Kwa ninavyoona kura zingekuwa zinapigwa na sisi wananzengo, mwabukusi ilikuwa ni asubuhi mapemaa
 
Nilichoelewa wengi wenu ambao haamzidi hafa 300 hamjui chochote kuhusu TLS,
Historia yake kwa mikondo walau minne iliyopita. Uchaguzi na sifa zake.

TLS sio chama cha wakili, ni chama cha mawakili wote wasomi mnaowafahamu. Wote ni wamoja, huyu atamuita huyu, yule atamuita yule, hakuna siasa TLS, Kuna uchaguzi wakusimamia mawakili wenzako, ila tu kuna kuwa na tofauti ya mkakati katika kuexercise duties.

Nimeona wengi wanaochangia kwenye hili, wao wanafanya Vita na sio mawakili. Nivuke kwenda kwa shangazi yenu, she is hypocrite who is much to know, ila wakawaida sana.

Haswa watu wa twitter, yule dada ni kero kama hamjui, hana adabu, mfatilieni mtafahamu.
La mwisho, mtoa mada. Ingependeza taarifa yao ikae kaama original source si kutuletea taarifa za X au twitter. Mbona suala ni current sana.
 
Kama unawaelewa sana tueleze ni kwa nini washindwe kuandaa ipasavyo uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…