena, lazima wasalimiwe.
 
hivi wanahesabia kwenye chumba maalumuau ndani ya ukumbi wa bunge?
 
.Hawa wabunge wa viti maalum wa CCM ambao ni vibinti, wanaleta urembo bungeni, si vikuku!. Halafu wanaringa na kujisikia sana. Kuna baadhi tunafahamiana leo wanatuchunia, eti kwa vile ni waheshimiwa, hawasalimii tena, lazima wasalimiwe.
usisahau kuweka pic bwana na sisi tupate vituko vya huko!
 
Kaeni mkao wa kumjua spika jamani bunge limeresume rasmi sasa,,,,ndo wanaingia bungeni
 
Nipo naangalia bunge hili katika kuchagua Spika. ishara niliyoona ni kwamba bado tuna wabunge wanaohitaji brush ya uelewa.
wamemuuliza marando maswali ya kwamba alikuwa anatumia lugha kali lakini kawajibu kuwa kama angekiuka maadili ya uchaguzi angeshitakiwa.

yeye marando kasimamia katika kusimamia kanuni, katika na kusaidia kutafsiri sheria bungeni.

yeye anna makinda kasimamia katika kuleta msimamo na umoja bungeni katika kutetea maslahi ya taifa. japo sina hakika sana.

kashakash zimetokea pale amabapo mwenyekiti alitaka kuruhusu muuliza swali atumie mike ya marando ndipo kabwe alichachamaa kama kawaida yake.

kuna kazi kubwa ijayo.. tunaweza kuishia katika kutetea vyama badala ya wananchi.

nitawapatia matokea maana kura zinahesabiwa.. na tutaona ni aina gani ya bunge tutakuwa nalo baada ya hapa.. naamini hakutakuwa na uchakachuaji mbele ya halima mdee amabaye ni mwakilishi wa marando.

Mkuu hizi updates toka mjengoni zinahusika sana.....me nafanya kazi kwenye office ya Mhindi hapa Mjini sina access ya TV wala Radio...kwa hiyo I take JF kama chombo kinachonipa updates za hapa na pale.

Keep them Coming.
 
Jamani kahawa yangu na kashata inapoa hapa, fanyeni fasta kutujuza nataka nijue narudije huko mjini DAR ES SALAAM
 
Wamechelewa kutangaza ile formula ya % iliwapiga chenga kidogo
 
Ningependa sana Marando awe spika, lakini navyowajua wabunge wa CCM hawana utaifa bali wana maslahi ya chama, so mpaka sasa natambua spika atatoka CCM tu

hatukatai wanawake kuongoza lakini sio kwastaili hii ya kupandika viongozi ilikuficha madhambi yanayofanywa na serikali.
 
.Hawa wabunge wa viti maalum wa CCM ambao ni vibinti, wanaleta urembo bungeni, si vikuku!. Halafu wanaringa na kujisikia sana. Kuna baadhi tunafahamiana leo wanatuchunia, eti kwa vile ni waheshimiwa, hawasalimii tena, lazima wasalimiwe.

wapotezee...kuna wakati watakuhitaji wewe zaidi yao...subiri 2014 kuendelea

By the way hao tutakamatana jioni tu....:israel:
 
Back
Top Bottom