Uchambuzi: Adhabu kwa wabunge Silaa na Gwajima ni funzo kubwa kwa watanzania

Mods unganisheni huu Uzi tafadhali na ile mingine inayomzungumzia Gwajima na Slaa kwa yale yaliyotokana na Bunge la leo.
Yes. Mods waunganishe zile nyuzi hapa ili tuzipate zote kwa pamoja.
 

Huko bungeni mbunge awepo au asiwepo hakuna madhara yoyote. Mbona wapo na tozo ziko juu, ni wananchi wamewatuma? Kama ni sheria huwa zinatungwa na serikali, kazi ya bunge ni kupiga blabla na kuzipitisha. Sana sana mbunge ndio atapoteza posho sio zaidi ya hapo.
 
Ndio maaana hawahofii
 
Gwajima is right on which grounds? Please can you substantiate your statement?
Mbona kwa ask. Gwajima hujachambua kama kwa Jerry. Unaisema kamati, halafu unafanya yaleyale!
 
Jamaa wewe idiot. Gwajima hana kosa, hata Mh. Rais Mama Samia anajua kabisa. Wabunge uelewa mdogo. Hivi inakuwaje kitu cha majaribio kiwe lazima. Ukitaka kujua wewe mleta hoja ni mjinga na lijinga na pimbi wewe kumbuka Rais mama Yetu alisema chanjo ni hiari na Gwajima katumia hiyo hiyo hiari. Sasa mlivyowajjnga mnademika tu.
 
Mbona kwa ask. Gwajima hujachambua kama kwa Jerry. Unaisema kamati, halafu unafanya yaleyale!
Askofu Gwajima makosa yake yapo wazi mkuu. Ndio maana sijarudia kuyachambua kwa kuwa clips zake za upotoshaji zimesamabaa sana na kwa muda mrefu.
 
Askofu Gwajima makosa yake yapo wazi mkuu. Ndio maana sijarudia kuyachambua kwa kuwa clips zake za upotoshaji zimesamabaa sana na kwa muda mrefu.
Kamati ukiwauliza watajibu the same. So kwa nini unadhani wamekosea?
 
Nani kakulazimisha mkuu? Askofu Gwajima anajua fika kuwa chanjo ni hiyari lakini yeye kila siku amekuwa akiwagomesha wafuasi wake wasichanjwe badala ya kuwaacha watumie hiyari hiyo kuamua wao wenyewe ama wachanjwe au wasichanjwe. Natumaini sasa umeelewa hoja yangu.
 
Wewe mtoa mada uwezo wako wa kuchambua mambo mdogo sana.Tulitegemea utaishauri serikali imjibu Gwajima kisomi,lakini unashabikia udikiteta wa kijinga.Tuko karne ya kulumbana kwa hoja,siyo tawala za kifalme.
 
akili yako haiko sawasawa,, unawaza leo na maisha yako ww bila kufikili kesho na wtt wako watakuwaje!!!kaa kimya mkuu,,,fikilia kabla ya kuandika huu upuuzi!!...gwajima alitaka majibu sahihi ya maswali yake kuhusu chanjo hajajibiwa mpk saiv,, au ww utujibu bas ili tumuhukum ngwj
 
'The same' what? Ina maana hata kamati inaamini na kuukbali upotoshaji wa Gwajima? La hasha!
Kwa Jerry. Gwajima alikuwa na hoja zake kama alivyokuwa Jerry. Kamati haijajibu kuonesha ukweli ni upi kwa wote wawili.

Ila umehoji kwa Jerry na kwa Gwajima umepitisha hukumu. Anyway may be naongea mambo magumu. Tuyaache tu!
 
Wewe mtoa mada uwezo wako wa kuchambua mambo mdogo sana.Tulitegemea utaishauri serikali imjibu Gwajima kisomi,lakini unashabikia udikiteta wa kijinga.Tuko karne ya kulumbana kwa hoja,siyo tawala za kifalme.
Gwajima aliposema kwamba mama Samia amehongwa hela na wazungu ili alete chanjo ya kuwaua watanzania na kwamba aliigiza kuchanja, Gwajima ametoa ushahidi wowote mbele ya kamati kuhusu huu upotoshaji? Usimtetee mjinga huyu na tapeli mkubwa wa kidini. Mungu anakuona.
 
Kwa Jerry. Gwajima alikuwa na hoja zake kama alivyokuwa Jerry. Kamati haijajibu kuonesha ukweli ni upi kwa wote wawili.

Ila umehoji kwa Jerry na kwa Gwajima umepitisha hukumu. Anyway may be naongea mambo magumu. Tuyaache tu!
Gwajima alisema hadharani kuwa mama Samia amehongwa fedha na mabeberu na kuwa aliigiza kuchoma chanjo. Ushahidi gani ametoa kutetea upotoshaji wake huu?
 
Kama una chuki binafsi na Gwajima sema.Vinginevyo unabashiri tu,kwani Gwajima alitaja jina au cheo cha mtu.
 
Pinga hoja kwa kutumia hoja, usimshambulie mto mada bila sababu za msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…