amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,265
- 12,268
Of course Sina, ndio nitavuta shuka nilale kesho nayo ni sikuHata wakitangaza Sasa hivi Huna la kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course Sina, ndio nitavuta shuka nilale kesho nayo ni sikuHata wakitangaza Sasa hivi Huna la kufanya
hata wale wa chama cha kijani mkuu
Wamtangaze tu sisi tuendelee na kazi zetu?Of course Sina, ndio nitavuta shuka nilale kesho nayo ni siku
Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake
Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligongamwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama
2. Polis wakaingilia kati,
3. Wakati wa jion kuna kura zenye kupigiwa kwa MWABUKUSI zilikuwa zimetupwa
Watu Wana bills za kulipa sio mambo ya makelele ya Kanjunjumele. Kumbuka 2025 tuna Jambo letuOf course Sina, ndio nitavuta shuka nilale kesho nayo ni siku
Sijakuelewa mkuu.Ndio maana Rais Hakeendwa kwenye huo UJINGA.
Mkuu, sasa mafala wanatoka wapi,?
Sawa kabisa Mkuu.TLS itarudisha heshima yake sasa.
CWT jifunzeni sasa kupitia TLS
Mwabukusi oyeee mwabukusi oyeeee
Spika naye ni wa kutoka unyakyusani au unyamboni?Unyakyusani hakujawahi toka fala.
CWT jifunzeni sasa kupitia TLS