Uchambuzi: Kwanini Rais Samia hakukataa kusalimiana na Mange

Hii picha nililia sana, nikasema Mh na waprotocol wote katukosea sana, Kumbe machozi yangu ya kwikwi yalifika
 
May be ukuu wa wilaya/mkoa,DED somewhere.

Unajua wanasiasa wakiwa excited sana wanaweza kuahidi hata kugawa pumzi zao
Mtu mwenye rekodi kama huyo influencer kweli unaweza kumwahidi position kwenye serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…