Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Hao waliokamatwa na kuachiwa mnao ushahidi kuwa hawakufanya malosa ya uhujumu uchumi? Na kama ni hivyo mbona kuna watanzania wengi wanafanya biashara halali hawajakamatwa? Au ndio kuipaka matope serikali? Yaani huna kosa alafu usingiziwe bure?

Unauliza au unapigia jibu mstari?
 
Mnaipaka matope serikali kama mtu kasingiziwa wekeni ushahidi.

Uweke ushahidi huku wenzako wanatafuta kinga ya kutokushitakiwa. Au unadhani hiyo kinga wanaitaka kwa bahati mbaya?
 

Toa mfano japo mmoja wa alichosema Lissu kwa maslahi mapana ya nchi aksimamia kutekelezwa - maneno huumba
 
Lissu amekuja kipindi muafaka ambacho kama taifa tunahitaji katiba mpya ya wananchi, tunahitaji mabadiliko makubwa katika mfumo wa utawala na sheria zetu! Tunahitaji kufuta karibu 60% ya sheria zetu! Wanaombeza wambeze, lakini ukweli utabaki palepale ndiye tiba ya mahala tulipo kwama!
 
Huu uchambuzi umejikiga kwenye fikla zako Binafsi

Ni sehemu gani ha huu uchambuzi umeonesha Lissu akigusa maswala ya Kitaifa?
Zaidi zaidi unetaja Shelia na Magufuli.
 


pole sana kwa matatizo yaliompata Mh Mbowe kwa kushambuliwa na vijana wahuni.

Jana umehutubia kwa njia ya mtandao kwa kueleza hisia zako juu ya kutaka kuwania nafasi y uraisi kupitia CHADEMA. Ni jambo zuri sana na kupongeza kwa hilo.

Sasa nadhan ni wakat wa wewe kuja kuungana na wana chedema wenzako katika kampeni na sio kufanya hayo unayo yafanya ya ww kukaa huko ugenini na kuhutubia.

Bado najiuliza Inamaana wewe Tundu lisu kila kitu utafanya online
utajaza form online
utafanya kampeni online
kura zako zitahesabiwa online
utamatokea ya uchaguzi online
utaapishwa online
utaongoza nchi online

Njoo kwenye uwanja wa vita utangaze sera zako ukiwa hapa Tanzania.wewe mwenyewe mwoga kuja unaishia kulalamika serikali dhalimu alafu unakaa mbali kuilalamikia serikali kila kukicha.
 
Uweke ushahidi huku wenzako wanatafuta kinga ya kutokushitakiwa. Au unadhani hiyo kinga wanaitaka kwa bahati mbaya?
Kushitakiwa watashitakiwa ila utaratibu wa kuwashitaki ndio umeboreshwa. Yaani unapeleka mashitaka kupita kwa Ag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…