Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
CWT hii hii hirizi ya chichiem???TLS itarudisha heshima yake sasa.
CWT jifunzeni sasa kupitia TLS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CWT hii hii hirizi ya chichiem???TLS itarudisha heshima yake sasa.
CWT jifunzeni sasa kupitia TLS
Wengi ni chura kiziwiHawa CWT wakipandishwa treni, tayari wanaipigia chapuo CCM
Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake
Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
Ngoja Pascal Mayalla atuthibitishieHatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake
Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
Mimi ninakukubali!! Huwa hukosegiHatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake
Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
Hakuna cha ajabu Mwabukusi kushinda! Maajabu ni asiposhinda.Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake
Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
samahani unaweza kurekebisha ulichoandika nataka kukuelewa mkuu samahani sanaNdio maana Rais Hakeendwa kwenye huo UJINGA.
Ameshinda📌🔨Jamaa alijieleza na kujibu maswali vizuri sana...
Naomba iwe kweli ashinde.. INSHA ALLAH..
KanjunjumeleNamna mgombea mmoja atakavyo angukia puaView attachment 3059908
📌🔨Hivi wewe ni mtu wa tetesi kweli? Wewe tunajua una habari za uhakika. Hakuna tetesi hapo
Alikuwepo Lissu, alifanya nini la maana ?
📌🔨TLS itarudisha heshima yake sasa.
CWT jifunzeni sasa kupitia TLS
📌🔨Mwabukusi oyeee mwabukusi oyeeee
SawaNi jambo jema. Asimamie sheria sasa
Mwaisa tenaImeisha hiyo👊