Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Mjomba kwani wewe hujagombea , umeridhika na kugonga meza kila siku ?Kosa mnalofanya kila siku ni kutegemea ushindi kwa huruma ya wana ccm never!
Mngekua na akili mngepata jibu pale mlipulizwa lowassa ni aaset au liability.Kavuka na watu wasiozidi kumi tena waliotemwa.
CCM Hawapo hivyo kama mnavyowafikiria,juzi tu mlikua mnampongeza Bashe anajitambua,leo kawa naibu waziri Tamisemi,hakuna mtu aliefungua bakuli lake kuhoji kama Bashe ni shushu au la
Unatia aibu kikolo kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri,kwa hiyo hawa wafuasi wa kishinda ndio kutakuwa na jipi jipya?alikuwepo CCM akashindwa leo yupo chama cha mafisadi ndio ataiweza CCM ?CCM ni kina kirefu kaka ,hizo propaganda uchwara za hapa mtandaoni hazitawasidia kupata ushindi huku Kajunjumele ambako huuliza JamiiForums ndio nini?huyu mtu hatujawahi kumsikia........Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Bashe anajitambua,leo kawa naibu waziri Tamisemi,hakuna mtu aliefungua bakuli lake kuhoji kama Bashe ni shushu au la
Kosa mnalofanya kila siku ni kutegemea ushindi kwa huruma ya wana ccm never!
Mngekua na akili mngepata jibu pale mlipulizwa lowassa ni aaset au liability.Kavuka na watu wasiozidi kumi tena waliotemwa.
CCM Hawapo hivyo kama mnavyowafikiria,juzi tu mlikua mnampongeza
kwani mange kasemaje?
Nikurekebshe kidogo hapo mkuu, CHAMA CHA MAFISADI NI CCM na wafadhili wao na ndio wenye kesi nyingi za ufisadi, nafikiri hapo ulichanganya kidogo. Sijapata kumsikia fisadi kutoka upinzan ambae kapelekwa mahakamani.Unatia aibu kikolo kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri,kwa hiyo hawa wafuasi wa kishinda ndio kutakuwa na jipi jipya?alikuwepo CCM akashindwa leo yupo chama cha mafisadi ndio ataiweza CCM ?CCM ni kina kirefu kaka ,hizo propaganda uchwara za hapa mtandaoni hazitawasidia kupata ushindi huku Kajunjumele ambako huuliza JamiiForums ndio nini?huyu mtu hatujawahi kumsikia........
rudi ukalale ndoto iishe.....hii ni ndoto2020 wataimwaga pombe....
Unataka kuleta wasi wasi na taharuki kwa watu.Au ndiyo njia ya kuchonganisha maadui?Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
hoja ya kula rushwaDiwani ananuliwa bila kujenga hoja?
Hivi kwa akili zako za ndezi ,ccm na ukawa wapi wapo vizuri mitandaoni????Bavicha uwezo wenu wa kujenga hoja unashuka siku hadi siku.....hata propaganda za mtandaoni zinawashinda kwa kiasi kikubwa...
Mkuu mshukuru sana lubuva , na uoga wa watanzaniaKweli ni tetesi tu, maana kama kweli Lowassa ana wafuasi wengi CCM, kiasi hicho kwanini hawakumchagua kuwa rais
Walimchagua, jajatangazwaKweli ni tetesi tu, maana kama kweli Lowassa ana wafuasi wengi CCM, kiasi hicho kwanini hawakumchagua kuwa rais
TAMISEMI ya NzegaBashe kawa Naibu waziri Tamisemi ya nchi gani!!?