Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sipo sahihi kwa mtazamo wako ..ila tambua haijalishi kwa kiasi gani lakini watu wanatokea mazingira tofauti kama Wana elimu nzuri zinazotolewa huko ni kwamba sio kila mtoto wa kitanzania anaweza kumudu kimantiki ya uchumi ... Serikali yetu haswa na umaskini wa nchi yetu Haina kiwango cha juu cha elimu haswa miundombinu.Wewe kwa akili yako umeona ni sawa aanze na kuondoa ushindani wa ubora wa elimu na kuficha takwimu?
Badala ya kuanza na kuboresha mazingira kwanza
Usiunge tu mkono sio kila kiongozi anakuwa sahihi
Angalia hoja ivi then
1. Shule za private Zinachagua wale vipanga kupigia interview je serikali ifanye ivyo na hao wataofeli kwamba wamedisqualify kusoma unaona itakuwa sawa? Serikali inachukua wote wasome maana ni huduma sio biashara.
2.Uchumi(Ada) hata wwe sijajua uchumi wako ila hakuna asiyependa mwanae asome feza ila hali ya uchumi hairuhusu hata boarding wanakula vizuri yaani Maisha safi vocation za kumwaga ...huku st kayumba hamna cha maana labda muenda mapango ya Amboni.
3.serikali yenyewe ilishachagua shule za vipaji mfano Tabora ,ilboru wale weny ufaulu mkubwa kutoka darasa la Saba wanapelekwa huko na efforts zilizopo katika shule izo si za mchezo ,je hao wengine huoni kuwekwa shule za kata ni wengi wao ni kuzidi kuwekewa mazingira ya kupata zero.
4.Niambia tajiri gani anajiamini mwanae ana akili akampeleka kusoma shule za kata ?