Uchambuzi: Bomba la mafuta ya wizi Ungindoni, Kigamboni

ulivyoandika ..JE UNAKOSOA???? UNASIFIA?? UNAMIND HUKUWA WEWE AU??????
 
MKUUU UNAKUMBUKA WALIKAMATWA HUKO NYUMA ULISIKIA ALIEENDA NDANI
HATA HUYO MUROO YUKO MJINI ANAKULA BATA NA KILICHOBAKIA
HATA HILI LITAPITA HAHAHAA HA
STYTUNED
HII CHANEL M NDEFU SANA MKUU UNAWEZA TINGISHA....
 
MKUUU UNAKUMBUKA WALIKAMATWA HUKO NYUMA ULISIKIA ALIEENDA NDANI
HATA HUYO MUROO YUKO MJINI ANAKULA BATA NA KILICHOBAKIA
HATA HILI LITAPITA HAHAHAA HA
STYTUNED
HII CHANEL M NDEFU SANA MKUU UNAWEZA TINGISHA
 
MAISHA bora kwa kila mtanzania
Fursa sawa kwa WOTE
Ukizikumbuka hizo piga DILI mpwaaa
Maishahapahapa r
 
Mkuu nimekuogopa[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Bible IKO wazi
utakula mema ya NCHI aijaandika mema ya mbingu
so relax TU mkuu mengine n maandiko yanatimia

utakula kwa jasho sio mkojo
haya n maandiko. ...UMENIKUMBUSHA. MZEE MMOJA nilikuwa nae OFISI MOJA ikitokea channel ya HELA ANADAI Nina MIAKA 20 siwezi haribu MIAKA Yangu tukamwomba tuliaaaa mkuu tumalizane

MH alipoingia WAKAONDOKA wotee waliofikisha 55 Babu anafikiria kustaafu na 60..alipoletewa barua ya kuagana AKAPATA pressure alipopona afwatilie mafao yake HAHAHAAAAAA toka 2014 awajapeleka nssf Babu tukamzika mapema VIJANA wanaendelea kuagiza Dompo............
#fursasawakwawote
 
MH alipoingia WAKAONDOKA wotee waliofikisha 55 Babu anafikiria kustaafu na 60..alipoletewa barua ya kuagana AKAPATA pressure alipopona afwatilie mafao yake HAHAHAAAAAA toka 2014 awajapeleka nssf Babu tukamzika mapema VIJANA wanaendelea kuagiza Dompo............[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
#fursasawakwawote
 
kama magu walimpiga basi bimkubwa watamweka kwenye chupa ya chai kabisa.

haya mambo sio ya kushabikia bali kusikitika sana.
ajabu kuna wababa akiwepo mleta mada,hii ni habari njema kwao.
 
Mkuu unaota ,unakula ,unalala wewe ni awamu ya tano tu,sema ulichokosewa au ulichokikosa, sidhani kama itakusaidia sana kila siku kujadili na kulaumu awamu ya tano,wewe si ulikuwepo ulifanya nini baada ya kuona hayo mapungufu na mchango wako ni upi, kila siku unabwata tu awamu ya tano eh awamu ya tano.
 
Kama hujaelewa mada usione aibu kuomba kueleweshwa na kuelimishwa ama la unapiga chini na kupita kimya... Itakusaidia sana
 
Mkuu Mshana Jr, issue hiyo inafahamika kwa miaka mingi. Hiyo syndicate wana mpaka ratiba ya tankers zinazoingia bandarini. Rudi nyuma utagundua kulikuwa na mgogoro pale bandarini kuhusu matumizi ya flow meters. Ni swali fikirishi sana kuona inakuaje miundo mbinu ya kisasa namna ile inajengwa bila kugundulika na vyombo vya ulinzi na usalama! Mitambo ile hujengi kwa miezi bali ni miaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…