Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

Mimi mdogo angu kapata Div 1-14 PCB ana point 9 aliichagua ila wamempeleka Hgl km vile wao ndo wanamjua kutoka shule za kata, dogo imebidi aende tu kusoma hiyo hiyo maana shule aliyopelekwa Ni Ilboru, sasa haifai kubadili kwenda Pcb na point zake 9 na kuhama kwenda shule nyingine ni mtiti. Yaani sasa hivi badala ya serikali kusaidia kutimiza ndoto za wanafunzi imeamua kuua ndoto zao bora ht wangempeleka CBG
CBG haina kitu huko angepotea tu bora kaamua kwenda HGL Ilboru atakuwa kama Tundu Lissu🤣🤣🤣🤣
 
Ni vyema wanafunzi wakawa wanaomba hizi nafasi baada ya matokeo.
Matokeo yanatangazwa January mwishoni, ikitengwa miezi hata miwili ya maombi online, kisha uchekehaji ukafanyika kwa mwezi moja kisha kutangaza nafasi.
 
Halafu wakiulizwa wanakanusha ! Huyu Ndalichako ni shida sana , Kwa mara ya kwanza nailaumu sana JF kwa kumteua Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu , tulikosea sana , ikumbukwe kwamba Ndalichako aliteuliwa kwanza hapa jf halafu ndio Dr Magufuli akafuatia
Ni wakati sasa wa kuwa serious na Elimu ndalichako hatufai kabisa
 
Kivipi wakati selection inafanywa na TAMISEMI na huko kuna waziri wenu anaitwa Ummy
Naelewa kuwa selection ni Tamisemi ambako sina shaka nako Probably watu wanamhujumu Ummy mana ile wizara ina deals nyingi za ujenzi ambapo waliotolewa na uhakika hawakufurahi, Lakini wewe kwa akili yako unadhani wizara ya elimu ina waziri kweli?
 
Selection haifanywi na wizara ya elimu Bali inafanywa na TAMISEMI,ila nachokushauri sasa hivi kila mtu apambane kivyake,tumeshakataa hizi story sijui wewe maskini sijui wewe mnyonge,tafuta pesa upeleke mtoto unapopataka wewe,acha kulia lia jomba
Sawa Ndalichako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huna ushahidi wa ukisemacho.
Tumeona yule mwanafunzi aliyejivika mabango alivyotudanganya tukailaumu wizara Kumbe ni mpuuzi tu.

Wanafunzi waelimishwe kwamba hata last option kwenye zile fomu ni chaguo lako pia, ukipangwa huko usilalaimike.
 
Usilitajetaje hili dikteta hata kwenye Mambo ambayo halikufanya cha maana. Hili dubwana liliharibu na kuizika kabisa sekta ya elimu.

Kama huna hoja kaa kimya, usituletee stori za dikteta uchwara kwenye mijadala muhimu.
Na nimeamini watu hawajui, huu utaratibu aliuleta Magufuli, hata mwaka jana na mwaka juzi mchezo ulikuwa hivi hivi na Magufuli alikuwepo
 
Yaani Ummy kwa kuwa unampenda umeamua kusema anahujumiwa ila Ndalichako unaona hafai Elimu,kweli dunia hii ngumu sana
Ndalichako ile wizara anafanya vizuri sana
Naelewa kuwa selection ni Tamisemi ambako sina shaka nako Probably watu wanamhujumu Ummy mana ile wizara ina deals nyingi za ujenzi ambapo waliotolewa na uhakika hawakufurahi, Lakini wewe kwa akili yako unadhani wizara ya elimu ina waziri kweli?
 
Tatizo lingine ni umbali wa shule walizopangiwa hawa wanafunzi,
Mtoto yupo Arusha anapelekwa Ruvuma au Biharamulo
Kwa mzazi asie na uwezo hiyo nauli tu ni kizungumkuti
Kuna haja ya kutafuta pesa upeleke mtoto wako unapopataka wewe kuliko kusubiri kupangiwa na hoizi akili za Maccm
 
TAMISEMI kama ilivyo wizara ya Afya zina watu wazembe sana wasio makini kwenye mambo yao.

Sijui tutapata wapi mtu mwenye uwezo wa kufuatilia uozo kama huo na kuchukua hatua.
 
UMASIKINI SIO SIFA NI UJINGA. JADILI ISSUE ILA USITAFUTE HURUMA KWA KUJIITA MASIKINI
 
Tatizo lingine ni umbali wa shule walizopangiwa hawa wanafunzi,
Mtoto yupo Arusha anapelekwa Ruvuma au Biharamulo
Kwa mzazi asie na uwezo hiyo nauli tu ni kizungumkuti
Kuna haja ya kutafuta pesa upeleke mtoto wako unapopataka wewe kuliko kusubiri kupangiwa na hoizi akili za Maccm
Usiwe kama wazazi baadhi wa pwani hela za harusi zipo ila za elimu utasikia sisi wanyonge.
 
Wala msiwalaumu Tamisemi mmehakiki matokeo ya watoto wenu au mtoto Alisha kuambia ana division one na ww unaamini mfano ni Hugo dogo aliekua anapita barabarani huko shinyanga akidai amefaulu PCB kumbe anadanganya, Shule aliosoma ni kom sec ambayo IPO kweny manispaa ya shinyanga no yake ya mtihani s2652-0102-2020 ,tuweni makini na watoto wetu
 
Hao waliochaguliwa vyuo vya kati wamshukuru Mungu.

Watasoma diploma kwa miaka 3 watakuwa na sifa ya kuajiriwa kuliko wale watakaomaliza miaka 2 na division one form six huku hawawezi kuajiriwa au kujiajiri.

Binafsi najuta kwenda five na six nilipomaliza form four.
Nilifanya ulofa sana kwa kutaka sifa
Wewe uliyekwenda kusoma diploma moja kwa moja baada ya kumaliza F.IV na mwenzio ayekwenda kwanza F.5&6, mnatofautiana njia tu ya kupitia, lakini all is the same...

Ofcoz, kuna ishu ya muda. Kwamba wewe umetumia miaka 3 kupiga yote mawili Diploma yako + A'Level Sec. Education..

Huku mwenzako katumia miaka 2 kusoma masomo ya A'Level Secondary Education pekee. Lakini atakukuta chuo kilekile kwa ajili ya kuchukua Diploma yake tena wewe ukiwa mwaka wa mwisho...

Kwenye ishu ya ajira hakuna guarantee kuwa wewe utakuwa wa kwanza kuajiriwa/kujiajiri. Hapa ni ishu ya ushapu na uwezo wa kuziona, kuchukua na kuzitumia fursa zilizo mbele yako. Unaweza kuwa wa kwanza kupata diploma yako kwa njia hiyo lakini ukawa wa mwisho kufaidika nayo...

WHY? Ni kwa sababu always; THE END JUSTFY THE MEANS...

Kwa upande wa pili mnatofautiana maarifa mliyopokea. Mwenzako kasoma masomo ya K.5&6 in details. Wewe umeyapata partially. Mwenzio atakuwa na vyeti vitatu CSEE, ACSEE na DIPLOMA, wewe utakuwa na viwili tu CSEE na DIPLOMA...

Huku mbeleni mwenzako (in some circumstances) atakuwa na access rahisi zaidi kujiendeleza kuliko wewe ambaye ktk mazingira fulani may be unaweza jikuta unalazimika kufanya ambacho hukukifanya ktk stage fulani huko nyuma ili upate access fulani ili uwe placed ktk level fulani huko mbeleni...

Hii ni kwa sababu mifumo yetu ya elimu Tanzania kwa kiasi fulani ni uncompromising or not properly coordinated...

But all in all, nyie wote kwa ujumla ni sawa tu lakini kwa kutumia njia mbili tofauti...
 
CBG haina kitu huko angepotea tu bora kaamua kwenda HGL Ilboru atakuwa kama Tundu Lissu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimemwambia asome akifaulu vzr asome mpk Masters Law
 
Nadhani Ndalichako amechoka ...angepumzika sasa ubunifu uliisha kitambo sasa amebakia kulazimisha
 
Back
Top Bottom