Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

Tatizo linaanzia kuwapa tamisemi wasimamie shule.. tamisemi hawa wanaojenga vyoo vya masoko na stand watapata wapi huo utalaam wa kuwapeleka wanafunzi kwenye mambo muhimu?


Waziri aliye pita alikua kama mganga wa kienyeji kwa kuhimiza nyumbu, unadhani kuna elimu hapo?
Na Mwl Matete

Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi (Private) kidato cha Tano:

1.Miaka yote tangu Uhuru na hata kabla Uhuru uchaguzi wa wanafunzi serikali hutumia selform ambao hujazwa na wanafunzi wenyewe kabla au baada ya kumaliza kidato cha NNE kwa kuangalia muenendo wa mtihani alivofanya. Mara nyingi wanafunzi hujaza hizi form kwa ushauri wa wazazi na walimu.
- Kwenye selform mwanafunzi huchagua tahasusi na vyuo anavyopenda yeye na wanaochagua hutumia machaguo ya mwanafunzi husika. Mwaka huu mambo hayakuwa hivo. Mtoto amefaulu PCB au PCM vizuri tu lkn anachaguliwa HKL kweli? (Mtasema shule za sayansi ni chache)

Lakini haiji akilini mtu amefaulu kwa Chemistry - A, Geography- B na Biology - B lakini anapelekwa kusoma HKL aliopata C-C-C. au amefaulu vizuri HGL lakini anapelekwa kusoma Computer, Physics na Mathematics. Aliomba hio?

2. Kituko kilikuwa kwa wale waliofaulu kwa Division one lakini unapangiwa kusoma Record Management na haukuiomba. Yupo kijana ana Division one points 14 lakini anapangiwa kusoma Hotel Management Singida. Hivi mimi mzazi tulikubaliana na wewe ulioko ofisini hapo Dodoma nataka mwanangu asome uhudumu wa Hoteli?

Mmoja ana Division I.16 amepangiwa kusoma certificate ya Community Development - Tengeru. Mliongea na mzazi wa huyu mwanafunzi akasema anataka mwanae asome maendeleo ya jamii?

Sio kwamba nabeza fani zingine LA hasha Bali kila MTU asomee anachokitaka, mi mwanangu ana kipaji cha kuchora anataka awe msanii wa uchoraji kama Masuod Kipanya na nimejaza selform, wewe unamlazimisha akasome mifugo au Record management kwa nini? Kisa uko ofisini unaamua wewe

- Nimesikitika kuona mwanafunzi mmoja amevaa mabango mengi mwili akilia amepata Div.I-14 amepangiwa kusoma Hotel Management - Bagamoyo [emoji24][emoji24]

KINACHOONEKANA KWENYE HALI HII

1. Serikali imeona wanafunzi hawaendi kwenye vyuo vyao ambavyo hawatoi ajira na vyuo vingi vinakufa kwa kukosa wanafunzi sasa kilichopo ni kulazimisha wanafunzi waende kwa nguvu

2. Ile tabia ya TCU kula na vyuo vikuu hasa private kuwapangia wanafunzi inahamia vyuo vya kati imeanza baada ya chuma kuondoka. Mwendazake alikataa hii tabia (RUSHWAAAA), aliruhusu kila mwanafunzi asome chuo anachotaka na fani anayopenda! Sasa hivi tunalazimisha wanafunzi wakasomee Hotel Management!!!!

3. Inaonekana vyuo vya kati vimeomba vipewe wanafunzi moja kwa moja kutoka wizarani bila kujali vipaji vya wanafunzi, lengo lao ni kuwa na wanafunzi wengi ili wapate capitation. Wakufunzi wanajali pesa kwa kuuwa vipaji vya watoto wetu. Wizara nao kujali pesa ya asante wanawateketeza watoto wetu

4. Hii ni mbinu chafu ya kuwatengenezea shule binafsi pesa. Tunalazimishwa kwa nguvu kuwapeleka watoto wetu shule binafsi kusoma kidato cha tano. Kwasababu haiwezekani mtoto amesota sana kusoma na kupata Div.I-12 unamwambia akasome Ualimu wa Chekechea - Kasulu TC kisa Mkuu wa chuo kasoma na waziri wa ......

Wazazi wasio na uwezo watawapeleka watoto wao hizo Private zenu mnazozitengenezea soko?

Mzazi wa kutoka Machochwe, Buzilayombo au Kibanchabancha atasomesha mwanae kwenye shule zenu mlizojenga kama Feza, Mosabe, St. Francis nk?

My take

1. Tunataka Uhuru wa Elimu, kila mwanafunzi asome anachokitaka, akuze talanta yake aliopewa na mungu sio kulazimishwa kisa kujaza vyuo.

2. Mhe. Waziri Mkuu we ni Mwalimu mwenzetu hili lisikushinde tusaidie wazazi masikini tunaotaka watoto wasome wanachokitaka na kukipenda sio anachokitaka Mkuu wa chuo cha utalii - Singida

3. Mhe Prof Ndalichako hizi self form wanazojaza wanafunzi ni za nini? Kazi zake ni nini.... Au mliiga kutoka kwa wakoloni bila kujua kuzitumia?
Tutumie selform.

SAMBAZA HII MPAKA AISOME MAMA.....SISI NI WATOTO WA MAMA

NAMUAMINI ATATUSAIDIA

+255 752761116
 
Usilitajetaje hili dikteta hata kwenye Mambo ambayo halikufanya cha maana. Hili dubwana liliharibu na kuizika kabisa sekta ya elimu.

Kama huna hoja kaa kimya, usituletee stori za dikteta uchwara kwenye mijadala muhimu.

Usilitajetaje hili dikteta hata kwenye Mambo ambayo halikufanya cha maana. Hili dubwana liliharibu na kuizika kabisa sekta ya elimu.

Kama huna hoja kaa kimya, usituletee stori za dikteta uchwara kwenye mijadala muhimu.
Fafanua alivyoiua elimu.
 
Usilitajetaje hili dikteta hata kwenye Mambo ambayo halikufanya cha maana. Hili dubwana liliharibu na kuizika kabisa sekta ya elimu.

Kama huna hoja kaa kimya, usituletee stori za dikteta uchwara kwenye mijadala muhimu.
Mwenye SACCOS kawaharibu sana hadi mnafikiri kwa masaburi na hata utu mumekosa utadhani mlizaliwa na wanyama.
 
Mimi mdogo angu kapata Div 1-14 PCB ana point 9 aliichagua ila wamempeleka Hgl km vile wao ndo wanamjua kutoka shule za kata, dogo imebidi aende tu kusoma hiyo hiyo maana shule aliyopelekwa Ni Ilboru, sasa haifai kubadili kwenda Pcb na point zake 9 na kuhama kwenda shule nyingine ni mtiti. Yaani sasa hivi badala ya serikali kusaidia kutimiza ndoto za wanafunzi imeamua kuua ndoto zao bora ht wangempeleka CBG
 
Namba hamsini

IMG-20210604-WA0077.jpg
 
Haya mambo ya combination yalishapitwa na wakati. Mwanafunzi apewe uhuru wa kuchagua kusoma combination anayoitaka.

Nchi kama Finland mtoto anaruhusiwa kusoma chochote anachokitaka.

Tuanze kubadilika, haya mambo ya combination hayana maana tena kwenye ulimwengu huu unaoenda kwa kasi. Kama mtoto anataka kusoma hkl aruhusiwe, anataka kusoma egm aruhusiwe. Hii ya kulazimishana kwa kigezo cha kufaulu hakina maana. Mtu anaweza kufaulu masomo ambayo hayapendi na anayoyapemda akafeli mtihani lakini haina maana kua hayawezi.

Mimi nilifaulu vizuri sana masomo ambayo sikua nayapenda kabisa, history, English, Biology, Kiswahili na Mathematics, hapo somo nilikua napenda ni Mathematics tu mengine hayo hata sijui nilifaulu vipi, nikachaguliwa heg, nikafika advance nikabadili na nikafaulu vizuri
Finland mbona umeenda mbali sana, hata hapa jirani yetu Uganda kila mwanafunzi huwa na combi yake, unawezakuta darasa moja kuna combi zaidi 7
 
Hakuna MTU anayepanga chaguo la mwanafunzi akasome nini chuo au mchepuo kidato cha 5 pale TAMISEMI bali ni mfumo ulivyotengenezwa uteua kulingana na mwanafunzi alivyofaulu masomo na alivyojaza selform yake !

Kila mchepuo una alama zake. Kwa mfano PCB ni afaulu alama BCC yaani alama nane (8) na alama Tisa (CCC/Ccd) na kuendelea haiwezekani kupangiwa PCB kwa mwaka huu ! Hivyo utampangia mwanafunzi mchepuo ule aliofaulu sana katika maombi yake kulingana cutting points zake. Hapa ndipo aliyetarajia kupangwa mchepuo wa Sayansi anashangaa amepangwa mchepuo wa sanaa (hgl/hge) au chuo !

Mwisho ni wengi wanafanya makosa kwenye kuomba machaguo yao kupitia selform wanapopewa nafasi kurekebisha machaguo yao. Mfano mwanafunzi kajaza chaguo la kwanza ni chuo badala kidato cha tano. Nani alaumiwe akipangwa vyuo pamoja na kufaulu kwa daraja la kwanza ?

IMG_20210605_165241_745.jpg
 
Halafu wakiulizwa wanakanusha ! Huyu Ndalichako ni shida sana , Kwa mara ya kwanza nailaumu sana JF kwa kumteua Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu , tulikosea sana , ikumbukwe kwamba Ndalichako aliteuliwa kwanza hapa jf halafu ndio Dr Magufuli akafuatia

Sasa Ndalichako ndiye anapanga haya machaguo au ni TAMISEMI?!
 
Huu ni upumbavu,,,, unless wanafanya kuwapangia hivyo ili kupunguza tatizo la ajira nchini, labda wameona watoto wanasoma mafizikia, mahesabu, bailojia ambayo hayawasaidii wanapohitimu, so ni bora kumsomesha mtoto hotel management kama hii fani Ina ajira nyingi, ataajiriwa anapomaliza kuliko kusoma masomo magumu... uhangaike chuo then ukose kazi, ukae benchi ... but I still think kuwapangia watoto vitu wasivyopenda itawapungizia morale ya kusoma na pia it is ethically wrong..
 
Na Mwl Matete

Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi (Private) kidato cha Tano:

1.Miaka yote tangu Uhuru na hata kabla Uhuru uchaguzi wa wanafunzi serikali hutumia selform ambao hujazwa na wanafunzi wenyewe kabla au baada ya kumaliza kidato cha NNE kwa kuangalia muenendo wa mtihani alivofanya. Mara nyingi wanafunzi hujaza hizi form kwa ushauri wa wazazi na walimu.
- Kwenye selform mwanafunzi huchagua tahasusi na vyuo anavyopenda yeye na wanaochagua hutumia machaguo ya mwanafunzi husika. Mwaka huu mambo hayakuwa hivo. Mtoto amefaulu PCB au PCM vizuri tu lkn anachaguliwa HKL kweli? (Mtasema shule za sayansi ni chache)

Lakini haiji akilini mtu amefaulu kwa Chemistry - A, Geography- B na Biology - B lakini anapelekwa kusoma HKL aliopata C-C-C. au amefaulu vizuri HGL lakini anapelekwa kusoma Computer, Physics na Mathematics. Aliomba hio?

2. Kituko kilikuwa kwa wale waliofaulu kwa Division one lakini unapangiwa kusoma Record Management na haukuiomba. Yupo kijana ana Division one points 14 lakini anapangiwa kusoma Hotel Management Singida. Hivi mimi mzazi tulikubaliana na wewe ulioko ofisini hapo Dodoma nataka mwanangu asome uhudumu wa Hoteli?

Mmoja ana Division I.16 amepangiwa kusoma certificate ya Community Development - Tengeru. Mliongea na mzazi wa huyu mwanafunzi akasema anataka mwanae asome maendeleo ya jamii?

Sio kwamba nabeza fani zingine LA hasha Bali kila MTU asomee anachokitaka, mi mwanangu ana kipaji cha kuchora anataka awe msanii wa uchoraji kama Masuod Kipanya na nimejaza selform, wewe unamlazimisha akasome mifugo au Record management kwa nini? Kisa uko ofisini unaamua wewe

- Nimesikitika kuona mwanafunzi mmoja amevaa mabango mengi mwili akilia amepata Div.I-14 amepangiwa kusoma Hotel Management - Bagamoyo [emoji24][emoji24]

KINACHOONEKANA KWENYE HALI HII

1. Serikali imeona wanafunzi hawaendi kwenye vyuo vyao ambavyo hawatoi ajira na vyuo vingi vinakufa kwa kukosa wanafunzi sasa kilichopo ni kulazimisha wanafunzi waende kwa nguvu

2. Ile tabia ya TCU kula na vyuo vikuu hasa private kuwapangia wanafunzi inahamia vyuo vya kati imeanza baada ya chuma kuondoka. Mwendazake alikataa hii tabia (RUSHWAAAA), aliruhusu kila mwanafunzi asome chuo anachotaka na fani anayopenda! Sasa hivi tunalazimisha wanafunzi wakasomee Hotel Management!!!!

3. Inaonekana vyuo vya kati vimeomba vipewe wanafunzi moja kwa moja kutoka wizarani bila kujali vipaji vya wanafunzi, lengo lao ni kuwa na wanafunzi wengi ili wapate capitation. Wakufunzi wanajali pesa kwa kuuwa vipaji vya watoto wetu. Wizara nao kujali pesa ya asante wanawateketeza watoto wetu

4. Hii ni mbinu chafu ya kuwatengenezea shule binafsi pesa. Tunalazimishwa kwa nguvu kuwapeleka watoto wetu shule binafsi kusoma kidato cha tano. Kwasababu haiwezekani mtoto amesota sana kusoma na kupata Div.I-12 unamwambia akasome Ualimu wa Chekechea - Kasulu TC kisa Mkuu wa chuo kasoma na waziri wa ......

Wazazi wasio na uwezo watawapeleka watoto wao hizo Private zenu mnazozitengenezea soko?

Mzazi wa kutoka Machochwe, Buzilayombo au Kibanchabancha atasomesha mwanae kwenye shule zenu mlizojenga kama Feza, Mosabe, St. Francis nk?

My take

1. Tunataka Uhuru wa Elimu, kila mwanafunzi asome anachokitaka, akuze talanta yake aliopewa na mungu sio kulazimishwa kisa kujaza vyuo.

2. Mhe. Waziri Mkuu we ni Mwalimu mwenzetu hili lisikushinde tusaidie wazazi masikini tunaotaka watoto wasome wanachokitaka na kukipenda sio anachokitaka Mkuu wa chuo cha utalii - Singida

3. Mhe Prof Ndalichako hizi self form wanazojaza wanafunzi ni za nini? Kazi zake ni nini.... Au mliiga kutoka kwa wakoloni bila kujua kuzitumia?
Tutumie selform.

SAMBAZA HII MPAKA AISOME MAMA.....SISI NI WATOTO WA MAMA

NAMUAMINI ATATUSAIDIA

+255 752761116
Umeharibu maana ulipomtaja "mwendazake".
 
Tatizo ni resources. Ukiruhusu mtu asome chochote utapangaje madarasa, vyumba vitatosha walimu watatosha, time table itakuaje,mitihani watafanyaje...n.k.

Combi bado zipo sana tu
Unaona ni sahihi mtu aliyepata A ya chemistry kusomea hotel management?
 
Kuna mtoto wa jirani yangu alipo angalia matokeo ya kidato cha nne aliona amepata division one, selection zilipotoka hakuchaguliwa, mamaake akanipigia simu kuniuliza inakuaje nikamwambia anitumie namba yake ya mtihani kuangalia kumbe alipata div three ya 24 na combination hazijabalance maana yangu muwe mnachunguza kabla ya kuwalaumu Tamisemi
 
Na Mwl Matete

Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi (Private) kidato cha Tano:

1.Miaka yote tangu Uhuru na hata kabla Uhuru uchaguzi wa wanafunzi serikali hutumia selform ambao hujazwa na wanafunzi wenyewe kabla au baada ya kumaliza kidato cha NNE kwa kuangalia muenendo wa mtihani alivofanya. Mara nyingi wanafunzi hujaza hizi form kwa ushauri wa wazazi na walimu.
- Kwenye selform mwanafunzi huchagua tahasusi na vyuo anavyopenda yeye na wanaochagua hutumia machaguo ya mwanafunzi husika. Mwaka huu mambo hayakuwa hivo. Mtoto amefaulu PCB au PCM vizuri tu lkn anachaguliwa HKL kweli? (Mtasema shule za sayansi ni chache)

Lakini haiji akilini mtu amefaulu kwa Chemistry - A, Geography- B na Biology - B lakini anapelekwa kusoma HKL aliopata C-C-C. au amefaulu vizuri HGL lakini anapelekwa kusoma Computer, Physics na Mathematics. Aliomba hio?

2. Kituko kilikuwa kwa wale waliofaulu kwa Division one lakini unapangiwa kusoma Record Management na haukuiomba. Yupo kijana ana Division one points 14 lakini anapangiwa kusoma Hotel Management Singida. Hivi mimi mzazi tulikubaliana na wewe ulioko ofisini hapo Dodoma nataka mwanangu asome uhudumu wa Hoteli?

Mmoja ana Division I.16 amepangiwa kusoma certificate ya Community Development - Tengeru. Mliongea na mzazi wa huyu mwanafunzi akasema anataka mwanae asome maendeleo ya jamii?

Sio kwamba nabeza fani zingine LA hasha Bali kila MTU asomee anachokitaka, mi mwanangu ana kipaji cha kuchora anataka awe msanii wa uchoraji kama Masuod Kipanya na nimejaza selform, wewe unamlazimisha akasome mifugo au Record management kwa nini? Kisa uko ofisini unaamua wewe

- Nimesikitika kuona mwanafunzi mmoja amevaa mabango mengi mwili akilia amepata Div.I-14 amepangiwa kusoma Hotel Management - Bagamoyo [emoji24][emoji24]

KINACHOONEKANA KWENYE HALI HII

1. Serikali imeona wanafunzi hawaendi kwenye vyuo vyao ambavyo hawatoi ajira na vyuo vingi vinakufa kwa kukosa wanafunzi sasa kilichopo ni kulazimisha wanafunzi waende kwa nguvu

2. Ile tabia ya TCU kula na vyuo vikuu hasa private kuwapangia wanafunzi inahamia vyuo vya kati imeanza baada ya chuma kuondoka. Mwendazake alikataa hii tabia (RUSHWAAAA), aliruhusu kila mwanafunzi asome chuo anachotaka na fani anayopenda! Sasa hivi tunalazimisha wanafunzi wakasomee Hotel Management!!!!

3. Inaonekana vyuo vya kati vimeomba vipewe wanafunzi moja kwa moja kutoka wizarani bila kujali vipaji vya wanafunzi, lengo lao ni kuwa na wanafunzi wengi ili wapate capitation. Wakufunzi wanajali pesa kwa kuuwa vipaji vya watoto wetu. Wizara nao kujali pesa ya asante wanawateketeza watoto wetu

4. Hii ni mbinu chafu ya kuwatengenezea shule binafsi pesa. Tunalazimishwa kwa nguvu kuwapeleka watoto wetu shule binafsi kusoma kidato cha tano. Kwasababu haiwezekani mtoto amesota sana kusoma na kupata Div.I-12 unamwambia akasome Ualimu wa Chekechea - Kasulu TC kisa Mkuu wa chuo kasoma na waziri wa ......

Wazazi wasio na uwezo watawapeleka watoto wao hizo Private zenu mnazozitengenezea soko?

Mzazi wa kutoka Machochwe, Buzilayombo au Kibanchabancha atasomesha mwanae kwenye shule zenu mlizojenga kama Feza, Mosabe, St. Francis nk?

My take

1. Tunataka Uhuru wa Elimu, kila mwanafunzi asome anachokitaka, akuze talanta yake aliopewa na mungu sio kulazimishwa kisa kujaza vyuo.

2. Mhe. Waziri Mkuu we ni Mwalimu mwenzetu hili lisikushinde tusaidie wazazi masikini tunaotaka watoto wasome wanachokitaka na kukipenda sio anachokitaka Mkuu wa chuo cha utalii - Singida

3. Mhe Prof Ndalichako hizi self form wanazojaza wanafunzi ni za nini? Kazi zake ni nini.... Au mliiga kutoka kwa wakoloni bila kujua kuzitumia?
Tutumie selform.

SAMBAZA HII MPAKA AISOME MAMA.....SISI NI WATOTO WA MAMA

NAMUAMINI ATATUSAIDIA

+255 752761116
Nakupongeza kwa hoja hii. Imenikuna hadi kumtima. Mifumo yao imelewa
 
Emu ngoja kwanza ule mkopo kutoka WB wa kujenga mashule umetumikaje. Kuna wilaya haina hata HIGH SCHOOL hata moja. Au ndo mkopo uliishia kwenye uchaguzi.
Shule za Alevel ni chache sana kiasi kwamba wanaohitimu kidato cha nne na kupata ufaulu ni wengi sana na hakuna nafasi za kutosha kwenda form 5
 
Back
Top Bottom