UCHAMBUZI: Hoja za NECTA kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora hazina mantiki kwa 100%

UCHAMBUZI: Hoja za NECTA kufuta utaratibu wa kutangaza shule bora na wanafunzi bora hazina mantiki kwa 100%

Siku ya leo, baraza la taifa la mitihani nchini Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne na kufuta utaratibu wa muda mrefu wa kutoa orodha na mtiririko wa ubora wa shule kulingana na kiwango cha ufaulu na pia limefuta utaratibu wa kutangaza wanafunzi bora wa mitihani hiyo. NECTA imetoa sababu kuu mbili za wao kufanya hivyo, ambazo ni;
-Kutangaza shule bora ni kutangaza biashara kwa shule hizo.

-Hakuna usawa baina ya shule moja na nyingine katika mazingira ya utoaji elimu hivyo hawapaswi kushindanishwa.

Kwa kuwa JF ni Kisima cha maarifa na uchambuzi huru, Mimi binafsi hapa hapa nitazipinga hoja zote hizo mbili kwa kuchambua kwa kina hoja kwa hoja.

1. Hoja ya kutangaza biashara.
Kwanza kabisa hoja hii imekaa kiupande mmoja, ni hoja ya kibaguzi kwa 100% na kuumiza wasiohusika kwa 100%. It is a double standard decision. Sababu za kibiashara zimewalenga wamiliki wa shule binafsi (zimewabagua) na hapo hapo zinazinyima fursa shule za serikali pasipo sababu (zime wahukumu pasipo kuhusika). Pili ni hoja ya nusu nusu mnoo, kwa kuwa NECTA hiyo hiyo ndio imekuwa ikitoa hadharani matokeo yote ya shule moja moja yenye kuakisi ubora wa shule husika, hata kama NECTA haitaweka mtiririko rasmi wa ubora bado mtu yoyote makini (hata asiye makini) anaweza kuchambua na kuonyesha zipi ni shule kumi bora zaidi kulingana na mtiririko wa kimatokeo ulivyo. Na katika hili, mtu au taasisi tofauti (vikiwemo vyombo vya habari) vinaweza kuja na uchambuzi wenye kukinzana na kuzaa upotoshaji. Kifupi tu, NECTA imejivua jukumu lake na sasa inakwenda kuruhusu mtu au taasisi yoyote kujitangazia ubora wake kimatokeo, hata kama ni kwa upotoshaji. Na tutegemee matangazo ya kibiashara (yenye chembe chembe za upotoshaji) kwa kwa kutumia matokeo ya NECTA yakichipuka na kuongezeka maradufu. Mwisho katika hili, NECTA haipaswi kukwepa kuteketeleza majukumu yake, kisa tu inaogopa kivuli cha kuonekana inatangazia biashara shule bora. Vipi kama shule hizo 10 bora ningekuwa ni shule za serikali tu?

2. Hoja ya mazingira yasiyolingana katika utoaji elimu hapa nchini.
Nadhani huenda hii ni hoja ya kipumbavu kupita maelezo kuwahi kutolewa na NECTA. Kwanza kabisa kuweka hoja sawa, sote yanapaswa kufahamu kuwa, NECTA haiwajibiki popote katika kutengeneza, kuboresha au kuyapima mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania, hivyo hawapaswi kuyasemea chochote mazingira hayo maana sio jukumu lao.

Pili NECTA wanawajibika kuandaa, kusimamia, kusahihisha na kutoa matokeo ya mitihani. Kama NECTA wanaona na kuamini kuwa mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania hayako sawa baina shule na shule na yanaathiri matokeo yao, ni kwanini waandae mitihani mmoja kwa wote au usahihishaji na utoaji wa alama za ufaulu uwe sawa?
Kwanini suala la utofauti wa mazingira baina ya shule moja na nyingine liwe ni hoja wakati wa kutangaza ubora wa shule tu, lakini isiwe ni hoja ya msingi wakati wa kutunga mitihani, kusahihisha na kuweka alama za ufaulu?
Naunga mkono hoja yako. Kama wanaona uwanja hauko Sawa basi watenge makundi 2. Kuwe na orodha ya shule za serikali na ya shule binafsi.
 
Huu uamuzi wa hovyo kwa namna fulani utapunguza morali miongoni mwa walimu na shule zetu, hawa jamaa simply wanataka iwe business as usual, mkifaulu wengi mtajua wenyewe, na mkifeli wote mtajua wenyewe, hawajui maana ya motisha kabisa.

Huu uamuzi kwa upande mwingine naona utaziathiri zaidi zile shule zinazofanya vibaya, kwani sasa matokeo yao mabovu yatakuwa siri, walimu hawataona aibu shule zao kufelisha wengi, wakuu wa wilaya na mikoa hawatawajibika, wala hapatakuwepo na jitihada zozote za kubadilisha hali.
Unachokiongea ni sahihi kabisa.
 
Mvaa Kobaz kawekwa pale kwa mikakati maaalum. Yaaan Mekkha akae kusoma shule za Vatican zilizojazana top ten?
Halafu baadae Sheikh akae kusoma shule za Istiqama 10 zilizopo mkiani🤣🤣 mnajisumbua nyie.
Hii ni kauli ya hovyo na ya kipumbavu kupata tolewa week hii. Sidhani kama kuna Wakristo wenye kufikiri kipumbavu namna hii. Mimi nina marafiki Wakristo wengi wana akili hawawezi andika upumbavu kama huu.
 
Eeh!! Swala ni watu wanaondaliwa katika mazingira tofauti na kuja kufanya mtihani mmoja sio sawa.

Mkenda huwezi kumlaumu kwani yeye ndo hawezi kufanya reforms za haraka katika elimu ni taratibu kaanza na hilo .
Wewe kwa akili yako umeona ni sawa aanze na kuondoa ushindani wa ubora wa elimu na kuficha takwimu?
Badala ya kuanza na kuboresha mazingira kwanza
Usiunge tu mkono sio kila kiongozi anakuwa sahihi
 
Ukitaka kujua ubora wa skuli uitakayo kila matokeo yakitoka fanya kutafuta mwenyewe siyo serikali ikuwekee ubaoni na kukutangazia skuli yako.

Wewe amka na walimu wako fanyeni recruit search alafu iteni media zote pigeni ukunga.
Tusiingize chuki za kijinga kwenye serikali ya wananchi
Ni jambo la aibu serikali kuwa na chuki na shule ilizozisajili zinazofanya vizuri
Hizi chuki za kijinga ndo zilikuwepo kwenye awamu Fulani kwenye sekta binafs tuzikatae
 
Hii ipo vizuri sana, hizo shule zinazojisifu kwamba zinafaulisha vizuri mitihani ya necta Sasa zirudi kutufurahisha sisi wazazi kwa kufundisha vizuri watoto wetu, Kila matokeo ya darasani watoto wote wawe wanashika namba moja na hayo masomo kama hesabu watoto wote wapate A hapo watakuwa wameonyesha uwezo wa shule zao Bora.
 
Sasa why watunge mtihani mmoja kama wanajua Kuna disparity ya quality?

Huyo Mkenda smart kwa lipi? Hakuna hata SoMo la kilimo au viwanda sekondari alafu wanaongelea Tanzania ya viwanda na kilimo wanadhank man power inatokea wapi?

Acheni exaggerate watu wanao under perform, hoja ni kwamba kama una grade basi wangeweza sema Serikali top 10 na private top 10!! Hapo angekua smart.

Nakumbuka walikua wana grade matokeo ya form 6 kwa shule zenye wanafunzi below 40 na above 40 Ili kulinganisha sample zinazofanana.

Sasa kuacha gap ndio Kila mtu ata claim ameongoza kitaifa maana anajua hauna namna ya kuthibitisha!! Mtarudi Tena kuanza kukemea ilihali tatizo mmelileta wenyewe.
Mlikuwa mnalobby bana ..

Utaratibu huu mpya hakika ni safiii
 
Naunga mkono hoja yako. Kama wanaona uwanja hauko Sawa basi watenge makundi 2. Kuwe na orodha ya shule za serikali na ya shule binafsi.
Ahsante mkuu,
Hapo wakifanya hivyo wataleta ubaguzi
Hapo dawa ni serikali iboreshwe mazingira ya elimu yafikie ubora unaotakiwa
Sio kulazimisha na kukasirikia shule binafsi
 
Siku ya leo, baraza la taifa la mitihani nchini Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne na kufuta utaratibu wa muda mrefu wa kutoa orodha na mtiririko wa ubora wa shule kulingana na kiwango cha ufaulu na pia limefuta utaratibu wa kutangaza wanafunzi bora wa mitihani hiyo. NECTA imetoa sababu kuu mbili za wao kufanya hivyo, ambazo ni;
-Kutangaza shule bora ni kutangaza biashara kwa shule hizo.

-Hakuna usawa baina ya shule moja na nyingine katika mazingira ya utoaji elimu hivyo hawapaswi kushindanishwa.

Kwa kuwa JF ni Kisima cha maarifa na uchambuzi huru, Mimi binafsi hapa hapa nitazipinga hoja zote hizo mbili kwa kuchambua kwa kina hoja kwa hoja.

1. Hoja ya kutangaza biashara.
Kwanza kabisa hoja hii imekaa kiupande mmoja, ni hoja ya kibaguzi kwa 100% na kuumiza wasiohusika kwa 100%. It is a double standard decision. Sababu za kibiashara zimewalenga wamiliki wa shule binafsi (zimewabagua) na hapo hapo zinazinyima fursa shule za serikali pasipo sababu (zime wahukumu pasipo kuhusika). Pili ni hoja ya nusu nusu mnoo, kwa kuwa NECTA hiyo hiyo ndio imekuwa ikitoa hadharani matokeo yote ya shule moja moja yenye kuakisi ubora wa shule husika, hata kama NECTA haitaweka mtiririko rasmi wa ubora bado mtu yoyote makini (hata asiye makini) anaweza kuchambua na kuonyesha zipi ni shule kumi bora zaidi kulingana na mtiririko wa kimatokeo ulivyo. Na katika hili, mtu au taasisi tofauti (vikiwemo vyombo vya habari) vinaweza kuja na uchambuzi wenye kukinzana na kuzaa upotoshaji. Kifupi tu, NECTA imejivua jukumu lake na sasa inakwenda kuruhusu mtu au taasisi yoyote kujitangazia ubora wake kimatokeo, hata kama ni kwa upotoshaji. Na tutegemee matangazo ya kibiashara (yenye chembe chembe za upotoshaji) kwa kwa kutumia matokeo ya NECTA yakichipuka na kuongezeka maradufu. Mwisho katika hili, NECTA haipaswi kukwepa kuteketeleza majukumu yake, kisa tu inaogopa kivuli cha kuonekana inatangazia biashara shule bora. Vipi kama shule hizo 10 bora ningekuwa ni shule za serikali tu?

2. Hoja ya mazingira yasiyolingana katika utoaji elimu hapa nchini.
Nadhani huenda hii ni hoja ya kipumbavu kupita maelezo kuwahi kutolewa na NECTA. Kwanza kabisa kuweka hoja sawa, sote yanapaswa kufahamu kuwa, NECTA haiwajibiki popote katika kutengeneza, kuboresha au kuyapima mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania, hivyo hawapaswi kuyasemea chochote mazingira hayo maana sio jukumu lao.

Pili NECTA wanawajibika kuandaa, kusimamia, kusahihisha na kutoa matokeo ya mitihani. Kama NECTA wanaona na kuamini kuwa mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania hayako sawa baina shule na shule na yanaathiri matokeo yao, ni kwanini waandae mitihani mmoja kwa wote au usahihishaji na utoaji wa alama za ufaulu uwe sawa?
Kwanini suala la utofauti wa mazingira baina ya shule moja na nyingine liwe ni hoja wakati wa kutangaza ubora wa shule tu, lakini isiwe ni hoja ya msingi wakati wa kutunga mitihani, kusahihisha na kuweka alama za ufaulu?
Mimi nadhani NECTA wameshindwa tu kusema Ukweli kwa kuhofia baadhi ya sintofahamu

Ukweli ni kwamba hakuna fair competition, mashule mengi ya private yanafanya mtihani kabla ya siku ya mtihani

Japo sio shule zote ila shule nyingi wanafanya umafia sana na inaonekana ni ngumu kuzuia


Binafsi nimesoma government, ila wakati nipo form five, form six walipokuwa wanatoka chumba Cha mtihani wanafurahi sana kwa kusema possible (mitihani uliovuja) ni WA kweli

Wakati nipo form six , nilibahatika kusolve mtihani Usiku (Tena discussion) na kesho yake tukaukuta huo huo Hadi nukta.

Sasa Kama hiyo ni government, ambapo watu wametumiwa, je private kupoje???


Binafsi sikatai juhudi za shule za private katika kufundisha, miundombinu nk, ila Wana umafia sana
 
Usije kukuta kuna uhusiano na matokeo ya shule za kule Zanzibar, kwa hiyo ukute wanaogopa kumkeresha Madam. Usije kukuta madogo wametaga kichizi na miswaki ya kufa mtu. Sitaki kugusia kule Ruangwa na Kigoma kwa Mpango.

Lakini angalizo ni kwamba mficha maradhi ........
Huo utakuwa ni upambuvu mkubwa sana,
Kujaribu kuua ubora wa elimu kwa ajili kumfurahisha mtu mmoja
 
Huu uamuzi wa hovyo kwa namna fulani utapunguza morali miongoni mwa walimu na shule zetu, hawa jamaa simply wanataka iwe business as usual, mkifaulu wengi mtajua wenyewe, na mkifeli wote mtajua wenyewe, hawajui maana ya motisha kabisa.

Huu uamuzi kwa upande mwingine naona utaziathiri zaidi zile shule zinazofanya vibaya, kwani sasa matokeo yao mabovu yatakuwa siri, walimu hawataona aibu shule zao kufelisha wengi, wakuu wa wilaya na mikoa hawatawajibika, wala hapatakuwepo na jitihada zozote za kubadilisha hali.
Changamoto Pia ipo kwa hao baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya. Kuna baadhi ya shule japo zinakuwa za mwisho katika wilaya zao au mikoa yao unakuta zimefanya vizuri ila wao hawaelewi na walimu wa shule hizo au wakurugenzi wanakiona cha mtema kuni sasa sijui huwa wanataka shule zote ziwe za kwanza.

Hivyo hata kama NECTA wakirudisha huo utaratibu wa kutangaza nafasi za shule basi hao wakuu na wafuatiliaji ngazi zote waelimishwe kuangalia ufaulu wa shule na sio Nafasi ya shule imekuwa ya ngapi.

Ndio maana uamuzi wa NECTA unaweza kuwa mzuri japo sababu zilizotumika ndio zikawa na ukakasi.
 
Mimi nadhani NECTA wameshindwa tu kusema Ukweli kwa kuhofia baadhi ya sintofahamu

Ukweli ni kwamba hakuna fair competition, mashule mengi ya private yanafanya mtihani kabla ya siku ya mtihani

Japo sio shule zote ila shule nyingi wanafanya umafia sana na inaonekana ni ngumu kuzuia


Binafsi nimesoma government, ila wakati nipo form five, form six walipokuwa wanatoka chumba Cha mtihani wanafurahi sana kwa kusema possible (mitihani uliovuja) ni WA kweli

Wakati nipo form six , nilibahatika kusolve mtihani Usiku (Tena discussion) na kesho yake tukaukuta huo huo Hadi nukta.

Sasa Kama hiyo ni government, ambapo watu wametumiwa, je private kupoje???


Binafsi sikatai juhudi za shule za private katika kufundisha, miundombinu nk, ila Wana umafia sana
Huo utakuwa udhaifu wa necta , dawa ni kushughulikia huo udhaifu
 
Mkenda ni smart na izo hoja ulizoweka anaweza pangua zote hata Mimi binafsi naweza kuzipangua.

Unajua umafia wa kweny biashara iwe bidhaa au elimu? Unajua izo shule wanafunzi wanalipa shilling ngapi then uje kufananisha na elimu bure? Mkenda na wenzie michezo yote wanaijui wapo kweny game kitambo hawajai kurupuka sio rahisi.

Mazingira ya izo shule na st kayumba unayajua.

Nakupa home work 👉 Kaangali motisha ya walimu wa izo shule kabla ya wanafunzi then uje hapa kuleta jibu.
Tujadiri kwa kina kidogo hili kwa kuangalia na kuzingatia majukumu ya hao NECTA, kama kazi yao ni kutunga, kusimamia, kusahihisha na kutoa matokeo kwa ujumla, kusimamia ubora wa mitihani, sasa ni kwa namna gani wanakuja na hoja ya ubora wa mazingira ya kujifunzia, huoni kama kuna idara/taasisi imetegea hapo?
 
Siku ya leo, baraza la taifa la mitihani nchini Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne na kufuta utaratibu wa muda mrefu wa kutoa orodha na mtiririko wa ubora wa shule kulingana na kiwango cha ufaulu na pia limefuta utaratibu wa kutangaza wanafunzi bora wa mitihani hiyo. NECTA imetoa sababu kuu mbili za wao kufanya hivyo, ambazo ni;
-Kutangaza shule bora ni kutangaza biashara kwa shule hizo.

-Hakuna usawa baina ya shule moja na nyingine katika mazingira ya utoaji elimu hivyo hawapaswi kushindanishwa.

Kwa kuwa JF ni Kisima cha maarifa na uchambuzi huru, Mimi binafsi hapa hapa nitazipinga hoja zote hizo mbili kwa kuchambua kwa kina hoja kwa hoja.

1. Hoja ya kutangaza biashara.
Kwanza kabisa hoja hii imekaa kiupande mmoja, ni hoja ya kibaguzi kwa 100% na kuumiza wasiohusika kwa 100%. It is a double standard decision. Sababu za kibiashara zimewalenga wamiliki wa shule binafsi (zimewabagua) na hapo hapo zinazinyima fursa shule za serikali pasipo sababu (zime wahukumu pasipo kuhusika). Pili ni hoja ya nusu nusu mnoo, kwa kuwa NECTA hiyo hiyo ndio imekuwa ikitoa hadharani matokeo yote ya shule moja moja yenye kuakisi ubora wa shule husika, hata kama NECTA haitaweka mtiririko rasmi wa ubora bado mtu yoyote makini (hata asiye makini) anaweza kuchambua na kuonyesha zipi ni shule kumi bora zaidi kulingana na mtiririko wa kimatokeo ulivyo. Na katika hili, mtu au taasisi tofauti (vikiwemo vyombo vya habari) vinaweza kuja na uchambuzi wenye kukinzana na kuzaa upotoshaji. Kifupi tu, NECTA imejivua jukumu lake na sasa inakwenda kuruhusu mtu au taasisi yoyote kujitangazia ubora wake kimatokeo, hata kama ni kwa upotoshaji. Na tutegemee matangazo ya kibiashara (yenye chembe chembe za upotoshaji) kwa kwa kutumia matokeo ya NECTA yakichipuka na kuongezeka maradufu. Mwisho katika hili, NECTA haipaswi kukwepa kuteketeleza majukumu yake, kisa tu inaogopa kivuli cha kuonekana inatangazia biashara shule bora. Vipi kama shule hizo 10 bora ningekuwa ni shule za serikali tu?

2. Hoja ya mazingira yasiyolingana katika utoaji elimu hapa nchini.
Nadhani huenda hii ni hoja ya kipumbavu kupita maelezo kuwahi kutolewa na NECTA. Kwanza kabisa kuweka hoja sawa, sote yanapaswa kufahamu kuwa, NECTA haiwajibiki popote katika kutengeneza, kuboresha au kuyapima mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania, hivyo hawapaswi kuyasemea chochote mazingira hayo maana sio jukumu lao.

Pili NECTA wanawajibika kuandaa, kusimamia, kusahihisha na kutoa matokeo ya mitihani. Kama NECTA wanaona na kuamini kuwa mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania hayako sawa baina shule na shule na yanaathiri matokeo yao, ni kwanini waandae mitihani mmoja kwa wote au usahihishaji na utoaji wa alama za ufaulu uwe sawa?
Kwanini suala la utofauti wa mazingira baina ya shule moja na nyingine liwe ni hoja wakati wa kutangaza ubora wa shule tu, lakini isiwe ni hoja ya msingi wakati wa kutunga mitihani, kusahihisha na kuweka alama za ufaulu?
Kutotangaza shule bora na shule dhaifu na wanafunzi bora na wanafunzi dhaifu ni utaratibu wa KIPUMBAVU! PERIOD!!
 
Siku ya leo, baraza la taifa la mitihani nchini Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne na kufuta utaratibu wa muda mrefu wa kutoa orodha na mtiririko wa ubora wa shule kulingana na kiwango cha ufaulu na pia limefuta utaratibu wa kutangaza wanafunzi bora wa mitihani hiyo. NECTA imetoa sababu kuu mbili za wao kufanya hivyo, ambazo ni;
-Kutangaza shule bora ni kutangaza biashara kwa shule hizo.

-Hakuna usawa baina ya shule moja na nyingine katika mazingira ya utoaji elimu hivyo hawapaswi kushindanishwa.

Kwa kuwa JF ni Kisima cha maarifa na uchambuzi huru, Mimi binafsi hapa hapa nitazipinga hoja zote hizo mbili kwa kuchambua kwa kina hoja kwa hoja.

1. Hoja ya kutangaza biashara.
Kwanza kabisa hoja hii imekaa kiupande mmoja, ni hoja ya kibaguzi kwa 100% na kuumiza wasiohusika kwa 100%. It is a double standard decision. Sababu za kibiashara zimewalenga wamiliki wa shule binafsi (zimewabagua) na hapo hapo zinazinyima fursa shule za serikali pasipo sababu (zime wahukumu pasipo kuhusika). Pili ni hoja ya nusu nusu mnoo, kwa kuwa NECTA hiyo hiyo ndio imekuwa ikitoa hadharani matokeo yote ya shule moja moja yenye kuakisi ubora wa shule husika, hata kama NECTA haitaweka mtiririko rasmi wa ubora bado mtu yoyote makini (hata asiye makini) anaweza kuchambua na kuonyesha zipi ni shule kumi bora zaidi kulingana na mtiririko wa kimatokeo ulivyo. Na katika hili, mtu au taasisi tofauti (vikiwemo vyombo vya habari) vinaweza kuja na uchambuzi wenye kukinzana na kuzaa upotoshaji. Kifupi tu, NECTA imejivua jukumu lake na sasa inakwenda kuruhusu mtu au taasisi yoyote kujitangazia ubora wake kimatokeo, hata kama ni kwa upotoshaji. Na tutegemee matangazo ya kibiashara (yenye chembe chembe za upotoshaji) kwa kwa kutumia matokeo ya NECTA yakichipuka na kuongezeka maradufu. Mwisho katika hili, NECTA haipaswi kukwepa kuteketeleza majukumu yake, kisa tu inaogopa kivuli cha kuonekana inatangazia biashara shule bora. Vipi kama shule hizo 10 bora ningekuwa ni shule za serikali tu?

2. Hoja ya mazingira yasiyolingana katika utoaji elimu hapa nchini.
Nadhani huenda hii ni hoja ya kipumbavu kupita maelezo kuwahi kutolewa na NECTA. Kwanza kabisa kuweka hoja sawa, sote yanapaswa kufahamu kuwa, NECTA haiwajibiki popote katika kutengeneza, kuboresha au kuyapima mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania, hivyo hawapaswi kuyasemea chochote mazingira hayo maana sio jukumu lao.

Pili NECTA wanawajibika kuandaa, kusimamia, kusahihisha na kutoa matokeo ya mitihani. Kama NECTA wanaona na kuamini kuwa mazingira ya utoaji elimu hapa Tanzania hayako sawa baina shule na shule na yanaathiri matokeo yao, ni kwanini waandae mitihani mmoja kwa wote au usahihishaji na utoaji wa alama za ufaulu uwe sawa?
Kwanini suala la utofauti wa mazingira baina ya shule moja na nyingine liwe ni hoja wakati wa kutangaza ubora wa shule tu, lakini isiwe ni hoja ya msingi wakati wa kutunga mitihani, kusahihisha na kuweka alama za ufaulu?
Siasa za bongo hazijawahi kuleta Jambo la msingi
Kila MTU akiamka anakuja na agenda zake za kidwanzi.

Watu wanatakwimu Hadi za shoot off targets sembuse best students
 
Back
Top Bottom