Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

CCM kwisha kabisa! Sasa ni wazi kuwa UFISADI utang'olewa kwa NGUVU YA UMMA tu! Tusiwategemee hawa mamluki wanaoitwa wabunge, hasa wa CCM na CUF.
 
Siangalii wala kusikiliza bunge tena hadi pale watakapoanza kutukanana!!!
 
Ndo maana nasema hatuna wapinzani nje ya chadema, yaani wapinzani wengine wamempa huyu mama kura?
 
anuni ya 9....mgombea anatakiwa apate zaidi ya nusu, kama kura zikifungamana uchaguzi unarudiwa.....

enhe.....


Matokeo...

Kura jumla 327
zilizoharibika 9,

Anna...kura 265....SPIKA 74.2%

Marando.....kura 53

SPika ANA MAKINA

Kazi kwisha
Aisee! Mbona kama kioja vile? Kura 53 tu (ambazo na-assume ni za kutoka opposition)??
Kwani wabunge wa kambi ya upinzani wako wangapi bungeni?
 
wamepata kile walichokuwa wanakitaka ila nasikitika zaidi na kambi ya upinzani kutokuwa na umoja thabiti kuachia nafasi ya spika kuongozwa na ccm. Mbona tutakoma jamani
 
Ha ha ha, yaani kuna wapinzani wamemnyima kura Marando? Mbona alizopata Marando ni chache kuliko idadi ya wapinzani waliopo bungeni?
 
Hatimaye uchaguzi wa spika umefanyika, na Anna Makinda amekuwa ndio spika wa kwanza mwanamke tangu Uhuru kwa kupata kura 265 dhidi ya kura 53 za Mabere Nyaucho Marando.
:israel:

Kwa hiyo ina maana Marando hajapata kura za CUF, NCCR
 
Duh!Marando hata wapinzani hawakumpa kura!kura zilizopigwa 327 kura zilizo haribika 9 Makinda 265 Marando 55
 
ata sijui kwa nini nilifuatilia haka kauchaguzi kakifisadi?!!!!!!
kujipa hasira tu
 
Anna Makinda achaguliwa kwa kura 265 =74.2% zidi ya Marando kura 53=16.2%
Kanuni ya 9 fasili ya 13 ya bunge zaidi ya nusu ni mshindi 327 total votes

Mdee ndo alikuwa wakala wa Marando naona makinda alisimamiwa na jirani yake wa Ludewa.
Nchi kama Botswana,Ghana.India and Mozambique maspeaker wao ni wanawake

Tutarajie ubabe toka kwa uyu mama na utetezi wa CCM

Its another major blow kwa ustawi wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom