a.k.a mwendazakejuu ya JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a.k.a mwendazakejuu ya JPM.
Kwani Spika Ndugai Job anasemaje kwenye hili?
Hao waliochaguliwa vyuo vya kati wamshukuru Mungu.
Watasoma diploma kwa miaka 3 watakuwa na sifa ya kuajiriwa kuliko wale waakaomaliza miaka 2 na division one form six huku hawawezi kuajiriwa au kujiajiri.
Binafsi najuta kwenda five na six.
Umenena mkuu.ila hii inakua nzuri zaidi kama ulisoma kombi ya science.ukichukua diplomo yako ya electrical,mechanical,civil,clinical officee,pharmact,biomedeical unakua bomba zaidHao waliochaguliwa vyuo vya kati wamshukuru Mungu.
Watasoma diploma kwa miaka 3 watakuwa na sifa ya kuajiriwa kuliko wale waakaomaliza miaka 2 na division one form six huku hawawezi kuajiriwa au kujiajiri.
Binafsi najuta kwenda five na six.
mimi nahitimu mwezi ujao nimeanza kubet rasmi maana ndo inaniingizia angalau Elfu Tano tano.Hao waliochaguliwa vyuo vya kati wamshukuru Mungu.
Watasoma diploma kwa miaka 3 watakuwa na sifa ya kuajiriwa kuliko wale waakaomaliza miaka 2 na division one form six huku hawawezi kuajiriwa au kujiajiri.
Binafsi najuta kwenda five na six.
Nyinyi ndo mnaoongea PUMBA kinoma, yaan nchi yenu bado ipo kwenye competence centered curriculum ( na bado wanasuasua) just suddenly mnataka mshift had Montessori way,,, una akili kweli,,, implementation ya ur current curriculum ni below standard,, shule mbovu,, mwalimu anapewa above 25 student to teach,,, mshahara mbovu,, nchi ina level ndogo ya literacy people and all over the sudden unaropoka tu upuuzi wako[emoji34][emoji34][emoji34]Haya mambo ya combination yalishapitwa na wakati. Mwanafunzi apewe uhuru wa kuchagua kusoma combination anayoitaka.
Nchi kama Finland mtoto anaruhusiwa kusoma chochote anachokitaka.
Tuanze kubadilika, haya mambo ya combination hayana maana tena kwenye ulimwengu huu unaoenda kwa kasi. Kama mtoto anataka kusoma hkl aruhusiwe, anataka kusoma egm aruhusiwe. Hii ya kulazimishana kwa kigezo cha kufaulu hakina maana. Mtu anaweza kufaulu masomo ambayo hayapendi na anayoyapemda akafeli mtihani lakini haina maana kua hayawezi.
Mimi nilifaulu vizuri sana masomo ambayo sikua nayapenda kabisa, history, English, Biology, Kiswahili na Mathematics, hapo somo nilikua napenda ni Mathematics tu mengine hayo hata sijui nilifaulu vipi, nikachaguliwa heg, nikafika advance nikabadili na nikafaulu vizuri
Unafikiria na makamasi na sio ubongoNdio maana inahitajika katiba mpya. Serikali hii imebweteka sana, haya maamuzi ni ya kifamilia kabisa haya, lakini bila kujali serikali inaingilia tu na kufanya maamuzi bila kujali japo hisia za watu.
I hate this
Kwa namba ipi mkuu
Always a loophole for emergency escape! Hata HESLB hivyo hivyo kabla ya nusura aliyotoa Mama.Kwenye selform mwishoni kabisa kuna kipengele kinasema "nitakubali chaguo lolote nitakalopangiwa" sijui hili unalizungumziaje mtoa mad!
Nyumbu hawaeleweki. Hakuna mnyonge tz , atakayesema kuna wanyonge hana akiliiiSi tumekubaliana kwamba sisi si wanyonge tena baada ya JPM kufariki.
Kila mtu apambane na hali yake hatutaki habari tena sijui wewe mnyonge tafuta hela peleka mtoto shule 🤣🤣🤣Mwaka jana alisoma bure kwa kuwa ni maskini, mwaka huu anapaswa kulipa zaidi ya 1 m kulipia chuo. Kuna watoto wameshindwa kuendelea na chuo walikopangiwa kutokana na ufukara. Kuna haja ya kufikiri upya.
Tafuta pesa upeleke mtoto shule ya maana usishinde humu JF🤣🤣🤣Mwanafunzi avaa mabango na kukaa barabarani akipinga kuchaguliwa masomo ya ECA ambayo hajayasomea
Mwanafunzi Josephat John, aliyekuwa anasoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Kom iliyopo Manispaa ya Shinyanga, amezua taharuki ya aina yake leo mchana Ijumaa Juni 4,2021 mjini Shinyanga mara baada ya kujianika juani huku akiwa amevaa mabango na kujifunika maboksi yenye ujumbe wa kupinga...www.jamiiforums.com
Tafuta pesa upeleke mtoto shule ya maana usishinde humu JF🤣🤣🤣