hatimaye uchaguzi wa spika umefanyika, na anna makinda amekuwa ndio spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru kwa kupata kura 235 dhidi ya kura 53 za mabere nyaucho marando.
:israel:
Duh!!! Bado
Matokea makinda awa spika rasimi anashangiliwa ile mbaya
anna makinda 265 74.2%
Mabere 53 16.2
Zimeharibika 9
Ni wazi kwamba Marando kapigiwa na CHADEMA na wachache!!