Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Gwajima ni.zaid ya mwl bro. Kuhusu maombi ni jina tu ndilo.linaloleta mjadala lkn Gwaj amekuwa mstar wa mbele kwa taifa kunapokuwa na shida, shida hizo ni km vile mfumumuko wa bei, petrol kila mwez inapanda,vifaa vya ujenz, vyakula n.k
So gwaj yupo correct
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanauliza maswali ya kipuuzi mno, ungemuacha tu.Jibu ni kupunguza ukali wa ugonjwa unapokushambulia.
Swali lako linafanana; Kwa nini mtu avae Bulletproof wakati Kama atashambuliwa vyema pia anaweza kufa?
Jibu ni Kupunguza hatari ya kufa kirahisi.
Hiyo ndio hoja ya Madaktari.
Sasa Kama hujaelewa sio jukumu langu tena kukuelewesha wewe au watu wa jamii ya Gwajima katika hili
Mzee wa Warembo
Mwambieni amaleki popote alipo, huku mtaani hali siyo hali na tunaelekea kipindi cha sikukuu...
kwenye huu mpambano wa waisrael vs waamalek nadhani atakaeumia zaidi ni CCM, tuendelee kuwatch movie to ze endi.
Mungu alikataa kabisa mtu kuwa mtumishi, kisha ukajiingiza ktk siasa. Daima huwezi tumikia hivi vitu viwili.
Nawiwa kurudia tena kusoma vitabu vitano vya Musa nijifunze kitu katika mambo ya kiutawala, ahsante kwa bandiko Mimi nimeondoka na elimu nyingine kabisa ambayo sikuitarajia.
Ya Gwajima na CCM yake naomba niwaachie wahusika
Kweli kwenye nchi hii kuna watu hawana bei, hawanunuliki hata.
Upo vizuri, kwa waendesha pikipiki sawa na kuvaa kofia ngumu, ni kupunguza athali upatapo ajali hususani majelaha ya kichwa!Jibu ni kupunguza ukali wa ugonjwa unapokushambulia.
Swali lako linafanana; Kwa nini mtu avae Bulletproof wakati Kama atashambuliwa vyema pia anaweza kufa?
Jibu ni Kupunguza hatari ya kufa kirahisi.
Hiyo ndio hoja ya Madaktari.
Sasa Kama hujaelewa sio jukumu langu tena kukuelewesha wewe au watu wa jamii ya Gwajima katika hili
Jibu murua kabisa kwa wapinga chanjo ya Corona. Si kama hataelewa kwa maelekezo hayo bali anawezajifanya kichwa ngumu tu.Jibu ni kupunguza ukali wa ugonjwa unapokushambulia.
Swali lako linafanana; Kwa nini mtu avae Bulletproof wakati Kama atashambuliwa vyema pia anaweza kufa?
Jibu ni Kupunguza hatari ya kufa kirahisi.
Hiyo ndio hoja ya Madaktari.
Sasa Kama hujaelewa sio jukumu langu tena kukuelewesha wewe au watu wa jamii ya Gwajima katika hili
Jibu murua kabisa kwa wapinga chanjo ya Corona. Si kama hataelewa kwa maelekezo hayo bali anawezajifanya kichwa ngumu tu.
Upo vizuri, kwa waendesha pikipiki sawa na kuvaa kofia ngumu, ni kupunguza athali upatapo ajali hususani majelaha ya kichwa!