Uchambuzi: Adhabu kwa wabunge Silaa na Gwajima ni funzo kubwa kwa watanzania

Uchambuzi: Adhabu kwa wabunge Silaa na Gwajima ni funzo kubwa kwa watanzania

Kwema wakuu? Naingia kwenye hoja moja kwa moja bila kupindisha maneno. Leo tarehe 31/08/2021 bunge la JMT limetoa adhabu ndogo kwa wabunge wawili wa CCM – ndugu Jerry Silaa wa Ukonga na ndugu Josephat Gwajima wa Kawe. Bunge limetoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili ya Bunge.

Wengi tuliofuatilia maamuzi yale ya bunge tumebaki vinywa wazi kwani kuna mambo mengi yamefichwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Watanzania wamefichwa mambo mengi sana kufuatia adhabu hii ilyotolewa kwa wabunge hawa wa CCM.

Naomba nianze kuchambua adhabu iliyotolewa kwa Silaa na sababu zilizotolewa na kamati kuhusu adhabu husika. Hoja ya Silaa ilikuwa kwamba wabunge wanalipwa pesa nyingi sana ambazo hazikatwi kodi na hili hufanyika kwa makusudi ili wasilipe kodi stahiki kwa serikali kama wafanyakazi na watanzania wengine wanavyolipa.

Kwa bahati mbaya sana, Silaa amehukumiwa kwa kusema ‘uongo’ bila kamati kuonyesha ukweli ni upi. Kinachoonekana wazi ni kuwa kamati imeamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hawataki kusema ukweli kwa sababu wakisema ukweli wananchi watakuwa wakali kwani wananchi wanabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi na tozo, huku wabunge wakila bata. Na kwa masikitikko makubwa, pamoja na mishahara minene wanayolipwa kuna mbunge aliwahi kudiriki kusema kuwa mishahara yao ni midogo na kuwa walipwe kwa dola. Nchi hii haitakuja kuisha maajabu.

Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi

Kwa mujibu wa taarifa zilizowahi kutolewa na Mh Zitto Kabwe mwaka 2017 wakati akiwa mbunge wa Kigoma Mjini, mshahara wa mbunge ni Tsh 3.8 kwa mwezi, posho ya ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, posho ya kujikimu ni Tsh 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni Tsh 200,000 kwa siku. Bado kuna fedha kwa ajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo.

Kwa kuwa huu ulikuwa mshahara wa mwaka 2017 na kwa kuwa kila mwaka wabunge hujiongezea mishahara kimyakimya, kuna uwezekano mshahara wa mbunge kwa sasa upo juu sana kuliko tunavyofikiri.

Huu ndio ufafanuzi ambao ulipaswa kutolewa na kamati ya Bunge kwa umma wa watanzania ili kukata mzizi wa fitna. Lakini wameamua kukaa kimya ili wananchi wasijue jinsi wanavyokwepa kodi kwa kujilimbikizia posho za kukufuru huku wakijilipa kimshahara uchwara ambacho hukatwa kodi uchwara isiyotosha kuchangia chochote kwenye uchumi wa taifa.

Mimi nafikiri Silaa yupo sahihi sana anaposema kuwa wabunge hawalipi kodi. Kama kweli wabunge wa CCM wanataka kushiriki ulipaji kodi, hizo posho za kufuru wanazojilipa zihamishiwe kwenye mshahara ili zikatwe kodi. Sote tunafahamu kuwa posho huwa hazikatwi kodi. Ndio maana wameamua ku-divert mshahara kwenda kwenye posho ili wakwepe kodi. Hawa jamaa ni wahujumu uchumi wallah!

Kabla sijaenda mbali sana naomba nirejee kwenye suala la Gwajima na hoja nyingine zilizoibuka kutokana na kauli zake tata za kuwakataza watanzania kuchanjwa. Kukaangwa kwa Gwajima ni haki kabisa kwa makosa aliyofanya kuwapotosha wananchi kuhusu chanjo. Nasikitika tu amepewa adhabu ndogo sana licha ya kuwa kosa alilofanya ni zaidi ya uhujumu uchumi. Ni uuaji wa makusudi.

Je ni funzo gani tulilopata kutokana na adhabu hizi kwa wabunge wa CCM? Mosi, funzo kubwa ni kuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi uongozi wa mama Samia kwa sababu wanazozijua wao wenyewe (Ushahidi: Sikiliza clip hapo juu). Hawa ni wale masalia wa mwendazake waliojipa jina na MATAGA na kujifanya kuwa wao ni watanzania zaidi kuliko wengine. Dawa yao inachemka.

Pili, kuna baadhi ya watanzania aina ya Gwajima ambao wanamdharau mama Samia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Wanaoana eti hatoshi kuiongoza nchi. Kwa hiyo, wanajitahdi kuleta chokochoko na kumvuruga kusudi aache kujikita kuongoza nchi aanze kujishughulisha nao. Hii ni hujuma kubwa sana. Wabunge wengi waliochangia hoja kwenye klipu hapo juu, wamessikitsishwa mno na kitendo hiki cha baadhi ya watanzania wasioitakia mema nchi hii kufanya juhudi za kumkwamisha mama Samia. Hili halikubaliki hata kidogo.

Tatu, kitendo cha kamanda IGP Simon Sirro kugoma kumkamata Gwajima na kumfungulia mashtaka ya uhujumu uchumi kinaashiria kuwa kamanda Sirro yupo upande wa kundi linalomhujumu Rais Samia. Naomba mama Samia amfute kazi mara moja au amshauri ajiuzuru bila shuruti ili ampishe ateue IGP mwingine. Huwezi kuwa Amiri Jeshi Mkuu halafu kipande kimoja cha jeshi kikagoma kukutii ukabaki salama. Lolote laweza kutokea.

Nahitimisha kwa kusema adhabu hii aliyopewa Gwajima ni ndogo sana kwani suala lake limekuwa likifanyika kwa muda mrefu na kwa kurudiarudia. Ameonyesha dharau kubwa sana kwa rais wetu hasa pale alipomtuhumu kwamba alifanya chanjo ya maigizo na kwamba amehongwa na mabeberu ili kuleta chanjo ya kuwaua watanzania. Ilipaswa huyu bwana apewe adhabu kali zaidi.

Na akama Spika aliposhauri, naomba chama chake kiangalie uwezekana wa kumfuta uanachama ili liwe fundisho kwa wengine wasioheshimu mamlaka. Laiti kama mbunge wa upinzani ndiye anayefanya upotoshaji huu anaofanya Gwajima, nadhani angekuwa hata ameishauawa na watu wasioijulikana. Lakini kwa kuwa ni mbunge mwenzao ndio maana wamempa adhabu nyepesi.

Taarifa zaidi kuhusu sakata hili unaweza kulipata kwenye uzi huu hapa chini:

Ikiwa makato kwenye miamala ya simu, LUKU na mabenki hayatabadilika nini kifanyike?

Nawasilisha.​
Wewe umetumwa kuleta chuki zako binafsi dhidi ya Ask Gwajima sio....haya endelea kutunisha misuli ya nyama itapasuka bila huruma.
 
Wewe na hao wabunge hamna tofauti ni wale wale tu. Hebu na wewe thibitisha Gwajima alipokosea
Gwajima amekosea kuropoka kuwa mama Samia kapokea hongo kutoka kwa mabeberu kuingiza chanjo feki nchini ili kuwaua watanzania. Na pia kakosea kusema kwamba mama Samia aliigiza kuchanja kumbe hakuchanja. Wewe kwa uelewa wako haya sio makosa?
 
Kwema wakuu? Naingia kwenye hoja moja kwa moja bila kupindisha maneno. Leo tarehe 31/08/2021 bunge la JMT limetoa adhabu ndogo kwa wabunge wawili wa CCM – ndugu Jerry Silaa wa Ukonga na ndugu Josephat Gwajima wa Kawe. Bunge limetoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili ya Bunge.

Wengi tuliofuatilia maamuzi yale ya bunge tumebaki vinywa wazi kwani kuna mambo mengi yamefichwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Watanzania wamefichwa mambo mengi sana kufuatia adhabu hii ilyotolewa kwa wabunge hawa wa CCM.

Naomba nianze kuchambua adhabu iliyotolewa kwa Silaa na sababu zilizotolewa na kamati kuhusu adhabu husika. Hoja ya Silaa ilikuwa kwamba wabunge wanalipwa pesa nyingi sana ambazo hazikatwi kodi na hili hufanyika kwa makusudi ili wasilipe kodi stahiki kwa serikali kama wafanyakazi na watanzania wengine wanavyolipa.

Kwa bahati mbaya sana, Silaa amehukumiwa kwa kusema ‘uongo’ bila kamati kuonyesha ukweli ni upi. Kinachoonekana wazi ni kuwa kamati imeamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hawataki kusema ukweli kwa sababu wakisema ukweli wananchi watakuwa wakali kwani wananchi wanabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi na tozo, huku wabunge wakila bata. Na kwa masikitikko makubwa, pamoja na mishahara minene wanayolipwa kuna mbunge aliwahi kudiriki kusema kuwa mishahara yao ni midogo na kuwa walipwe kwa dola. Nchi hii haitakuja kuisha maajabu.

Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi

Kwa mujibu wa taarifa zilizowahi kutolewa na Mh Zitto Kabwe mwaka 2017 wakati akiwa mbunge wa Kigoma Mjini, mshahara wa mbunge ni Tsh 3.8 kwa mwezi, posho ya ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, posho ya kujikimu ni Tsh 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni Tsh 200,000 kwa siku. Bado kuna fedha kwa ajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo.

Kwa kuwa huu ulikuwa mshahara wa mwaka 2017 na kwa kuwa kila mwaka wabunge hujiongezea mishahara kimyakimya, kuna uwezekano mshahara wa mbunge kwa sasa upo juu sana kuliko tunavyofikiri.

Huu ndio ufafanuzi ambao ulipaswa kutolewa na kamati ya Bunge kwa umma wa watanzania ili kukata mzizi wa fitna. Lakini wameamua kukaa kimya ili wananchi wasijue jinsi wanavyokwepa kodi kwa kujilimbikizia posho za kukufuru huku wakijilipa kimshahara uchwara ambacho hukatwa kodi uchwara isiyotosha kuchangia chochote kwenye uchumi wa taifa.

Mimi nafikiri Silaa yupo sahihi sana anaposema kuwa wabunge hawalipi kodi. Kama kweli wabunge wa CCM wanataka kushiriki ulipaji kodi, hizo posho za kufuru wanazojilipa zihamishiwe kwenye mshahara ili zikatwe kodi. Sote tunafahamu kuwa posho huwa hazikatwi kodi. Ndio maana wameamua ku-divert mshahara kwenda kwenye posho ili wakwepe kodi. Hawa jamaa ni wahujumu uchumi wallah!

Kabla sijaenda mbali sana naomba nirejee kwenye suala la Gwajima na hoja nyingine zilizoibuka kutokana na kauli zake tata za kuwakataza watanzania kuchanjwa. Kukaangwa kwa Gwajima ni haki kabisa kwa makosa aliyofanya kuwapotosha wananchi kuhusu chanjo. Nasikitika tu amepewa adhabu ndogo sana licha ya kuwa kosa alilofanya ni zaidi ya uhujumu uchumi. Ni uuaji wa makusudi.

Je ni funzo gani tulilopata kutokana na adhabu hizi kwa wabunge wa CCM? Mosi, funzo kubwa ni kuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi uongozi wa mama Samia kwa sababu wanazozijua wao wenyewe (Ushahidi: Sikiliza clip hapo juu). Hawa ni wale masalia wa mwendazake waliojipa jina na MATAGA na kujifanya kuwa wao ni watanzania zaidi kuliko wengine. Dawa yao inachemka.

Pili, kuna baadhi ya watanzania aina ya Gwajima ambao wanamdharau mama Samia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Wanaoana eti hatoshi kuiongoza nchi. Kwa hiyo, wanajitahdi kuleta chokochoko na kumvuruga kusudi aache kujikita kuongoza nchi aanze kujishughulisha nao. Hii ni hujuma kubwa sana. Wabunge wengi waliochangia hoja kwenye klipu hapo juu, wamessikitsishwa mno na kitendo hiki cha baadhi ya watanzania wasioitakia mema nchi hii kufanya juhudi za kumkwamisha mama Samia. Hili halikubaliki hata kidogo.

Tatu, kitendo cha kamanda IGP Simon Sirro kugoma kumkamata Gwajima na kumfungulia mashtaka ya uhujumu uchumi kinaashiria kuwa kamanda Sirro yupo upande wa kundi linalomhujumu Rais Samia. Naomba mama Samia amfute kazi mara moja au amshauri ajiuzuru bila shuruti ili ampishe ateue IGP mwingine. Huwezi kuwa Amiri Jeshi Mkuu halafu kipande kimoja cha jeshi kikagoma kukutii ukabaki salama. Lolote laweza kutokea.

Nahitimisha kwa kusema adhabu hii aliyopewa Gwajima ni ndogo sana kwani suala lake limekuwa likifanyika kwa muda mrefu na kwa kurudiarudia. Ameonyesha dharau kubwa sana kwa rais wetu hasa pale alipomtuhumu kwamba alifanya chanjo ya maigizo na kwamba amehongwa na mabeberu ili kuleta chanjo ya kuwaua watanzania. Ilipaswa huyu bwana apewe adhabu kali zaidi.

Na akama Spika aliposhauri, naomba chama chake kiangalie uwezekana wa kumfuta uanachama ili liwe fundisho kwa wengine wasioheshimu mamlaka. Laiti kama mbunge wa upinzani ndiye anayefanya upotoshaji huu anaofanya Gwajima, nadhani angekuwa hata ameishauawa na watu wasioijulikana. Lakini kwa kuwa ni mbunge mwenzao ndio maana wamempa adhabu nyepesi.

Taarifa zaidi kuhusu sakata hili unaweza kulipata kwenye uzi huu hapa chini:

Ikiwa makato kwenye miamala ya simu, LUKU na mabenki hayatabadilika nini kifanyike?

Nawasilisha.​
Wambie waliokutuma wajibu hoja za Gwajim a waache blaablaa na kujipe dekeza kwa Raise wetu,
 
Wewe umetumwa kuleta chuki zako binafsi dhidi ya Ask Gwajima sio....haya endelea kutunisha misuli ya nyama itapasuka bila huruma.
Wewe ni nani hadi useme haya mataputapu mkuu? Mwacheni Gwajima avune alichopanda. Kama wewe ni mmoja misukule wake, nenda kanisani jumapili ijayo ukamlambe miguu tapeli mwenzako.
 
Wambie waliokutuma wajibu hoja za Gwajim a waache blaablaa na kujipe dekeza kwa Raise wetu,
Wewe Gwajima aliyekutuma mbona humtetei au unapobwabwaja hivi ndipo unamtetea?
 
Kwema wakuu? Naingia kwenye hoja moja kwa moja bila kupindisha maneno. Leo tarehe 31/08/2021 bunge la JMT limetoa adhabu ndogo kwa wabunge wawili wa CCM – ndugu Jerry Silaa wa Ukonga na ndugu Josephat Gwajima wa Kawe. Bunge limetoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili ya Bunge.

Wengi tuliofuatilia maamuzi yale ya bunge tumebaki vinywa wazi kwani kuna mambo mengi yamefichwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Watanzania wamefichwa mambo mengi sana kufuatia adhabu hii ilyotolewa kwa wabunge hawa wa CCM.

Naomba nianze kuchambua adhabu iliyotolewa kwa Silaa na sababu zilizotolewa na kamati kuhusu adhabu husika. Hoja ya Silaa ilikuwa kwamba wabunge wanalipwa pesa nyingi sana ambazo hazikatwi kodi na hili hufanyika kwa makusudi ili wasilipe kodi stahiki kwa serikali kama wafanyakazi na watanzania wengine wanavyolipa.

Kwa bahati mbaya sana, Silaa amehukumiwa kwa kusema ‘uongo’ bila kamati kuonyesha ukweli ni upi. Kinachoonekana wazi ni kuwa kamati imeamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hawataki kusema ukweli kwa sababu wakisema ukweli wananchi watakuwa wakali kwani wananchi wanabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi na tozo, huku wabunge wakila bata. Na kwa masikitikko makubwa, pamoja na mishahara minene wanayolipwa kuna mbunge aliwahi kudiriki kusema kuwa mishahara yao ni midogo na kuwa walipwe kwa dola. Nchi hii haitakuja kuisha maajabu.

Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi

Kwa mujibu wa taarifa zilizowahi kutolewa na Mh Zitto Kabwe mwaka 2017 wakati akiwa mbunge wa Kigoma Mjini, mshahara wa mbunge ni Tsh 3.8 kwa mwezi, posho ya ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, posho ya kujikimu ni Tsh 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni Tsh 200,000 kwa siku. Bado kuna fedha kwa ajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo.

Kwa kuwa huu ulikuwa mshahara wa mwaka 2017 na kwa kuwa kila mwaka wabunge hujiongezea mishahara kimyakimya, kuna uwezekano mshahara wa mbunge kwa sasa upo juu sana kuliko tunavyofikiri.

Huu ndio ufafanuzi ambao ulipaswa kutolewa na kamati ya Bunge kwa umma wa watanzania ili kukata mzizi wa fitna. Lakini wameamua kukaa kimya ili wananchi wasijue jinsi wanavyokwepa kodi kwa kujilimbikizia posho za kukufuru huku wakijilipa kimshahara uchwara ambacho hukatwa kodi uchwara isiyotosha kuchangia chochote kwenye uchumi wa taifa.

Mimi nafikiri Silaa yupo sahihi sana anaposema kuwa wabunge hawalipi kodi. Kama kweli wabunge wa CCM wanataka kushiriki ulipaji kodi, hizo posho za kufuru wanazojilipa zihamishiwe kwenye mshahara ili zikatwe kodi. Sote tunafahamu kuwa posho huwa hazikatwi kodi. Ndio maana wameamua ku-divert mshahara kwenda kwenye posho ili wakwepe kodi. Hawa jamaa ni wahujumu uchumi wallah!

Kabla sijaenda mbali sana naomba nirejee kwenye suala la Gwajima na hoja nyingine zilizoibuka kutokana na kauli zake tata za kuwakataza watanzania kuchanjwa. Kukaangwa kwa Gwajima ni haki kabisa kwa makosa aliyofanya kuwapotosha wananchi kuhusu chanjo. Nasikitika tu amepewa adhabu ndogo sana licha ya kuwa kosa alilofanya ni zaidi ya uhujumu uchumi. Ni uuaji wa makusudi.

Je ni funzo gani tulilopata kutokana na adhabu hizi kwa wabunge wa CCM? Mosi, funzo kubwa ni kuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi uongozi wa mama Samia kwa sababu wanazozijua wao wenyewe (Ushahidi: Sikiliza clip hapo juu). Hawa ni wale masalia wa mwendazake waliojipa jina na MATAGA na kujifanya kuwa wao ni watanzania zaidi kuliko wengine. Dawa yao inachemka.

Pili, kuna baadhi ya watanzania aina ya Gwajima ambao wanamdharau mama Samia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Wanaoana eti hatoshi kuiongoza nchi. Kwa hiyo, wanajitahdi kuleta chokochoko na kumvuruga kusudi aache kujikita kuongoza nchi aanze kujishughulisha nao. Hii ni hujuma kubwa sana. Wabunge wengi waliochangia hoja kwenye klipu hapo juu, wamessikitsishwa mno na kitendo hiki cha baadhi ya watanzania wasioitakia mema nchi hii kufanya juhudi za kumkwamisha mama Samia. Hili halikubaliki hata kidogo.

Tatu, kitendo cha kamanda IGP Simon Sirro kugoma kumkamata Gwajima na kumfungulia mashtaka ya uhujumu uchumi kinaashiria kuwa kamanda Sirro yupo upande wa kundi linalomhujumu Rais Samia. Naomba mama Samia amfute kazi mara moja au amshauri ajiuzuru bila shuruti ili ampishe ateue IGP mwingine. Huwezi kuwa Amiri Jeshi Mkuu halafu kipande kimoja cha jeshi kikagoma kukutii ukabaki salama. Lolote laweza kutokea.

Nahitimisha kwa kusema adhabu hii aliyopewa Gwajima ni ndogo sana kwani suala lake limekuwa likifanyika kwa muda mrefu na kwa kurudiarudia. Ameonyesha dharau kubwa sana kwa rais wetu hasa pale alipomtuhumu kwamba alifanya chanjo ya maigizo na kwamba amehongwa na mabeberu ili kuleta chanjo ya kuwaua watanzania. Ilipaswa huyu bwana apewe adhabu kali zaidi.

Na akama Spika aliposhauri, naomba chama chake kiangalie uwezekana wa kumfuta uanachama ili liwe fundisho kwa wengine wasioheshimu mamlaka. Laiti kama mbunge wa upinzani ndiye anayefanya upotoshaji huu anaofanya Gwajima, nadhani angekuwa hata ameishauawa na watu wasioijulikana. Lakini kwa kuwa ni mbunge mwenzao ndio maana wamempa adhabu nyepesi.

Taarifa zaidi kuhusu sakata hili unaweza kulipata kwenye uzi huu hapa chini:

Ikiwa makato kwenye miamala ya simu, LUKU na mabenki hayatabadilika nini kifanyike?

Nawasilisha.​

Issue ya Gwajima is no issue. Ujinga wa mtu hauondolewi kwa kutumia vyombo vya dola. Serikali itumie wataalamu wake kutoa kile inachoamini kuwa ndiyo elimu sahihi. Kila nchi iliyostaarabika inafanya hivyo, haitumii mabavu!

Bunge na Serikali wajifunze kustahimili mawazo kinzani . USA ingekuwa na approach ya kipuuzi kama yao, basi American conservative talk show hosts wote sasa hivi wangekuwa gerezani kwa misinformation and disinformation campaign wanayoiendesha kuhusu chanjo, ambayo imechangia wafuasi wengi sana wa Trump kukataa chanjo na matokeo yake ndio waliofurika ICU kwa COVID-19.
 
Hapo umekosea sana, Kwa mujibu wa sheria ya kodi, posho zinapaswa kukatwa kodi. Sema hizo posho za wabunge ndizo hazikatwi kodi.
Soma hii sec 7 ya income tax act 2008
7.-(1) An individual's income from an employment for a year of

income shall be the individual's gains or profits from the employment of

the individual for the year of income.



(2) Subject to the provisions of subsection (3), (4) and (5) in

calculating an individual's gains or profits from an employment for a year

of income the following payments made to or on behalf of the individual

by the employer or an associate of the employer during that year of income

shall be included:

(a) payments of wages, salary, payment in lieu of leave, fees,

commissions, bonuses, gratuity or any subsistence travelling

entertainment or other allowance received in respect of

employment or service rendered;


Kama kuna marekebisho yoyote hapa katikati, nakubali kukosolewa.
Nakubaliana na wewe. Kinachonishangaza sijui watanzania elimu yetu ni ya namna gani...mimi ni mfanyakazi mbali ya Basic Salary yangu kuna sitahiki zingine kama house rent allowance nk. vinaunganishwa na mshahara wangu na kukatwa kodi. Kwahiyo Mhe. Jerry Silaa ana hoja ya msingi kwamba zile posho wanazopata wabunge nje ya mshahara wao zijumuishwe na kukatwa kodi kama wafanyakazi wengine wa umma na binafsi. Jiulize, kama mbunge anapewa posho kwa ajili mishahara ya wasaidizi wake je, akishawalipa PAYE yao anaipeleka TRA au inakuwaje?

PAYE, short for Pay-As-Your-Earn, is a Tanzanian withholding tax applied on taxable incomes of applicable employees. Every employer in Tanzania is required, by law, to deduct the tax from an employee's taxable salaries or wages and submit such deductions to the Tanzania Revenue Authority

Ndio maana Basic Salary na sitahiki zote ni mapato kutoka kwa mwajiri wako ni lazima yakatwe kodi. Kinachonisikitisha sheria zipo lakini watanzania wengi hawajui hii PAYE inapatikaje, Pathetic. Hivyo basi kama hizo posho zingine za wabunge hazikatwi kodi basi ni wakati mwafaka kubadili sheria iliyopo na kuanza kukatwa kodi kama wafanyakazi wanavyokatwa posho za mafuta ya gari na posho ya kwa ajili ya pango (rent).
 
Kwema wakuu? Naingia kwenye hoja moja kwa moja bila kupindisha maneno. Leo tarehe 31/08/2021 bunge la JMT limetoa adhabu ndogo kwa wabunge wawili wa CCM – ndugu Jerry Silaa wa Ukonga na ndugu Josephat Gwajima wa Kawe. Bunge limetoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili ya Bunge.

Wengi tuliofuatilia maamuzi yale ya bunge tumebaki vinywa wazi kwani kuna mambo mengi yamefichwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Watanzania wamefichwa mambo mengi sana kufuatia adhabu hii ilyotolewa kwa wabunge hawa wa CCM.

Naomba nianze kuchambua adhabu iliyotolewa kwa Silaa na sababu zilizotolewa na kamati kuhusu adhabu husika. Hoja ya Silaa ilikuwa kwamba wabunge wanalipwa pesa nyingi sana ambazo hazikatwi kodi na hili hufanyika kwa makusudi ili wasilipe kodi stahiki kwa serikali kama wafanyakazi na watanzania wengine wanavyolipa.

Kwa bahati mbaya sana, Silaa amehukumiwa kwa kusema ‘uongo’ bila kamati kuonyesha ukweli ni upi. Kinachoonekana wazi ni kuwa kamati imeamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hawataki kusema ukweli kwa sababu wakisema ukweli wananchi watakuwa wakali kwani wananchi wanabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi na tozo, huku wabunge wakila bata. Na kwa masikitikko makubwa, pamoja na mishahara minene wanayolipwa kuna mbunge aliwahi kudiriki kusema kuwa mishahara yao ni midogo na kuwa walipwe kwa dola. Nchi hii haitakuja kuisha maajabu.

Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi

Kwa mujibu wa taarifa zilizowahi kutolewa na Mh Zitto Kabwe mwaka 2017 wakati akiwa mbunge wa Kigoma Mjini, mshahara wa mbunge ni Tsh 3.8 kwa mwezi, posho ya ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, posho ya kujikimu ni Tsh 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni Tsh 200,000 kwa siku. Bado kuna fedha kwa ajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo.

Kwa kuwa huu ulikuwa mshahara wa mwaka 2017 na kwa kuwa kila mwaka wabunge hujiongezea mishahara kimyakimya, kuna uwezekano mshahara wa mbunge kwa sasa upo juu sana kuliko tunavyofikiri.

Huu ndio ufafanuzi ambao ulipaswa kutolewa na kamati ya Bunge kwa umma wa watanzania ili kukata mzizi wa fitna. Lakini wameamua kukaa kimya ili wananchi wasijue jinsi wanavyokwepa kodi kwa kujilimbikizia posho za kukufuru huku wakijilipa kimshahara uchwara ambacho hukatwa kodi uchwara isiyotosha kuchangia chochote kwenye uchumi wa taifa.

Mimi nafikiri Silaa yupo sahihi sana anaposema kuwa wabunge hawalipi kodi. Kama kweli wabunge wa CCM wanataka kushiriki ulipaji kodi, hizo posho za kufuru wanazojilipa zihamishiwe kwenye mshahara ili zikatwe kodi. Sote tunafahamu kuwa posho huwa hazikatwi kodi. Ndio maana wameamua ku-divert mshahara kwenda kwenye posho ili wakwepe kodi. Hawa jamaa ni wahujumu uchumi wallah!

Kabla sijaenda mbali sana naomba nirejee kwenye suala la Gwajima na hoja nyingine zilizoibuka kutokana na kauli zake tata za kuwakataza watanzania kuchanjwa. Kukaangwa kwa Gwajima ni haki kabisa kwa makosa aliyofanya kuwapotosha wananchi kuhusu chanjo. Nasikitika tu amepewa adhabu ndogo sana licha ya kuwa kosa alilofanya ni zaidi ya uhujumu uchumi. Ni uuaji wa makusudi.

Je ni funzo gani tulilopata kutokana na adhabu hizi kwa wabunge wa CCM? Mosi, funzo kubwa ni kuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi uongozi wa mama Samia kwa sababu wanazozijua wao wenyewe (Ushahidi: Sikiliza clip hapo juu). Hawa ni wale masalia wa mwendazake waliojipa jina na MATAGA na kujifanya kuwa wao ni watanzania zaidi kuliko wengine. Dawa yao inachemka.

Pili, kuna baadhi ya watanzania aina ya Gwajima ambao wanamdharau mama Samia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Wanaoana eti hatoshi kuiongoza nchi. Kwa hiyo, wanajitahdi kuleta chokochoko na kumvuruga kusudi aache kujikita kuongoza nchi aanze kujishughulisha nao. Hii ni hujuma kubwa sana. Wabunge wengi waliochangia hoja kwenye klipu hapo juu, wamessikitsishwa mno na kitendo hiki cha baadhi ya watanzania wasioitakia mema nchi hii kufanya juhudi za kumkwamisha mama Samia. Hili halikubaliki hata kidogo.

Tatu, kitendo cha kamanda IGP Simon Sirro kugoma kumkamata Gwajima na kumfungulia mashtaka ya uhujumu uchumi kinaashiria kuwa kamanda Sirro yupo upande wa kundi linalomhujumu Rais Samia. Naomba mama Samia amfute kazi mara moja au amshauri ajiuzuru bila shuruti ili ampishe ateue IGP mwingine. Huwezi kuwa Amiri Jeshi Mkuu halafu kipande kimoja cha jeshi kikagoma kukutii ukabaki salama. Lolote laweza kutokea.

Nahitimisha kwa kusema adhabu hii aliyopewa Gwajima ni ndogo sana kwani suala lake limekuwa likifanyika kwa muda mrefu na kwa kurudiarudia. Ameonyesha dharau kubwa sana kwa rais wetu hasa pale alipomtuhumu kwamba alifanya chanjo ya maigizo na kwamba amehongwa na mabeberu ili kuleta chanjo ya kuwaua watanzania. Ilipaswa huyu bwana apewe adhabu kali zaidi.

Na akama Spika aliposhauri, naomba chama chake kiangalie uwezekana wa kumfuta uanachama ili liwe fundisho kwa wengine wasioheshimu mamlaka. Laiti kama mbunge wa upinzani ndiye anayefanya upotoshaji huu anaofanya Gwajima, nadhani angekuwa hata ameishauawa na watu wasioijulikana. Lakini kwa kuwa ni mbunge mwenzao ndio maana wamempa adhabu nyepesi.

Taarifa zaidi kuhusu sakata hili unaweza kulipata kwenye uzi huu hapa chini:

Ikiwa makato kwenye miamala ya simu, LUKU na mabenki hayatabadilika nini kifanyike?

Nawasilisha.​
Askofu katibua mapepo uliyonayo si kwa chuki hii ya wazi kwake....Angalia usijitwalie laana bila kujua!
 
Issue ya Gwajima is no issue. Ujinga wa mtu hauondolewi kwa kutumia vyombo vya dola. Serikali itumie wataalamu wake kutoa kile inachoamini kuwa ndiyo elimu sahihi. Kila nchi iliyostaarabika inafanya hivyo, haitumii mabavu!

Bunge na Serikali wajifunze kustahimili mawazo kinzani . USA ingekuwa na approach ya kipuuzi kama yao, basi American conservative talk show hosts wote sasa hivi wangekuwa gerezani kwa misinformation and disinformation campaign wanayoiendesha kuhusu chanjo, ambayo imechangia wafuasi wengi sana wa Trump kukataa chanjo na matokeo yake ndio waliofurika ICU kwa COVID-19.
Kwanini unaiita misinformation na disinformation? You are just a fun of demos ndiyo maana...Elewa kuwa wote hao wana tag of war kwakua conservative wanapoteza uhalali wa wealth and power yao kwakua wengi wao ni ndiyo founders of that country baada ya kukimbia Roman empire enzi hizo ilivyojipatia nguvu kwaku merge two powers i.e dini na ufalme....Kisha globalists ambao wengi wao ndiyo wamo ndani ya demos na sponsors wao hao multinationals corporates wanataka kuja na global reset ili kuondoa hizi divisions zinazowazuia ku consolidate wealth and power i.e independent countries....Sisi majani huku tunatikisika tu then here comes mmatumbi unatuaminisha eti ni mis and dis information seriously? Get your facts right...All of them are playing games over this world na hakika tunaburuzwa tu na hili gonjwa lao lililojazwa siasa na kufunikwa na kifuniko cha dini zisizo na macho ya kiroho
 
Kwema wakuu? Naingia kwenye hoja moja kwa moja bila kupindisha maneno. Leo tarehe 31/08/2021 bunge la JMT limetoa adhabu ndogo kwa wabunge wawili wa CCM – ndugu Jerry Silaa wa Ukonga na ndugu Josephat Gwajima wa Kawe. Bunge limetoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili ya Bunge.

Wengi tuliofuatilia maamuzi yale ya bunge tumebaki vinywa wazi kwani kuna mambo mengi yamefichwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Watanzania wamefichwa mambo mengi sana kufuatia adhabu hii ilyotolewa kwa wabunge hawa wa CCM.

Naomba nianze kuchambua adhabu iliyotolewa kwa Silaa na sababu zilizotolewa na kamati kuhusu adhabu husika. Hoja ya Silaa ilikuwa kwamba wabunge wanalipwa pesa nyingi sana ambazo hazikatwi kodi na hili hufanyika kwa makusudi ili wasilipe kodi stahiki kwa serikali kama wafanyakazi na watanzania wengine wanavyolipa.

Kwa bahati mbaya sana, Silaa amehukumiwa kwa kusema ‘uongo’ bila kamati kuonyesha ukweli ni upi. Kinachoonekana wazi ni kuwa kamati imeamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hawataki kusema ukweli kwa sababu wakisema ukweli wananchi watakuwa wakali kwani wananchi wanabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi na tozo, huku wabunge wakila bata. Na kwa masikitikko makubwa, pamoja na mishahara minene wanayolipwa kuna mbunge aliwahi kudiriki kusema kuwa mishahara yao ni midogo na kuwa walipwe kwa dola. Nchi hii haitakuja kuisha maajabu.

Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi

Kwa mujibu wa taarifa zilizowahi kutolewa na Mh Zitto Kabwe mwaka 2017 wakati akiwa mbunge wa Kigoma Mjini, mshahara wa mbunge ni Tsh 3.8 kwa mwezi, posho ya ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, posho ya kujikimu ni Tsh 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni Tsh 200,000 kwa siku. Bado kuna fedha kwa ajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo.

Kwa kuwa huu ulikuwa mshahara wa mwaka 2017 na kwa kuwa kila mwaka wabunge hujiongezea mishahara kimyakimya, kuna uwezekano mshahara wa mbunge kwa sasa upo juu sana kuliko tunavyofikiri.

Huu ndio ufafanuzi ambao ulipaswa kutolewa na kamati ya Bunge kwa umma wa watanzania ili kukata mzizi wa fitna. Lakini wameamua kukaa kimya ili wananchi wasijue jinsi wanavyokwepa kodi kwa kujilimbikizia posho za kukufuru huku wakijilipa kimshahara uchwara ambacho hukatwa kodi uchwara isiyotosha kuchangia chochote kwenye uchumi wa taifa.

Mimi nafikiri Silaa yupo sahihi sana anaposema kuwa wabunge hawalipi kodi. Kama kweli wabunge wa CCM wanataka kushiriki ulipaji kodi, hizo posho za kufuru wanazojilipa zihamishiwe kwenye mshahara ili zikatwe kodi. Sote tunafahamu kuwa posho huwa hazikatwi kodi. Ndio maana wameamua ku-divert mshahara kwenda kwenye posho ili wakwepe kodi. Hawa jamaa ni wahujumu uchumi wallah!

Kabla sijaenda mbali sana naomba nirejee kwenye suala la Gwajima na hoja nyingine zilizoibuka kutokana na kauli zake tata za kuwakataza watanzania kuchanjwa. Kukaangwa kwa Gwajima ni haki kabisa kwa makosa aliyofanya kuwapotosha wananchi kuhusu chanjo. Nasikitika tu amepewa adhabu ndogo sana licha ya kuwa kosa alilofanya ni zaidi ya uhujumu uchumi. Ni uuaji wa makusudi.

Je ni funzo gani tulilopata kutokana na adhabu hizi kwa wabunge wa CCM? Mosi, funzo kubwa ni kuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi uongozi wa mama Samia kwa sababu wanazozijua wao wenyewe (Ushahidi: Sikiliza clip hapo juu). Hawa ni wale masalia wa mwendazake waliojipa jina na MATAGA na kujifanya kuwa wao ni watanzania zaidi kuliko wengine. Dawa yao inachemka.

Pili, kuna baadhi ya watanzania aina ya Gwajima ambao wanamdharau mama Samia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Wanaoana eti hatoshi kuiongoza nchi. Kwa hiyo, wanajitahdi kuleta chokochoko na kumvuruga kusudi aache kujikita kuongoza nchi aanze kujishughulisha nao. Hii ni hujuma kubwa sana. Wabunge wengi waliochangia hoja kwenye klipu hapo juu, wamessikitsishwa mno na kitendo hiki cha baadhi ya watanzania wasioitakia mema nchi hii kufanya juhudi za kumkwamisha mama Samia. Hili halikubaliki hata kidogo.

Tatu, kitendo cha kamanda IGP Simon Sirro kugoma kumkamata Gwajima na kumfungulia mashtaka ya uhujumu uchumi kinaashiria kuwa kamanda Sirro yupo upande wa kundi linalomhujumu Rais Samia. Naomba mama Samia amfute kazi mara moja au amshauri ajiuzuru bila shuruti ili ampishe ateue IGP mwingine. Huwezi kuwa Amiri Jeshi Mkuu halafu kipande kimoja cha jeshi kikagoma kukutii ukabaki salama. Lolote laweza kutokea.

Nahitimisha kwa kusema adhabu hii aliyopewa Gwajima ni ndogo sana kwani suala lake limekuwa likifanyika kwa muda mrefu na kwa kurudiarudia. Ameonyesha dharau kubwa sana kwa rais wetu hasa pale alipomtuhumu kwamba alifanya chanjo ya maigizo na kwamba amehongwa na mabeberu ili kuleta chanjo ya kuwaua watanzania. Ilipaswa huyu bwana apewe adhabu kali zaidi.

Na akama Spika aliposhauri, naomba chama chake kiangalie uwezekana wa kumfuta uanachama ili liwe fundisho kwa wengine wasioheshimu mamlaka. Laiti kama mbunge wa upinzani ndiye anayefanya upotoshaji huu anaofanya Gwajima, nadhani angekuwa hata ameishauawa na watu wasioijulikana. Lakini kwa kuwa ni mbunge mwenzao ndio maana wamempa adhabu nyepesi.

Taarifa zaidi kuhusu sakata hili unaweza kulipata kwenye uzi huu hapa chini:

Ikiwa makato kwenye miamala ya simu, LUKU na mabenki hayatabadilika nini kifanyike?

Nawasilisha.​
Kwa mara nyingine tena, suala la Slaa na Gwajima limedhihirisha udhaifu mkubwa wa Bunge la Ndugai na uwezo mdogo sana wa Spika mwenyewe.
 
Gwajima is right on which grounds? Please can you substantiate your statement?
He is right we do not know for sure what constitute the chanjo na hakuna haja ya kuingiza watu wote yet only less than 4% ndiyo ambao hawaponi wanapo pata ugonjwa...
 
Ndo nini ulicho andika atuchanjwa nenda kamwambie aliyekutuma
Tuweke clip ya mahojiano kati ya kamati Na Gwajima ili tusikie . Je ulize kwa nini wanaogopa kuweka clip za mahojiona.
 
Umeongea vizuri juu ya slaa ila kwa gwaji Ndio umeteleza hata yeue yupo ok
Jambo la chanjo hadi sasa hata Mimi naliona Kama Bado Ni dillema tu nadhani hata dunia yote bado haina uhakika na chanjo hizo
Na ukitaka kuthibitisha hili fuatilia habari za chanjo na maambukizi mapya ya covid ulaya hapo ndipo utakapoona gwajima ana reason
 
Kwema wakuu? Naingia kwenye hoja moja kwa moja bila kupindisha maneno. Leo tarehe 31/08/2021 bunge la JMT limetoa adhabu ndogo kwa wabunge wawili wa CCM – ndugu Jerry Silaa wa Ukonga na ndugu Josephat Gwajima wa Kawe. Bunge limetoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili ya Bunge.

Wengi tuliofuatilia maamuzi yale ya bunge tumebaki vinywa wazi kwani kuna mambo mengi yamefichwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Watanzania wamefichwa mambo mengi sana kufuatia adhabu hii ilyotolewa kwa wabunge hawa wa CCM.

Naomba nianze kuchambua adhabu iliyotolewa kwa Silaa na sababu zilizotolewa na kamati kuhusu adhabu husika. Hoja ya Silaa ilikuwa kwamba wabunge wanalipwa pesa nyingi sana ambazo hazikatwi kodi na hili hufanyika kwa makusudi ili wasilipe kodi stahiki kwa serikali kama wafanyakazi na watanzania wengine wanavyolipa.

Kwa bahati mbaya sana, Silaa amehukumiwa kwa kusema ‘uongo’ bila kamati kuonyesha ukweli ni upi. Kinachoonekana wazi ni kuwa kamati imeamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hawataki kusema ukweli kwa sababu wakisema ukweli wananchi watakuwa wakali kwani wananchi wanabebeshwa mzigo mkubwa wa kodi na tozo, huku wabunge wakila bata. Na kwa masikitikko makubwa, pamoja na mishahara minene wanayolipwa kuna mbunge aliwahi kudiriki kusema kuwa mishahara yao ni midogo na kuwa walipwe kwa dola. Nchi hii haitakuja kuisha maajabu.

Wananchi wamjia juu mbunge anayesema posho, mishahara yao haitoishi

Kwa mujibu wa taarifa zilizowahi kutolewa na Mh Zitto Kabwe mwaka 2017 wakati akiwa mbunge wa Kigoma Mjini, mshahara wa mbunge ni Tsh 3.8 kwa mwezi, posho ya ubunge ni milioni 8 kwa mwezi, posho ya kujikimu ni Tsh 120,000 kwa siku, kukaa kikao cha bungeni posho ni Tsh 200,000 kwa siku. Bado kuna fedha kwa ajili ya mfuko wa jimbo ambayo ni milioni 46 lakini hii hutegemeana na jimbo lenyewe na mbali na hapo kuna posho ya jimbo.

Kwa kuwa huu ulikuwa mshahara wa mwaka 2017 na kwa kuwa kila mwaka wabunge hujiongezea mishahara kimyakimya, kuna uwezekano mshahara wa mbunge kwa sasa upo juu sana kuliko tunavyofikiri.

Huu ndio ufafanuzi ambao ulipaswa kutolewa na kamati ya Bunge kwa umma wa watanzania ili kukata mzizi wa fitna. Lakini wameamua kukaa kimya ili wananchi wasijue jinsi wanavyokwepa kodi kwa kujilimbikizia posho za kukufuru huku wakijilipa kimshahara uchwara ambacho hukatwa kodi uchwara isiyotosha kuchangia chochote kwenye uchumi wa taifa.

Mimi nafikiri Silaa yupo sahihi sana anaposema kuwa wabunge hawalipi kodi. Kama kweli wabunge wa CCM wanataka kushiriki ulipaji kodi, hizo posho za kufuru wanazojilipa zihamishiwe kwenye mshahara ili zikatwe kodi. Sote tunafahamu kuwa posho huwa hazikatwi kodi. Ndio maana wameamua ku-divert mshahara kwenda kwenye posho ili wakwepe kodi. Hawa jamaa ni wahujumu uchumi wallah!

Kabla sijaenda mbali sana naomba nirejee kwenye suala la Gwajima na hoja nyingine zilizoibuka kutokana na kauli zake tata za kuwakataza watanzania kuchanjwa. Kukaangwa kwa Gwajima ni haki kabisa kwa makosa aliyofanya kuwapotosha wananchi kuhusu chanjo. Nasikitika tu amepewa adhabu ndogo sana licha ya kuwa kosa alilofanya ni zaidi ya uhujumu uchumi. Ni uuaji wa makusudi.

Je ni funzo gani tulilopata kutokana na adhabu hizi kwa wabunge wa CCM? Mosi, funzo kubwa ni kuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi uongozi wa mama Samia kwa sababu wanazozijua wao wenyewe (Ushahidi: Sikiliza clip hapo juu). Hawa ni wale masalia wa mwendazake waliojipa jina na MATAGA na kujifanya kuwa wao ni watanzania zaidi kuliko wengine. Dawa yao inachemka.

Pili, kuna baadhi ya watanzania aina ya Gwajima ambao wanamdharau mama Samia kwa sababu tu yeye ni mwanamke. Wanaoana eti hatoshi kuiongoza nchi. Kwa hiyo, wanajitahdi kuleta chokochoko na kumvuruga kusudi aache kujikita kuongoza nchi aanze kujishughulisha nao. Hii ni hujuma kubwa sana. Wabunge wengi waliochangia hoja kwenye klipu hapo juu, wamessikitsishwa mno na kitendo hiki cha baadhi ya watanzania wasioitakia mema nchi hii kufanya juhudi za kumkwamisha mama Samia. Hili halikubaliki hata kidogo.

Tatu, kitendo cha kamanda IGP Simon Sirro kugoma kumkamata Gwajima na kumfungulia mashtaka ya uhujumu uchumi kinaashiria kuwa kamanda Sirro yupo upande wa kundi linalomhujumu Rais Samia. Naomba mama Samia amfute kazi mara moja au amshauri ajiuzuru bila shuruti ili ampishe ateue IGP mwingine. Huwezi kuwa Amiri Jeshi Mkuu halafu kipande kimoja cha jeshi kikagoma kukutii ukabaki salama. Lolote laweza kutokea.

Nahitimisha kwa kusema adhabu hii aliyopewa Gwajima ni ndogo sana kwani suala lake limekuwa likifanyika kwa muda mrefu na kwa kurudiarudia. Ameonyesha dharau kubwa sana kwa rais wetu hasa pale alipomtuhumu kwamba alifanya chanjo ya maigizo na kwamba amehongwa na mabeberu ili kuleta chanjo ya kuwaua watanzania. Ilipaswa huyu bwana apewe adhabu kali zaidi.

Na akama Spika aliposhauri, naomba chama chake kiangalie uwezekana wa kumfuta uanachama ili liwe fundisho kwa wengine wasioheshimu mamlaka. Laiti kama mbunge wa upinzani ndiye anayefanya upotoshaji huu anaofanya Gwajima, nadhani angekuwa hata ameishauawa na watu wasioijulikana. Lakini kwa kuwa ni mbunge mwenzao ndio maana wamempa adhabu nyepesi.

Taarifa zaidi kuhusu sakata hili unaweza kulipata kwenye uzi huu hapa chini:

Ikiwa makato kwenye miamala ya simu, LUKU na mabenki hayatabadilika nini kifanyike?

Nawasilisha.​
Adhabu zote kwa hao Wabunge hazina msingi kwani zinaficha ukweli.

Kuhusu Slaa, uchambuzi wako ni sahihi. Bunge lilipaswa kusema ukweli kuhusu mapato ya Mbunge (mshahara, posho, nk), ambayo hata Naibu Spika alijikanyaga kuyaelezea ITV, kipindi cha dakika 45.

Kama ulivyolitaka Bunge kueleza usahihi wa mapato ya Mbunge, vivyo hivyo lingeeleza ukweli kuhusu ufanisi na usalama wa chanjo kwa takwimu. Na suala la chanjo linaendelea kujadiliwa duniani kote.
 
tell me about ukweli unaousemea hapa. na evidence zozote kama zipo
This is one of the evidences so far available.


Na huu hapa ni kwamba "natural immunity" ni kinga dhabiti dhidi ya "variants" zote za kirusi cha korona
Screenshot_20210831-122904_Chrome.jpg
 
Kwanini unaiita misinformation na disinformation? You are just a fun of demos ndiyo maana...Elewa kuwa wote hao wana tag of war kwakua conservative wanapoteza uhalali wa wealth and power yao kwakua wengi wao ni ndiyo founders of that country baada ya kukimbia Roman empire enzi hizo ilivyojipatia nguvu kwaku merge two powers i.e dini na ufalme....Kisha globalists ambao wengi wao ndiyo wamo ndani ya demos na sponsors wao hao multinationals corporates wanataka kuja na global reset ili kuondoa hizi divisions zinazowazuia ku consolidate wealth and power i.e independent countries....Sisi majani huku tunatikisika tu then here comes mmatumbi unatuaminisha eti ni mis and dis information seriously? Get your facts right...All of them are playing games over this world na hakika tunaburuzwa tu na hili gonjwa lao lililojazwa siasa na kufunikwa na kifuniko cha dini zisizo na macho ya kiroho

Ukisema kitu ambacho sio kweli (wewe ukidhani ni kweli) ni misinformation na ukifanya misinformation ambayo unajua ni misinformation ni disinformation (i.e., willful misinformation)!

Vipo vitu vingi ambavyo conservative talk show hosts wanavisema ambavyo ni uongo na wakati mwingine hata wao wenyewe wanajua ni uongo. Kwa mfano, kusema kwamba mtu aliyechanjwa akiweka kipande cha chuma kwenye sehemu ambayo alichomwa ile sindano ya chanjo, kile kipande kinanaswa kama vile vipande vya chuma vinaswavyo na sumaku, sio kweli.
 
Gwaji boy anapaswa aketi chini a recall yaliyo wahi kuwa kuta wenzie walipo jifanya wao ni zaidi ya serikal ni kitu gan kiliwakuta ..mfano ktk awamu ya tano pengo alikutana na shubiri akanyoosha mikono juu.....

Lkn pia Lni muhimu kujiuliza Je.ni kweli Gwajima alikuwa na intention ya kuwa mwanasiasa ? Usikute ali pewa tu msukumo na mtu mmoja huko nyuma ?
 
Yaani kuikosoa serikali ni kumdharau mama? Mbona tunawekana kwenye kona namna hii? Kama hakutaka kukosolewa kwa nini alikuabali kuwa raisi?!
Hiyo dhana ya mataga sijui masalio hiyo ni nadharia tu ya kulea baadhi ya watu.
Zamu yenu ya maamuzi mmemaliza sasa subirini zamu ya maamuzi ya Mungu na wananchi.
Kwanza naona kama mnajichanaganya tu. Nishachoka na tozo zenu na hamlipi kodi, nchi imekua yenu mnakula mema ya nchi na hamataki watu waseme. Kwanza mshachelewa na hatuchanji.
Wazanzibar wameambiwa hakuna kwenda kuhiji mpaka wachanje upya. Chanjo waliochanjwa awali haitambuliki huko waendako
 
Chanjo,chanjo,chanjo! Taifa mnajazana kwa maelfu bila hata mask, and no social distance.
Kuna kitu hakiko sawa mahali, Gwaji yupo sawa.
 
Back
Top Bottom