Uchaguzi Wa Viongozi Wa CCM Wateka Anga la Siasa za Tanzania, CHADEMA yashikwa Mateka

Kumbe kila siku mnatafuta haueni ya CHADEMA kutosikika ili msilale na viatu?
 
Wewe kama unajipendekeza ili uteuliwe acha kutumia mgongo wa CHADEMA tumia njia zingine.

Wenzako wakati wanafanya analigus hufanya kwa juhudi zao binafsi.

Achana kabisa na CHADEMA.
Hakuna chama Hapo zaidi ya ubabaishaji tu na utafunaji wa Ruzuku
 
Wanachadema sifa yenu kuu Ni matusi tu
Ni ushauri tu kijana, siku Moja utakumbuka, narudia Tena, acha siasa za kijinga, Jenga hoja zako bila kuwa biased, acha kusifia Kila "ujinga". Tumia hiki kipaji chako cha uandishi na huu muda wako kufanya maandiko yenye mashiko. Utanikumbuka
 
Uchawa sahv umekuwa ajira mkuu

Huyu atakuja kuchoka mwenyewe

Ova
 
Hakuna chama Hapo zaidi ya ubabaishaji tu na utafunaji wa Ruzuku
Wacha kujirusha ufahamu dogo muulize mwenzako wa Kakonko Eliya Michael

Njaa zako ni zako usiihusishe CHADEMA na kama unashida sana njoo nikupe Skills ujiajiri.
 
Utakuja kuchoka mwenyewe

Utapotea humu jukwaani kama

Waliyotangulia,

Ova
Sipo katika mashindano na mtu Mimi.Ndio maana unaona simtukani mtu yeyote humu kwa kuwa najuwa Kuna kutofautiana kunakonihitahi kuwa na uvumilivu napokosolewa
 
Wacha kujirusha ufahamu dogo muulize mwenzako wa Kakonko Eliya Michael

Njaa zako ni zako usiihusishe CHADEMA na kama unashida sana njoo nikupe Skills ujiajiri.
Mimi nilishajiajiri katika kilimo. Shamba langu ndio daftari langu na jembe langu ndio kalamu yangu na mabega yangu ndio begi langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…