Uchaguzi Wa Viongozi Wa CCM Wateka Anga la Siasa za Tanzania, CHADEMA yashikwa Mateka

Nyie mnafundishwa kusifia tu viongozi ili mkeka usiwapite
 
Nyie mnafundishwa kusifia tu viongozi ili mkeka usiwapite
Tumefundishwa ndani ya CCM kuwa na hekima busara uadilifu uvumilivu Subira uzalendo upendo n.k, wakati upinzani wamefundishwa kutukani kwa kadri ya uwezavyo na hapo ndipo utaitwa Kamanda mpambanaji,yaani Ni fulu matusi utafikiri mishipa ya ubongo imekatika
 
misambwanda ya ccm mnatafta wanaume chadema kwa taarifa yako chadema haina muda na misambwanda ya majiz ya kura.
 
ccm mmebaki mashoga tupu hamuwez kupambana na wanaume kama chadena mpaka msaidiwe na tume fake na hao polis fake kushinda maana mmebaki nyoronyoro tu.
 
Huko mnafundishwa uchawa tu na wewe umefuzu with flying colours.
 
ccm mmebaki mashoga tupu hamuwez kupambana na wanaume kama chadena mpaka msaidiwe na tume fake na hao polis fake kushinda maana mmebaki nyoronyoro tu.
CCM unashinda kila uchaguzi na itaendeleaa kushinda kila uchaguzi kwa kuwa na Sera na ajenda zinazokubalika kwa wananchi wakati Chadema kimeshindwa hata kujiongoza tu,hakieleweki kinaelekea wapi na kinasimamia Nini, hakieleweki hata Ni Nani msemaji wake
 
labda irashinda njaa kwenye makorido ya mapunga yasiyoweza kupiga kampeni na kushawishi wananchi huko lumumba.
 
labda irashinda njaa kwenye makorido ya mapunga yasiyoweza kupiga kampeni na kushawishi wananchi huko lumumba.
CCM inaongoza kwa kufanya kampeni Safi na za kistaarabu tofauti na nyie machadema mliokosa dira na muelekeo na kuishi Kama watu waliopoteza matumaini ya maisha
 
Utawajali vipi wananchi Kama hata mahali panapotakiwa wafikie pamekushinda kupaboresha? Mamilioni ya Ruzuku na michango mlikuwa mnapeleka wapi? Pesa na michango ya akina Sabodo mlipeleka wapi? Pesa za join the chain zipo mfukoni kwa Nani?

Deal na chama chako, ww tukianza kuuliza michango ya wanaccm na ruzuku zote ni Sawa na maendeleo ya vitu mliokuwa nayo?
 
misambwanda ya ccm mnatafta wanaume chadema kwa taarifa yako chadema haina muda na misambwanda ya majiz ya kura.
Chadema mmejichokea kisera na kifikira, kwa Sasa mmebaki watu wenye mahasira na matusi Kama vile bongo zenu zimepitwa shoti ya umeme baada ya kugundua kuwa watanzania wamewapuuza
 
Kulikuwa na haja gani ya kuandika no zako za simu mwisho wa bandiko?
Tukisema hizi ni njaa na dalili za kujipendekeza tutakuwa tunakosea?

Wewe umeandika na kuleta ujumbe ulipaswa upite kushoto na sio kuacha no kwa lengo la kuonwa na viongoz wako.

Niseme waz tu atakaekuteua wewe nae Hana akili ,watu sahihi wanapimwa kwa matendo na sio kusifia ili wapate ugali ,
Et kijana mzalendo ,kmmk zako
 
Deal na chama chako, ww tukianza kuuliza michango ya wanaccm na ruzuku zote ni Sawa na maendeleo ya vitu mliokuwa nayo?
Huwezi ukafananisha CCM na mavyama Kama Chadema yasiyo na dira Wala muelekeo, chadema Ni mkusanyiko wa wapigaji tu,kazi yao kubwa ni kutafuna kila aina ya sent itakayonukia katika korido za pale ufipa zilizokosa nuru ya muonekano mzuri. Ofisi za chadema Ni mbaya kuliko hata ofisi za wanafunzi, chadema wanazidiwa ofisi na wakatisha tiketi za magari
 
Si unaona namna manachama ya Chadema mlivyovurugwa akili zenu? Yaani kichwani mmebaki hewa tu🤣🤣 mnatukana Hadi midomo yenu inanuka utafikiri mmeoza
 

Sijui Umri wako but unaonekana ni mshamba wa mambo mengi ya siasa

Possibly ukawa ni kijana ambae umeanza kuingia kwenye mitandao recently

Uwez kulinganisha ccm na chadema Kwa anything,

Kuanzia umri, Idadi ya wanachama, mamlaka, wizi dhambi na kila kitu

Mara Mia ya chadema hawana Dola, hawana ela, hawana anything but tunawaona wanapambana

CCM mna miaka 60 mko kwenye Dola mpaka Leo mambo ni vile vile

Wizi ni uleule, Uporaji ni uleule Ufisadi wa mali ni vile vile

No maji, No umeme, no Good Road, No uokoaji, No madawa No anything miaka 60

Nǐ aibu kuongea mambo ya ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…