Uchambuzi: Kwanini Rais Samia hakukataa kusalimiana na Mange

Uchambuzi: Kwanini Rais Samia hakukataa kusalimiana na Mange

Hii picha nililia sana, nikasema Mh na waprotocol wote katukosea sana, Kumbe machozi yangu ya kwikwi yalifika
 
May be ukuu wa wilaya/mkoa,DED somewhere.

Unajua wanasiasa wakiwa excited sana wanaweza kuahidi hata kugawa pumzi zao
Mtu mwenye rekodi kama huyo influencer kweli unaweza kumwahidi position kwenye serikali?
 
Back
Top Bottom