Nioana kwenye Tweeter (X) ya Maria kuwa Mawakili wa Zanzibar wamepelekwa Dodoma kwenda kupiga kura za Rais wa TLS.
On top of that wamelipiwa flight tickets kuwapeleka probably na mambo mengine ambayo hatujui. Hivi Mawakili wa Zanzibar ambao nao wana chama chao huwa wanasajiliwa upya na TLS au huwa wanakuwa admitted automatically?
Kwa hili kweli jamaa wamepania kuwa Mwabukusi hachukui. Jicho letu kwa wanasheria wetu Kama nao wananunulika, then hakuna sababu ya kuwalaumu Wanannchi wa Kawaida.
Nawasilisha.