Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Nioana kwenye Tweeter (X) ya Maria kuwa Mawakili wa Zanzibar wamepelekwa Dodoma kwenda kupiga kura za Rais wa TLS.

On top of that wamelipiwa flight tickets kuwapeleka probably na mambo mengine ambayo hatujui. Hivi Mawakili wa Zanzibar ambao nao wana chama chao huwa wanasajiliwa upya na TLS au huwa wanakuwa admitted automatically?

Kwa hili kweli jamaa wamepania kuwa Mwabukusi hachukui. Jicho letu kwa wanasheria wetu Kama nao wananunulika, then hakuna sababu ya kuwalaumu Wanannchi wa
Watajua hawajuai
 
It is amazingly stupid how we came to care about a fuckn unconsequential election for a miniscule organization with where the victor gets a one year tenure to larp on social media as the esteemed 'president' of said organization. Lawyers are really convincing.
 
Nioana kwenye Tweeter (X) ya Maria kuwa Mawakili wa Zanzibar wamepelekwa Dodoma kwenda kupiga kura za Rais wa TLS.

On top of that wamelipiwa flight tickets kuwapeleka probably na mambo mengine ambayo hatujui. Hivi Mawakili wa Zanzibar ambao nao wana chama chao huwa wanasajiliwa upya na TLS au huwa wanakuwa admitted automatically?

Kwa hili kweli jamaa wamepania kuwa Mwabukusi hachukui. Jicho letu kwa wanasheria wetu Kama nao wananunulika, then hakuna sababu ya kuwalaumu Wanannchi wa Kawaida.

Nawasilisha.
Hicho ni chama cha mawakili wa Tanganyika ndio maana ni Tanganyika Law Society.

Hakuna cha mzanzibari hapo. Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa.
 
Kimya kingi huashiria yule asiyetakiwa na serikali ya CCM historia inaonesha matokeo yake ya ushindi huchukua muda mrefu hadi atangazwe.

Na huu uchaguzi wa urais TLS dola ilitumia kila aina ya mbinu hadi mgeni rasmi picha zake kuingizwa ktk ukumbi wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni karata ya mwisho ya CCM kujaribu kupindua matokeo.

1722622793480.png

1722622847745.png
 
Sema hii TLS huwa ina kelele siku ya uchaguzi tu baada ya hapa ni kiiiimyaaaa amsha amsha zitakuja tena kwenye uchaguzi, hadi sielewagi yani
Kweli sijui wanapoteleaga wapi labda watuonyeshe matunda ya taifa hasa walipopita watu mashuhuri kama tl na fk
 
Back
Top Bottom