Uchambuzi: Kwanini Rais Samia hakukataa kusalimiana na Mange

Uchambuzi: Kwanini Rais Samia hakukataa kusalimiana na Mange

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kuna vijiminong'ono!

Kwamba Je, ilikua haki Rais Samia kukubali kusalimiwa na Mamge kimambi aliyewahi kuutukana utawala wa awamu ya TANO?

Jibu ni ndiyo!
Rais alikuwa sahihi kabisa kwasababu zifuatazo;
1. Rais alihudhuria mkutano na kuongea na watanzania waishio Marekani, hivyo kukataa kusalimiana na mtanzania ( Mange kimambi) ni kuleta taharuki pasipo sababu ya msingi!

2. Kuhusu mange kimambi kumsogelea Rais kwa muwasha washa na bashasha kiusalama si kosa!
Kiprokali ubalozi ulikuwa umeshatoa taarifa kwa walinzi wa Rais kuwepo kwa watanzania wachache waliopenda kusalimiana naye (hakukuwa na pingamizi)

3. Mkutano wote wa watanzania waliohudhulia walikuwa wameshafanyiwa screening! Hivyo bashasha za kumlaki Rais zilitazamwa kiusalama na walinzi wa Rais kuwa hazina tatizo! Ifahamike Mtu yoyote anaemlaki Rais, Walinzi hutazama mambo mengi wakati tukio likiendelea, Yupo mlinzi hutazama body language, macho, movement ya mikono, miguu, position (ukinyanyua mkono unadakwa) n.k ndiyo maana pia hutakiwi kuingiza mikono mifukoni au kwenye mkoba kutoa au kuweka hata kama Rais atakuomba, bila walinzi kujiridhisha kwa kuzuga wanakusaidia (hii hufanyika ili kuzuia usitoe silaha)

4. Je, Rais anaunga mkono matusi ya Mange aliyowahi kutukana? Jibu ni hapana, kwanza pale hapakuwa sehemu sahihi Rais kuamuru vinginevyo, Pia Rais ana Uhuru wa kusamehe!
Kama Rais anamamlaka ya kusamehe Wafungwa kila mwaka, je atashindwaje kumsamehe Mange kimambi ambaye amejipambanua kuomba msamaha?

5. Imani zote zinatangaza Msamaha, Kama waaminivyo wakristo na kile kisa cha MWANA MPOTEVU, Hivyo Mange kuwa mwana mpotevu, kujirudi na kusamehewa si ajabu!

6. Je Rais kusema Amefurahi kumuona Mange ni sahihi? Jibu ni sahihi, Rais anaweza kupongeza, kufurahi na kushauri kulingana na tukio, lakini haizuii mamlaka zingine kufanya kazi! Ndiyo maana alimtumia Mh. Mbowe salamu za pole ya msiba ilihali kulikuwa na upelelezi unaendelea zidi UGAIDI
7. Je, ulinzi wa Rais samia mbona Marekani haukuwa na Mabunduki kama bongo? Jibu eneo lote LA mkutano lilikuwa na ulinzi wa kutosha, video inayoonekana ilionesha kipande tu Rais akiwa bado kwenye eneo la mkutano (Covered area) ambapo eneo hilo hulindwa kwa silaha ndogo na hutawaliwa na maafisa wasiyo na sare za kijeshi! Huku wenye sare na silaha nzito kuwa inje! Hivyo video zilionesha kipande tu cha video baaada ya mkutano!

Hivyo Rais na jopo la Ulinzi wa Rais uko sahihi na imara ndani na inje ya inchi kwa kuzingatia sheria na taratibu za kiusalama!

Siyo kila mkono uliotumika kuchambia unasitahili hukatwa LA hasha, mingine huoshwa na sabuni!
 
Walikuwepo police wazungu na weusi pia usalama nadhan hao
Ika wabongo kwa maneno ahah
 
Walikuwepo police wazungu na weusi pia usalama nadhan hao
Ika wabongo kwa maneno ahah
Wanataka waone mitutu ya bunduki hadi ukumbini!
Kidiplomasia haiendi hivyo! Eneo likishakuwa covered, mitutu hutakiwa kubaki inje na walinzi wenye sare hubaki inje! Ili walioko ndani wawe huru kufanya mkutano!
 
Rais hajainyesha picha nzuri kukaribiana na huyo mwanamke asiye na staha mange inajenga picha mbaya Sana
 
Nikikumbuka matusi mazito mazito ya mange kwa magufuli, kadinali pengo, sheikh alhad musa, watz kadhaa wa kadha wenye majina na wasio na majina nachoka kabisa. Mange ni mmoja wa watu waliokuja ku normalize kwa kiasi kikubwa lugha ya matusi mitandaoni kama namna ya kawaida kabisa unapoongelea jambo lolote unalojiskia kuongelea.
 
Hongera mama Samia,
Mange yupo sahihi kwa asilimia kubwa sana.
 
Yaanj kusalimiana na Mange nayo imekua habari


Tchaaa
Mange anamake headline, kina Le Mutuz wanaomchukia Mange walipaswa kumpotezea tu, lakini kwa mapovu anayotokwa Le Mutuz ni wazi Mange amewapiga magoli ya kisigino tatu bila

Wasichotaka kukuubali ukweli wajinga wengi ni kwamba mama pia hakufurahishwa na utawala wa kikatili wa bwana yule mpaka akafikia kutaka kujiuzuru huo umakamu aliokuwa nao.

Silioni kosa la Mange mpaka sasa kwa utawala katili.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi kila kitu hugeuka na kua mjadala na muda nao unazidi kwenda mbele!
 
Je waliokuwa wanamuamini na kupeleka taarifa kibao za 'siri' kwa Mange Kimambi ngambo wakiamini wao kama whistleblowers / wasiri wake watakuwa salama kumpenyezea taarifa nyeti za serikali na wakubwa wapo ktk hali gani wakiona Mange Kimambi 'kasafishwa' na vyombo vya usalama vya Tanzania hadi kupata selfie na Mkuu wa nchi ?

Je huyu Mange Kimambi 'kauza' details zao kwa vyombo vya dola vya Tanzania ?
*******
Having no baggage to claim, I proceeded through customs at Matsapha
airport, Swaziland, without delays, thanks largely to holding a
Commonwealth passport. I did not require a visa and had no cause to
explain my situation to Swazi officials. I proceeded to Mbabane, the
capital, taking a ride with an Eritrean UN official who had collected
a relation from the same flight.
By the time I arrived in Mbabane it was late afternoon, and I noted
that
the following day was a public holiday. Finding accommodation was my
main
concern as I wandered aimlessly along Allister Miller Street,
Mbabane's
main road. As I passed Jabula Inn, a main road hotel, a lean man who
looked to be in his late fifties or early sixties emerged. Apparently
he had detached himself from a group of people he was conferring with
in the hotel foyer. He wore a fez hat and was far too dark to be Swazi
(most Swazis are light in complexion).
His right hand held a set of joined beads which he counted quickly and
repeatedly, as if he was meditating or praying although he continued
to talk with people as he did this. He gesticulated and looked at me
as if he recognised me. I returned the look, thinking I recognised him
from somewhere. We exchanged glances and it occurred to me that I knew
the man, but I couldn't recall from where.
He made the first move, greeting me in Swahili. I returned his
greeting,
surging forward to shake his hand. There was no doubt the man I had
just greeted was the renowned Nairobi-based Tanzanian astrologer,
Sheikh
Yahya Hussein. Now I remembered seeing his pictures in newspapers
almost
every day, advertising his trade, although I could never work out how
he recognised someone like me he had never seen before.
Hussein invited me to his room, cutting through a long queue of people
who
had come to consult him. He was, as he frequently told the Swazi
press,
a prophet, faith-healer, palm-reader and fortune-teller, not merely an
astrologer who could determine the influence of the planets on human
affairs. He even told the local media that King Hussein of Jordan was
one of his clients, and he provided them with a photograph of him
shaking
hands with the monarch. This, of course, generated more business for
him.
Hussein led me into his room with quick, short strides, nodding at
people in the queue. He was booked in Room 1 at Jabula Inn and had a
room-within-a-room inside his quarters. This provided ...... Ludovic Mwijage .... Mbabane, Swaziland 1. Abduction 20. A Whiff of Prison 27. Inside Machava prison Mozambique 33. DC9 Dakota flight under escort Journey to Mtwara Tanzania 45. Interrogation 49. Journey to Dar-es-Salaam 57 ..... READ MORE FROM THE BOOK : Dark Side of Nyerere's Legacy by Mwijage, Ludovic S. (ISBN: 9781856541879)

Sheikh Yahya Hussein: showman, mystic, spy.


Rumours of his closeness to State House were not exactly dampened when President Kikwete paid for his medical treatment in India in 2009, nor when the Sheikh promised “an army of djinns” for Kikwete’s protection during the following year’s election campaign.

More mundanely, allegations of secret service activity on behalf of Julius Nyerere emerged in Ludovik Mwijage’s memoir of dissidence in the 1980s, The Dark Side of Nyerere’s Legacy. It is worth reading for his economical descriptions of a younger Sheikh Yahya, plying his trade in Swaziland.

Tanzania’s foremost astrologer, numerologist and, allegedly, spy, passed away today in Dar es Salaam’s Mt. Mkombozi Hospital. With a busy practice in Dar’s Mwembechai area, just behind the Oilcom petrol station, he was also in demand across the region and indeed the continent.
Swahili Street deals too much with Tanzania’s politics – there’s a lot more to life than that – and so it has not been possible to avoid touching on the occult, which is never far away in Tanzania’s public discourse or private contemplation. Inevitably, this meant engaging with the Sheikh and his predictions, respectfully I hope.
Sheikh Yahya Hussein was taken seriously by Tanzania’s mainstream media. His predictions always made the news pages, more often than not the front page. And as often as not, he was wrong. In March of last year he predicted that the 2010 election wouldn’t take place and that Amani Abeid Karume would seek a third term in Zanzibar, romping home with a clear majority : READ MORE : Sheikh Yahya Hussein: showman, mystic, spy.
 
Je waliokuwa wanamuamini na kupeleka taarifa kibao za 'siri' kwa Mange Kimambi ngambo wakiamini wao kama whistleblowers / wasiri wake watakuwa salama kumpenyezea taarifa nyeti za serikali na wakubwa wapo ktk hali gani wakiona Mange Kimambi 'kasafishwa' na vyombo vya usalama vya Tanzania hadi kupata selfie na Mkuu wa nchi ?

Je huyu Mange Kimambi 'kauza' details zao kwa vyombo vya dola vya Tanzania ?


Sheikh Yahya Hussein: showman, mystic, spy.


Rumours of his closeness to State House were not exactly dampened when President Kikwete paid for his medical treatment in India in 2009, nor when the Sheikh promised “an army of djinns” for Kikwete’s protection during the following year’s election campaign.

More mundanely, allegations of secret service activity on behalf of Julius Nyerere emerged in Ludovik Mwijage’s memoir of dissidence in the 1980s, The Dark Side of Nyerere’s Legacy. It is worth reading for his economical descriptions of a younger Sheikh Yahya, plying his trade in Swaziland.

Tanzania’s foremost astrologer, numerologist and, allegedly, spy, passed away today in Dar es Salaam’s Mt. Mkombozi Hospital. With a busy practice in Dar’s Mwembechai area, just behind the Oilcom petrol station, he was also in demand across the region and indeed the continent.
Swahili Street deals too much with Tanzania’s politics – there’s a lot more to life than that – and so it has not been possible to avoid touching on the occult, which is never far away in Tanzania’s public discourse or private contemplation. Inevitably, this meant engaging with the Sheikh and his predictions, respectfully I hope.
Sheikh Yahya Hussein was taken seriously by Tanzania’s mainstream media. His predictions always made the news pages, more often than not the front page. And as often as not, he was wrong. In March of last year he predicted that the 2010 election wouldn’t take place and that Amani Abeid Karume would seek a third term in Zanzibar, romping home with a clear majority : READ MORE : Sheikh Yahya Hussein: showman, mystic, spy.
Ile ni picha tu siyo kinga ya mahakama
 
Back
Top Bottom