Uchambuzi: Huyu Amaleki anayezungumziwa na Askofu Gwajima ni nani?

Uchambuzi: Huyu Amaleki anayezungumziwa na Askofu Gwajima ni nani?

Gwajima ni.zaid ya mwl bro. Kuhusu maombi ni jina tu ndilo.linaloleta mjadala lkn Gwaj amekuwa mstar wa mbele kwa taifa kunapokuwa na shida, shida hizo ni km vile mfumumuko wa bei, petrol kila mwez inapanda,vifaa vya ujenz, vyakula n.k
So gwaj yupo correct

Sent using Jamii Forums mobile app


Tatizo la Gwajima ni lilelile la watu wengi TANZANIA. Nalo ni unafiki.

Mtu akishakuwa na sifa hiyo huwaga namchukulia kawaida
 
Mwambieni amaleki popote alipo, huku mtaani hali siyo hali na tunaelekea kipindi cha sikukuu...
 
Nawiwa kurudia tena kusoma vitabu vitano vya Musa nijifunze kitu katika mambo ya kiutawala, ahsante kwa bandiko Mimi nimeondoka na elimu nyingine kabisa ambayo sikuitarajia.

Ya Gwajima na CCM yake naomba niwaachie wahusika
 
Jibu ni kupunguza ukali wa ugonjwa unapokushambulia.

Swali lako linafanana; Kwa nini mtu avae Bulletproof wakati Kama atashambuliwa vyema pia anaweza kufa?
Jibu ni Kupunguza hatari ya kufa kirahisi.

Hiyo ndio hoja ya Madaktari.

Sasa Kama hujaelewa sio jukumu langu tena kukuelewesha wewe au watu wa jamii ya Gwajima katika hili
Watu wanauliza maswali ya kipuuzi mno, ungemuacha tu.
 
Mungu alikataa kabisa mtu kuwa mtumishi, kisha ukajiingiza ktk siasa. Daima huwezi tumikia hivi vitu viwili.
 
kwenye huu mpambano wa waisrael vs waamalek nadhani atakaeumia zaidi ni CCM, tuendelee kuwatch movie to ze endi.
 
Nawiwa kurudia tena kusoma vitabu vitano vya Musa nijifunze kitu katika mambo ya kiutawala, ahsante kwa bandiko Mimi nimeondoka na elimu nyingine kabisa ambayo sikuitarajia.

Ya Gwajima na CCM yake naomba niwaachie wahusika


Ukisoma kitabu chochote ili ukielewe usikisome Kwa hisia, soma Kwa akili.
Usikisome Kwa mapenzi, soma Kwa tafakuri.

Usisome biblia Kwa Imani
Soma Kama mwanafasihi na mwanafalsafa utakuwa huru kweli kweli.


Karibu sana
 
Jibu ni kupunguza ukali wa ugonjwa unapokushambulia.

Swali lako linafanana; Kwa nini mtu avae Bulletproof wakati Kama atashambuliwa vyema pia anaweza kufa?
Jibu ni Kupunguza hatari ya kufa kirahisi.

Hiyo ndio hoja ya Madaktari.

Sasa Kama hujaelewa sio jukumu langu tena kukuelewesha wewe au watu wa jamii ya Gwajima katika hili
Upo vizuri, kwa waendesha pikipiki sawa na kuvaa kofia ngumu, ni kupunguza athali upatapo ajali hususani majelaha ya kichwa!
 
... AMALEK WAMEANZA KUTOKA SHIMONI!
1639814188541.png
 
Jibu ni kupunguza ukali wa ugonjwa unapokushambulia.

Swali lako linafanana; Kwa nini mtu avae Bulletproof wakati Kama atashambuliwa vyema pia anaweza kufa?
Jibu ni Kupunguza hatari ya kufa kirahisi.

Hiyo ndio hoja ya Madaktari.

Sasa Kama hujaelewa sio jukumu langu tena kukuelewesha wewe au watu wa jamii ya Gwajima katika hili
Jibu murua kabisa kwa wapinga chanjo ya Corona. Si kama hataelewa kwa maelekezo hayo bali anawezajifanya kichwa ngumu tu.
 
Back
Top Bottom