Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Nimeuliza hapo juu mkuu kuwa mamilioni ya Ruzuku kuanzia 2015-2020 yalikwenda wapi? Vipi kuhusu 2010-2015 pesa za Ruzuku zilikwenda wapi? Mbona hata rangi tu katika ofisi imekuwa shida kupaka na kuboresha? Vipi pesa za akina Sabodo? Vipi pesa za join the chain? Unafahamu zikikusanywa shilingi ngapi? Unafahamu zipo kwa Nani? Vipi pesa za michango ya wabunge wa chadema ya miaka husika? Zipo wapi?Punguza dharau. CHADEMA haipokei Ruzuku hata kidogo kwa Sasa. Pia haina wabunge Wala madiwani, ukiondoa wachache. Hivyo inapambana yenyewe Kama chama.