Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake

Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.

Inawezekana. Naona watu wanasahau uhuru wetu unapatikana kwa majadiliano sio ubabe
 
Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake

Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
Ngoja Pascal Mayalla atuthibitishie
 
Namna mgombea mmoja atakavyo angukia pua
GSxVzH9XkAAtfuu.jpeg
 
Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake

Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
Mimi ninakukubali!! Huwa hukosegi
 
Kwanini mna matumaini sana na huyo mtu? Nawapa pole sana. Alikuwepo Lissu, alifanya nini la maana ? Hasa huyo jamaa naona tu ni wale wale wachumia tumbo.... anyways, lakini afadhali yeye
 
Hatimaye kuna tetesi nimepenyezewa kwamba Bwana Mwabukusi pamoja na figisu alizofanyiwa amewashinda washindani wake

Mbinu walizotumia kumzuia japo ziligonga mwamba
1. Walisema karatasi za kupigia kura asubuhi ziliisha, hivo uchaguzi ukasimama.
2. Polisi wakaingilia kati.
3. Wakati wa jioni kuna kura zenye kupigiwa kwa Mwabukusi zilikuwa zimetupwa.
Hakuna cha ajabu Mwabukusi kushinda! Maajabu ni asiposhinda.

Kwani wewe ulimwona mtu anayeimudu hiyo nafasi kwa sasa zaidi ya Mwabukusi?
 
Alikuwepo Lissu, alifanya nini la maana ?

Mwabukusi atakuwa rais kwa miaka 3, CCM mlichagiza wenyewe badala ya kuwa urais wa TLS kuwa wa mwaka mmoja CCM wakitumai kibaraka awekwe TLS.

Wakili msomi Boniface Mwabukusi urais wake TLS utakuwa kuanzia mwaka huu 2024 - hadi 2027 kipindi kizuri wadau wa demokrasia TLS kuunga mkono pressure ya kuelekea uchaguzi mkuu uwe huru 2024 / 2025
 
Back
Top Bottom