UCHAMBUZI: Hoja za NECTA kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora hazina mantiki kwa 100%

UCHAMBUZI: Hoja za NECTA kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora hazina mantiki kwa 100%

Mkenda ni smart na izo hoja ulizoweka anaweza pangua zote hata Mimi binafsi naweza kuzipangua.

Unajua umafia wa kweny biashara iwe bidhaa au elimu? Unajua izo shule wanafunzi wanalipa shilling ngapi then uje kufananisha na elimu bure? Mkenda na wenzie michezo yote wanaijui wapo kweny game kitambo hawajai kurupuka sio rahisi.

Mazingira ya izo shule na st kayumba unayajua.

Nakupa home work [emoji117] Kaangali motisha ya walimu wa izo shule kabla ya wanafunzi then uje hapa kuleta jibu.

Kwa nini walimu wa st kayumba hawapati motisha?
Mazingira ya kayumba kwa nini siyo mazuri?
Li v eight limoja 600m/=
 
NECTA walitaka shule binafsi zijitangaze vipi ili kupata wanafunzi wengi kama sio kutumia ubora wa matokeo ya ufaulu wa mitihani ya NECTA?

NECTA inaogopa shule kushindana katika kutoa elimu bora?

NECTA haiamini matokeo ya mitihani yao kama kipimo muhimu na sahihi cha kuzipima shule katika kutoa elimu bora?
Ccm imesha kunya akili wamebakisha kinyesi vichwani
 
Mkenda ni smart na izo hoja ulizoweka anaweza pangua zote hata Mimi binafsi naweza kuzipangua.

Unajua umafia wa kweny biashara iwe bidhaa au elimu? Unajua izo shule wanafunzi wanalipa shilling ngapi then uje kufananisha na elimu bure? Mkenda na wenzie michezo yote wanaijui wapo kweny game kitambo hawajai kurupuka sio rahisi.

Mazingira ya izo shule na st kayumba unayajua.

Nakupa home work [emoji117] Kaangali motisha ya walimu wa izo shule kabla ya wanafunzi then uje hapa kuleta jibu.
Motisha huwa

Somo lako likiongoza Tanzania unapewa 1mil

Kila A unapewa 50,000

Sasa kwanini Mwalimu asiibe mitihani?
 
Usije kukuta kuna uhusiano na matokeo ya shule za kule Zanzibar, kwa hiyo ukute wanaogopa kumkeresha Madam. Usije kukuta madogo wametaga kichizi na miswaki ya kufa mtu. Sitaki kugusia kule Ruangwa na Kigoma kwa Mpango.

Lakini angalizo ni kwamba mficha maradhi ........
 
Niswala la Mdatuuu,

Ngoja tu uone matokeo ya miaka miwili ijayo hali itakavyo kua mbaya kwasababu ya kukosekana ushindani.

WATA RUDISHA MFUMO ULEULE WENYEWE TUUU
 
Ni sahihi ,duniani kote hakuna mitihani tofauti kwa ngazi sawa ya kidato ila kulinganisha shule inayochu
Dunia ipi hiyo yenye mitihani yenye kufanana kwenye ngazi moja?
Kama NECTA wanakiri kuwa mazingira ya utoaji wa elimu hapa Tanzania hayafanani, nini mantiki ya kuwatungia mtihani unaofanana?
 
Mvaa Kobaz kawekwa pale kwa mikakati maaalum. Yaaan Mekkha akae kusoma shule za Vatican zilizojazana top ten?
Halafu baadae Sheikh akae kusoma shule za Istiqama 10 zilizopo mkiani[emoji1787][emoji1787] mnajisumbua nyie.

Sawa kabisa, naunga mkono hoja!
 
Eeh!! Swala ni watu wanaondaliwa katika mazingira tofauti na kuja kufanya mtihani mmoja sio sawa.

Mkenda huwezi kumlaumu kwani yeye ndo hawezi kufanya reforms za haraka katika elimu ni taratibu kaanza na hilo .
Lakini Kuna ubaya Gani angesema top 10 ya serikali na top 10 za private naona ingekua fair zaidi kuliko kupotezea mazima.
 
Ushahdi wa kufanya biashara upo. Siku hizi wanalazimisha watoto wa madarasa ya mitihani str 4 na STD 7 kukaa boarding kwa kivuli Cha kujiandaa na mitihani. Huu no utapeli, MTOTO anaanzaje masomo saa 12 asbh?
 
Hapa wanafichiwa siri kobaz, maana ufaulu wao huwa unakuwa hafifu........kutangaza wanafunzi bora na shule bora ni motivation kwa wanafunzi, shule na walimu kuendelea kufanya jitihada ili waendelee kuwa bora zaidi. Tena mbali ya kutangazwa kuwa bora wanatakiwa wapewe motisha zaidi ikiwemo wanafunzi bora kupewa ufadhili wa masomo zaidi na shule na walimu bora kupewa motisha kama samami, vifaa vya ujenzi, vyombo vya usafiri nk. Hizo hoja alizotoa za kusitisha kutangaza ubora hazina mashiko na ni za kipuuzi....hopeless!!
 
Kama huwezi kuziweka shule zote sawa katika upangaji ubora, ni vipi uzitungie mtihani mmoja, usahishe na kuzipa alama katika viwango sawa?
Hii point ya Mtihani mmoja umeishikilia Bango sana. Washauri pia hao unawatetea wapokee wanafunzi direct kutoka Wizara ya Elimu/ Tamisemi bila kuwachuja kwa level wanayotaka wao.
 
Wangetengeza clusters kama yalivuo mabasi ya luxury, semiluxury na ordinary...matokeo yawe pia kwenye groups, shule Bora za serikali, shule Bora za private kulingana na grading zake n.k..cha msingi hizo clusters zibase kwenye extras na siyo basics needs kwenye elimu
 
Back
Top Bottom