UCHAMBUZI: Hoja za NECTA kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora hazina mantiki kwa 100%

Ni upuuzi tuu usio na meingi
 
Tusiingize chuki za kijinga kwenye serikali ya wananchi
Ni jambo la aibu serikali kuwa na chuki na shule ilizozisajili zinazofanya vizuri
Hizi chuki za kijinga ndo zilikuwepo kwenye awamu Fulani kwenye sekta binafs tuzikatae
Akili ndogo sana hiyo uliyotumia hapo.

Serikali ina uwezo wote na mamalaka ya kufanya lolote, so kutolewa tamko lile nyie wenye skuli mnazodhani ni bora kuliko nyingine msidhani ni chuki.

Kataa roho hiyo inayokwambia kila jambo linaloletwa na serikali lenye kuleta mabadiriko ni chuki, hiyo ni roho ya ibilisi kijana wangu!.
 
Mkuu wangu, kwa hii hoja nimekupata vizuri sana. Kama kweli NECTA wanafahamu mazingira hayafanani basi watunge mitihani miwili.....mmoja wa mazingira mazuri na mmoja wa mazingira mabaya.
 
Matokeo yamekuvuruga, UMUGHAKA anahusikaje huku πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…
 
Kwa nini shule bora zipatikane kwenye majiji na ile mikoa yenye ushawishi ina maana sehemu zingine hazistahili kuuonja huo utamu wa ubora?
 
Wapo sahihi. Watoto wanatoka mazingira tofauti. Wote hao wanapambania mtihan mmoja. Wewe mwingine unasa huku una njaa mazingira magumu wemzako wanasoma na sosej zinaozea kwenye ma lunch box kwa kukosa hewa maana kachemshiwa nyumban na kapewa na elfu kumi ya kula shule.
 
Bado hujajadili hoja hapo juu na wala hujajibu hoja. Uko nje ya mada.

Kama mazingira ya kielimu ni tofauti, kwanini NECTA watunge mtihani mmoja kuwapima wote?
Kwan utaratibu wa kutangaza umeanza lini? Upo kwnye katiba? Em tuamlngalie matokeo ya kwanza baada yabuhuru .
 
Sababu za kumtoa Mbobezi Dr. Charles Msonde kama nahisi zimepatikana!
 
Mnajiuliza maswali ya hoovyooo!
 
Mkuu una hoja.
 
Kwani Kuna kitu kinabadilika?? Maana km shule yako imefelisha imefelisha tu!!! Hakuna kipya hapo!!!
Wale private wakifaulu wamefaulu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…