Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani Inv sio mtu wa Kukurupuka tu, hawezi kuweka kitu humu ndani bila kuwa na Source ya kueleweka, MWAFRIKA, AMA NA BUCKREEF, msipotoshe watu, Hii barua ni ya kweli sijaona mtu wa kunishawishi kuwa hii barua ni FAKE
ID ya Edson imesajiliwa March 2009, na ya Kituko imesajiliwa January 2009. Kati ya Edson na Kituko nani mgeni humu JF? Au ulidhani umetumia ID yako ya zamani?
hujanielewa wewe acha kuropoka, rudi kwenye post ya kituko kuna watu kawamention hapo hao ndo nawalenga.
mtakoma octoba 31 ,unapagawa sasa hivi?!!!
ikiwa inv anasema
na wewe unasema "hujaona mtu wa kunishawishi kuwa hii barua ni FAKE" una ubongo au matope kwenye kichwa chako?
- Uchakachuaji HAUPO! - NYARAKA HIZI HAPA NI FAKE
Mkuu Inv - Hii barua inanipa mashaka, mbona haina muhuri? Halafu majina yaliyotajwa ni mazito, ulazima wa kuyaandika majina kwenye barua sijauona. Mbona haina hata Kumb. Na.? Mhhhhhhh. Labda kama huyo msimamizi awe ameamua kujitoa muhanga!!!!!!!!!!!!!!
....and what is your point?There are currently 435 users browsing this thread. (128 members and 307 guests)
Sasa kama hali imeshekuwa hivyo mnaenda kupiga kura ya nini?
Ivesibo anatumiwa kuondoa post na kuweka zile ambazo wanataka ameondoa nyingi na hii kaiweka mwenyewe baada ya kukolomea na Vibaraka wa Malaika JK kaibadili jina, halafu nyie mnarumbana na kutukanana. Shauri yenu.
CCM wajanja kweli kweli, wamewaingiza CHADEMA kichwa kichwa kwenye barua ambayo ukisoma kidogo tu unagundua wazi ni HOAX.
Mwambieni Dr. Slaa aiongelee majukwaani.
Ni yale yale ya Tunduma na lorry la karatasi za kura.
Ila Watanzania kuweni macho. Mauaji ya Rwanda na hata Kosovo yalianza kwa uvumi ambao baadaye ilikuja julikana kwamba haukuwa na ukweli. Wakati huo ilikuwa too late na watu walishaanza kuchinjana.
Jiandaeni kupiga kura kwa amani na kupunguza pressure na stress za kwenye JF.
Hi!Naomba kuwaambie Nyie nyote Mlioko hapo Chini.
Hii barua inaweza kuwa imeandikwa na huyu kabwe Kweli.
Lakini inaweza kuwa na maana beyond the content.
Sidhani kama hawa CCM wako chini kiasi hiki Kujipa kesi, Na kutengeneza ushahidi kwa Mpinzani. no way!
Things like these cannot be put in writing. And if that is the case, zingesambazwa kwa siri sana, Labda Jk angepeleka kwa wahusika Mwenyewe.
Hii barua hatuwezi kuiangalia Beyond the Content?
Why the hell did they put this in writing?