Watajua hawajuai
 
It is amazingly stupid how we came to care about a fuckn unconsequential election for a miniscule organization with where the victor gets a one year tenure to larp on social media as the esteemed 'president' of said organization. Lawyers are really convincing.
 
Hicho ni chama cha mawakili wa Tanganyika ndio maana ni Tanganyika Law Society.

Hakuna cha mzanzibari hapo. Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa.
 
Kimya kingi huashiria yule asiyetakiwa na serikali ya CCM historia inaonesha matokeo yake ya ushindi huchukua muda mrefu hadi atangazwe.

Na huu uchaguzi wa urais TLS dola ilitumia kila aina ya mbinu hadi mgeni rasmi picha zake kuingizwa ktk ukumbi wa Jakaya Kikwete ilikuwa ni karata ya mwisho ya CCM kujaribu kupindua matokeo.


 
Sema hii TLS huwa ina kelele siku ya uchaguzi tu baada ya hapa ni kiiiimyaaaa amsha amsha zitakuja tena kwenye uchaguzi, hadi sielewagi yani
Kweli sijui wanapoteleaga wapi labda watuonyeshe matunda ya taifa hasa walipopita watu mashuhuri kama tl na fk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…