Uchambuzi: Bomba la mafuta ya wizi Ungindoni, Kigamboni

Ukinipa nusu yake tu sihangaiki tena nakula bata[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haya ndio mawazo ya wengi
 
Nasubiri epsode 2πŸ˜ƒ
 
Kwani hawafanyagi oil reconcilliation huenda ata watu wa bandari wanajua..coz mafuta yanayoshushwa ndiyo yanapaswa kufika kwenye bohari...sasa huu ujinga unatokeaje?
 
Ukipiga hesabu tanker 10 za lita 10,000 akiuza lita kwa buku anaingizamilioni mia moja kwa siku mkuu sio milioni kumi
 
DC alikuwa na haraka ya kuripoti ukitilia maanani uteuzi wa Ma DC ndio unafuata.Alitaka apate point ndio maana unaona ni kama amekurupuka hivi na kuifanya taarifa nzima ionekane kama haikuandaliwa vyema. Au hawana uhakika.
 
Siyo kuwekeza utamuuzia nani mtaani unakuta walisha burn πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani hawafanyagi oil reconcilliation huenda ata watu wa bandari wanajua..coz mafuta yanayoshushwa ndiyo yanaoswa kufika kwenye bohari...sasa huu ujinga unatokeaje?
Hizi connection zina insiders haiwezekeni kitu sensitive kama bomba hilo la mafuta likose leakage sensors au moisture sensors

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruth Msafiri kafika yard nyeupe, au ndio ilikuwa kwenda tu kukuonyesha kwa Mama baada ya kushiba ili PDF ijayo asomeke

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
kama kweli alikuwa serious basi tunataka kuona mwisho wa sakata hili.
na pia tunataka kuona wahusika wote ktk sakata hili wanakamatwa, hatutegemei kuona wanakamatwa walinzi tu halafu wahusika wanatokomea.
 
Kimyakimya sasa.. Changamoto mtaji
Mtaji sio tatizo kabisa, ongea na wauza mafuta ya jumla wao Wana hela na vifaa na utaalamu, wewe tafuta nguvu kazi iliyo tayari kujitoa akili na usiri. Usisahau malipo yao ni cash ukiwarusha ujue imekula kwako.

Pia hakikisha polisi wanaingia kwenye payroll kuanzia RPC na wasaidizi wake pamoja na kukaa vizuri na Mwenyekiti wa mtaa na kusaidia CCM hata kujenga ofisi na michango mbalimbali ya chama.

Muhimu sana usisahau kusaidia ujenzi wa misikiti na makanisa ikiwemo ujenzi wa madrasa na ujenzi wa miundombinu ya maji ili vifaa vyako visijulikane vinatumika kufanya nini.

Toa misaada ya madawati, vitabu vya shule za primary, anzisha ligi ya mpira, usiajiri mtu mwenye asili ya Asia kabisa jitahidi kuweka mzungu aonekane mwekezaji watu wa Asia wanajulikana ni magumashi kuanzia wahindi Hadi wachina.

Toa misaada kwenye vituo vya watoto yatima ikiwemo ufadhili wa watoto kadhaa kwa kuwalipia ada na mahitaji yao ya shule.

Fungua kampuni ya kuchimba visima na ujenzi wa mabomba. Pata vibali vyote ili wasikusumbue.

Hakikisha kwenye board of directors anakuwepo mchungaji au sheikh na mstaafu wa serikalini ambaye alikuwa na cheo cha juu.

Haya yote hayamalizi milioni 400, Ila faida yake you will thank me later πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Akili kubwa[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji736]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichonishangaza ile habari haijapewa uzito mkubwa sana katika media kubwa, ukisikia uhujumu uchumi ndio ule sasa,

Kingine kuhusu Mh Dc kutojua vifaa vile sio kosa lake, sio fani yake na anaweza kusahau
 
Kilichonishangaza ile habari haijapewa uzito mkubwa sana katika media kubwa, ukisikia uhujumu uchumi ndio ule sasa,

Kingine kuhusu Mh Dc kutojua vifaa vile sio kosa lake, sio fani yake na anaweza kusahau
Kaka kuna kitu kinaitwa summary meeting/ briefing kabla kiongozi hajaenda eneo la tukio kwakuwa huko atakutana na vyombo vya habari na anaweza kuulizwa maswali.. Hivyo hizo meeting naye huwa huru kuuliza ili kupata uelewa wa jambo husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wezi ni hao hao serikali amini nakwambia, hapo wanaondoana wezi wa awamu ya 5 wanaanza wa awamu ya 6. Ni hiyo hiyo serikali nakwambia. Ukitaka kujua kuibia serikali ni ngumu anza ww mipango ya kuiba tu lazima utakamatwa mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…